Mwijaku: Nikifa nisizikwe mpaka Rais Samia aje kwenye msiba wangu kunizika

Mwijaku: Nikifa nisizikwe mpaka Rais Samia aje kwenye msiba wangu kunizika

Huyu alifaa kuwekwa kizimbani kwa mahojiano zaidi, kwanini amuwazie kifo rais????

Lakini kwa ujinga wa hii serikali, hakuna hatua yoyote itakayochukuliwa.
 
Huko kigoma wanatoka watu gani' ?
Watajijua wenyewe kama Kunatoka aina ya watu kama huyo Mwijaku kitu ambacho siamini wajitathimini kama akili kichwani mwao zimo

Ila nadhani watu kama Mwijaku sio muha original atakuwa chotara huyo kachanganya Kabila ya waha wenye akili na mzazi mwingine atakuwa sio muha anatoka Kabila la wajinga wajinga nadhani mama yake ndio aweza eleza vizuri kama yeye ni muha Kwa upande wa baba na mama au la au aliokotwa barabarani Waka mu adopt baadaye akajiona muha kumbe sio kakulia familia ya waha waliomuokota akiwa kichanga Wakati wazazi wake wanatoka Kabila la wajinga wote wawili

Waha full wasingeandika huo ujinga kaandika
 
Hili linaanza kuwa tatizo viongozi watapewa majukumu yasiyo yao. Kuna watu watakuja kutoa wosia wa hovyo na wataiga hii
 
Chawa maarufu na mtangazaji wa CloudsFm Mwijaku, amesema kama ikitokea akatangulia kufa basi mwili wake usizikwe mpaka Rais Samia afike kumzika.

Mwijaku ameandika wosia wake kwenye ukurasa wake wa "X",

"WOSIA-ikitokea nimetangualia mbele ya thki kabla ya Rais wetu Samia Tafadhali familia yangu NISIZIKWE MPAKA MAMA ANGU Samia Suluhu afike ndio nizikwe . Tafadhali mama naomba uje unizike kama nitakutangulia mama" - Mwijaku

View attachment 2907162

Nini maoni yako?
✍️ Mjanja M1

Akamatwe apimwe akili...
 
Anafanya masihara na maslahi ya kisiasa vs Kifo.
 
Soon ataomba na yeye apigiwe mizinga 21 anadhani ni hisani….
 
Mwenyezi Mungu anamaajabu yake, tuwe nakipimo tunapoongelea mambo yanayohusu utawala wake.
 
Tatizo La Afya Ya Akili Tanzania Ni Kubwa Sana Sana, Chawa Kapatwa Na Nini
 
Back
Top Bottom