Shida ya kusifiaaa sana sasa inakuwa utani kwa Rais...Chawa maarufu na mtangazaji wa CloudsFm Mwijaku, amesema kama ikitokea akatangulia kufa basi mwili wake usizikwe mpaka Rais Samia afike kumzika.
Mwijaku ameandika wosia wake kwenye ukurasa wake wa "X",
"WOSIA-ikitokea nimetangualia mbele ya thki kabla ya Rais wetu Samia Tafadhali familia yangu NISIZIKWE MPAKA MAMA ANGU Samia Suluhu afike ndio nizikwe . Tafadhali mama naomba uje unizike kama nitakutangulia mama" - Mwijaku
View attachment 2907155
Nini maoni yako?
✍️ Mjanja M1
Mjinga na Mwanga mkubwa anaweka mkataba na kifo hakijui kifo huyo Ndege ya Malaysia ilipotea miaka Hadi Leo hakuna mwenye kaburi,Mv Bukoba ilizama Kuna maiti hazikupatikana Hadi LeoChawa maarufu na mtangazaji wa CloudsFm Mwijaku, amesema kama ikitokea akatangulia kufa basi mwili wake usizikwe mpaka Rais Samia afike kumzika.
Mwijaku ameandika wosia wake kwenye ukurasa wake wa "X",
"WOSIA-ikitokea nimetangualia mbele ya thki kabla ya Rais wetu Samia Tafadhali familia yangu NISIZIKWE MPAKA MAMA ANGU Samia Suluhu afike ndio nizikwe . Tafadhali mama naomba uje unizike kama nitakutangulia mama" - Mwijaku
View attachment 2907155
Nini maoni yako?
✍️ Mjanja M1
Sasa wamakonde wamekujaje katika Uzi wa Mwijaku?Sio Wamakonde tu, hata Waha nao sio watu.
Hata kama sote tunatafuta pesa kama wanaume ila hawa wenzetu wamevuka mipaka.Uhuru wa kuongea ukizidi Kwa mpumbavu haya ndio matokeo yake ,kuna lile pumbavu lingine lilisema linatamani kumzalia Diamond
Naunga mkono hojaUlimbukeni ni tatizo la wapuuzi wengi