Mwijaku: Nikifa nisizikwe mpaka Rais Samia aje kwenye msiba wangu kunizika

Huyu mazeri anadharaulika sana hadi wajinga wajinga kama mwijaku wana mchukulia poa kama amekuwa ni x wake vile
 
Kijana wa miaja 35 anawaza kuzikwa na bibi wa miaka 65,Na mimi paka wangu akifa simziki mpaka mama aje
 
Hii nchi inatia kinyaa sana!
hizi nyufa kwenye nyumba zishaleta madhara
 
clouds alishafukuzwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…