Mwili uliokufa kuweza kurudishiwa uhai ndani ya maabara kubwa

Naamini huku afrika watu wengi hufa kirahisi sana kuliko huko mbele...kuna wengine huwa wamezima tu kwa mudavila kutokana Na mihemko ya maisha Na halingumu za maisha doctor anaamua ahh keshakufa pelekeni mortuary! Kumbe MTU mzima!ndio kiss zimeshakuwepo story za walinzi wa mortuary kutimua mbio baada ya kusikia maiti imepiga chafya!case hizo zimetokea sana
 
]
mi nafikiri wangeanza tu kwanza na kuielewa genome kwa ukamilifu wake wote hii itasaidia sana, tutaanza kudeal na kimoja kimoja kuanzia magonjwa mpk issue ya kuzeeka then tutamalizia na natural death
 

Mkuu namnuku steve hawking "God may exist, but science can explain the universe without the need for a creator"
 

Mkuu namnuku steve hawking "God may exist, but science can explain the universe without the need for a creator"
 
fact
 
pitia na hapa kwenye huu uzi utagundua kitu
Prooved and comfirmed Witchcraft are actual Physicist
 
wazungu wanataka kujaribu kila kitu wanaingilia hadi kazi za Mungu sasa
 
Pumzika kwa amani mwanasayansi wangu VICTOR FRANKEINSTEIN hakika wewe ndio uliweza kurudisha uhai wa mwanadamu lakini sio haa wengine wanaotafuta kiki.
Hii ni fiction tu kama wakina alan quarterman...
Hakuna mtu anayeitwa victor frankeinstein aliyepata kuishi na kufanya hayo mambo mnayosema kafanya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…