raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Alikuwa na project ya Maisha Plus wabobezi wanasema ilimuingizia sana pesaHuo ndiyo ukweli Masoud anafanya biashara haramu.
Mtangazaji gani anauwezo wa kununua Hummer H3?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuwa na project ya Maisha Plus wabobezi wanasema ilimuingizia sana pesaHuo ndiyo ukweli Masoud anafanya biashara haramu.
Mtangazaji gani anauwezo wa kununua Hummer H3?
Watu Wana biashara nyingi sio lazima kila mtu azijueAlikuwa na project ya Maisha Plus wabobezi wanasema ilimuingizia sana pesa
Maisha Plus ingemuingizia pesa nyingi ingeendelea kuwapo kama zilivyo Bongo Star Search ya Madam Rita au Fiesta ya Clouds au Kili Marathon. Idea na set up ya Maisha Plus ilikuwa ya hovyo, haikuwa na malengo na hivyo haikuvutia sponsorsAlikuwa na project ya Maisha Plus wabobezi wanasema ilimuingizia sana pesa
Wako hewani muda tu!Hivi crown media ishaanza kurusha MATANGAZO?
I meant kurusha vipindi sio, kupiga mziki 24/7Wako hewani muda tu!View attachment 3017676
Yaani kaisha sema aliyoyasema halafu kaomba msamaha..ni sawa mtu akupige kisha akuombe msamahaHuyo itakuwa kashikwa vibaya na Masoud si bure huo msamaha.
Wanatengeneza contentJuzi rafiki yangu flani aliniambia nisijisumbue kuwafatilia kina mwijaku kwasababu wanapanga na kuanzisha bifu la uwongo maksudi ili watu wawafollow. Aliniambia alikuwa kwenye kijiwe cha Dotto magari mwijaku akampigia Dotto simu wakaongea fresh tu tena wakitaniana Dotto akamkatisha akamuambia braza mwijaku amsamehe kidogo yuko busy kuna ishu anafanya akimaliza atamrudia waongee fresh.
Lakin cha kushangaza kwenye video zao wanazoposti wanakandiana.
mrangi King Kong III
Pesa sana wapi bana..zile ni ktk kutakatisha hela tu , ujue km ulivyojuaAlikuwa na project ya Maisha Plus wabobezi wanasema ilimuingizia sana pesa
Hahahahaha...dahMaisha Plus ingemuingizia pesa nyingi ingeendelea kuwapo kama zilivyo Bongo Star Search ya Madam Rita au Fiesta ya Clouds au Kili Marathon. Idea na set up ya Maisha Plus ilikuwa ya hovyo, haikuwa na malengo na hivyo haikuvutia sponsors
Sawa sawa huo msamaha hauna tena maanaUkweli ushapita watu washajua
Kwa kweli kashampaka doa mwenzieYaani kaisha sema aliyoyasema halafu kaomba msamaha..ni sawa mtu akupige kisha akuombe msamaha
Hahahahaha, hapo hata waombane msamaha, ujumbe umefikaKwa kweli kashampaka doa mwenzie
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa hilo bwabwa utalifirisi kitu gani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]masud ni mtoto wa town angemtafutia mabasha waruke nae chawa limeshtuka
Don't mention it young man.Dont mentioned it young man. Just stay focused you'll always be updated.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyu kuna siku watamla hadharani
Karibu sanaa babeee. [emoji8][emoji8][emoji182][emoji182]Baby tumecheka wote asee. Sasa nakuja usiku wa leo kutimiza hule wajibu na ahadi yangu tuliyokubaliana kukupachika mimba.