Mad Max JF-Expert Member Joined Oct 21, 2010 Posts 26,961 Reaction score 77,890 Jun 15, 2024 #81 Bil 5.
F From Meru JF-Expert Member Joined May 19, 2023 Posts 3,931 Reaction score 9,376 Jun 15, 2024 #82 raraa reree said: Na sasa hivi kawa msemaji wa Singida Black Stars mapato yanazidi kuongezeka Click to expand... sio yeye. jamaa anaitwa hassan masanza
raraa reree said: Na sasa hivi kawa msemaji wa Singida Black Stars mapato yanazidi kuongezeka Click to expand... sio yeye. jamaa anaitwa hassan masanza
Mad Max JF-Expert Member Joined Oct 21, 2010 Posts 26,961 Reaction score 77,890 Jun 15, 2024 #83 Equation x said: Ni lazima afanye hivyo ili kuonyesha ile ilikuwa comedy, tofauti na hivyo ingeleta maswali na watu kuingia kazini; inawezekana amepewa ushauri wa kiufundi. Click to expand... Kachelewa
Equation x said: Ni lazima afanye hivyo ili kuonyesha ile ilikuwa comedy, tofauti na hivyo ingeleta maswali na watu kuingia kazini; inawezekana amepewa ushauri wa kiufundi. Click to expand... Kachelewa
C Conquistador JF-Expert Member Joined Jun 10, 2024 Posts 1,435 Reaction score 3,463 Jun 15, 2024 #84 Ni Kama kusema 'nimemuona ngedere anamla tumbili tigo' halafu jioni ukasema ulipitiwa. Kina kima na nyani watakua wanajua tumbili kaliwa tigo.
Ni Kama kusema 'nimemuona ngedere anamla tumbili tigo' halafu jioni ukasema ulipitiwa. Kina kima na nyani watakua wanajua tumbili kaliwa tigo.
Shadow7 JF-Expert Member Joined Sep 28, 2020 Posts 24,606 Reaction score 39,289 Jun 16, 2024 #85 B 5 mnadhani mchezo. Lazima aombe samahani
Msanii Platinum Member Joined Jul 4, 2007 Posts 25,252 Reaction score 36,513 Jun 16, 2024 #86 Nikiwakilisha akili zangu za kisanii. Mwijaku anapaswa kuadabishwa. Alipe faini ajifunze kutumia akili na mdomo vizuri
Nikiwakilisha akili zangu za kisanii. Mwijaku anapaswa kuadabishwa. Alipe faini ajifunze kutumia akili na mdomo vizuri
Lycaon pictus JF-Expert Member Joined Jan 31, 2021 Posts 9,189 Reaction score 16,128 Jun 16, 2024 #87 Hata akisamehewa inabidi alipe milioni kadhaa za wakili