Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
Chawa Wa Mama Amepanic Anaomba Lolote TuSoon ataomba na yeye apigiwe mizinga 21 anadhani ni hisani….
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chawa Wa Mama Amepanic Anaomba Lolote TuSoon ataomba na yeye apigiwe mizinga 21 anadhani ni hisani….
Awahi hospital ya vichaa Mirembe kabla Hali haijawa mbaya zaidiTatizo La Afya Ya Akili Tanzania Ni Kubwa Sana Sana, Chawa Kapatwa Na Nini
Uko sahihitaifa la Kigoma kuna tatizo kwenu kwa jamii yenu. Yaani mnapitiliza kuwa na mambo ya ajabu kushinda CCM wenyewe.
Usi generalize wote 😂Watu wa kigoma fuse zimekatika kichwani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uhuru wa kuongea ukizidi Kwa mpumbavu haya ndio matokeo yake ,kuna lile pumbavu lingine lilisema linatamani kumzalia Diamond
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] msiba juu ya msibaMsiba huu jamani
clouds alishafukuzwaChawa maarufu na mtangazaji wa CloudsFm Mwijaku, amesema kama ikitokea akatangulia kufa basi mwili wake usizikwe mpaka Rais Samia afike kumzika.
Mwijaku ameandika wosia wake kwenye ukurasa wake wa "X",
"WOSIA-ikitokea nimetangualia mbele ya thki kabla ya Rais wetu Samia Tafadhali familia yangu NISIZIKWE MPAKA MAMA ANGU Samia Suluhu afike ndio nizikwe . Tafadhali mama naomba uje unizike kama nitakutangulia mama" - Mwijaku
View attachment 2907162
Nini maoni yako?
[emoji3578] Mjanja M1