Mwijaku amuomba msamaha Masoud Kipanya baada ya kumtuhumu kuwa “anafanya biashara haramu” na kutukana Viongozi akiwemo Rais

Alikuwa na project ya Maisha Plus wabobezi wanasema ilimuingizia sana pesa
Maisha Plus ingemuingizia pesa nyingi ingeendelea kuwapo kama zilivyo Bongo Star Search ya Madam Rita au Fiesta ya Clouds au Kili Marathon. Idea na set up ya Maisha Plus ilikuwa ya hovyo, haikuwa na malengo na hivyo haikuvutia sponsors
 
Wanatengeneza content
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…