Mwijaku amuomba msamaha Masoud Kipanya baada ya kumtuhumu kuwa “anafanya biashara haramu” na kutukana Viongozi akiwemo Rais

Mwijaku amuomba msamaha Masoud Kipanya baada ya kumtuhumu kuwa “anafanya biashara haramu” na kutukana Viongozi akiwemo Rais

View attachment 3017284
A /Alaykum ..! Nachukua nafasi hii kukutaka radhi my brother kwa kukukosea na kukuvunjia heshima .! Kijana wako nimeghafilika kwa jazba .

M/Mungu anasema innah llah maaswabereen . Nilipaswa kua na SUBRA kabla sijanyanyua kinywa . Ile clip imenipa funzo kubwa sana inshaalah mdani ya nafsi yako ukiridhia nitashukuru .

Niwapmbe radhi pia wamiliki wa @crownfmtz #Cloudsfm kwa maneno yangu yalio leta taswira tofatuti kwa jamii .inshaalha we learn through the mistake .
============

Mtangazaji mpya ww Crown Media Mwijaku amemuomba radhi Mtangazaji wa Clouds Media Masoud Kipanya kwa kile alichokiongea.

Mwijaku baada ya kuondoka Clouds Media na kuhamia Crown Masoud Kipanya alitoa maoni yake ambayo yalionekana kumkera Mwijaku.

Baada ya Masoud kuongea Mwijaku aliandika ujumbe mbaya mitandaoni kuhusu Masoud Kipanya.

Leo hii akiongea na wana habari ametumia fursa hiyo kumuomba Radhi Maspud Kipanya.

View attachment 3017209

Pia Soma: Mwijaku amwandikia Waraka Mzito Masoud Kipanya, adai anafanya biashara haramu
Kimsingi hata kama kaomba msamaha lakini tayari amekwisha mfanyia damage. Namshauri Masoud pesa aliyopata kwenye ngada inatosha. Atulie awekeze kwenye vitu vingine. Akipuuza ajuwe kuwa tayari wazee wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana Dawa za Kulevya (DCEA) wanam monitor.
 
Msamaha wa kuita press sio mchezo, maana naamini Masoud sio mwepesi akienda nae kimahakama hata kutaka fidia ya kumchafua Mwijaku hana pesa ya kulipa ana pesa ya uchawa

Musiba aliambiwa alipe billions zile, sijui kama alilipa.
Take it from me. Mwijaku HAJAKURUPUKA. Hata kama atakanusha au kuomba msamaha tayari DCEA chini ya Aretas James Lyimo imepata pa kuanzia
 
View attachment 3017284
A /Alaykum ..! Nachukua nafasi hii kukutaka radhi my brother kwa kukukosea na kukuvunjia heshima .! Kijana wako nimeghafilika kwa jazba .

M/Mungu anasema innah llah maaswabereen . Nilipaswa kua na SUBRA kabla sijanyanyua kinywa . Ile clip imenipa funzo kubwa sana inshaalah mdani ya nafsi yako ukiridhia nitashukuru .

Niwapmbe radhi pia wamiliki wa @crownfmtz #Cloudsfm kwa maneno yangu yalio leta taswira tofatuti kwa jamii .inshaalha we learn through the mistake .
============

Mtangazaji mpya ww Crown Media Mwijaku amemuomba radhi Mtangazaji wa Clouds Media Masoud Kipanya kwa kile alichokiongea.

Mwijaku baada ya kuondoka Clouds Media na kuhamia Crown Masoud Kipanya alitoa maoni yake ambayo yalionekana kumkera Mwijaku.

Baada ya Masoud kuongea Mwijaku aliandika ujumbe mbaya mitandaoni kuhusu Masoud Kipanya.

Leo hii akiongea na wana habari ametumia fursa hiyo kumuomba Radhi Maspud Kipanya.

View attachment 3017209

Pia Soma: Mwijaku amwandikia Waraka Mzito Masoud Kipanya, adai anafanya biashara haramu
Daaah Mwijaku hamna kitu hapo
 
DCEA hawana ubavu kwa wana mtandao wa Sembe..Hawana ubavu wakumgusa KP kama nikweli yupo kwenye Chanel basi ujue nitawatoto wa mjini haswa.
Hata Shikuba na Lwitiko kabla hawajanyakuliwa na DEA ya USA nao mlikuwa mnasema kuwa ni "UNTOUCHABLE". Lakini ilipofika siku ya siku walinyakuliwa na kwenda kutumikia kifungo US.

Mwambieni tu mshikaji aache, inatosha unga aliouuza
 
Kimsingi hata kama kaomba msamaha lakini tayari amekwisha mfanyia damage. Namshauri Masoud pesa aliyopata kwenye ngada inatosha. Atulie awekeze kwenye vitu vingine. Akipuuza ajuwe kuwa tayari wazee wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana Dawa za Kulevya (DCEA) wanam monitor.
Kwamba wazee wa DCEA wanategemea info za Mwijaku? Aisee
 
Back
Top Bottom