ha ha ha wew jamaaaa unachekesha ujue...umewahi kufanya tafiti juu ya dawa ya ukimwi ukabaini kama umeiwashinda,,?? au unasubiri kusoma jounal tu,,,,?? kwa kifupi labda nikwambie ukweli kuwa ukimwi ulitengenezwa na mwanadamu na lengo la kutengeneza HIV virus ilikuwa ni kuchallenge immunity ya mwanadamu bada ya lots of series ya kuchallenge immunity kupitia bacteria na fungal,,,,,human immunity ilichallengiwa kwa bacteria na kuonekana iko strong but the last mission was to challenge the immunity that could bring totally failure ya autoregeneration ya blood cells ambazo zinafait infection.....ilikuweje mpaka wakafikia hatua ya kutengeneza kirusi huyo,,?? inshu ni kwamba mwili unapogundua kuwa kuna abnormal microbial kaingia huwa unasoma antigenic sequence za huyo mduduu na kupelekea kutengeneza antibody against the read antigenic sequence kabla haat hajazaliana sana mwilini...sasa wao madaktar walitaka kuona if wakipandikiza mdudu kwenye mwili wa binadamu walitegemea waone kama yule mdudu anaweza kuzaliana na kufikia titre value number kubwa zaidi kuzidi cell za mwili but hiyo system ilifell kwani human immunity ilikuwa inaprevent hiyo kitu ndo wakaa chini na kutafuta solution which organism ambaye angeweza kushunt down human immuno body system yote na kumfanya organism huyo azaliane kwa kasi zaid na kuzid threshhold titre value number ya cell zote mwili ndo wakaibuka na hilo wazo la kutengeneza genome itakayoshunt town total human immunity na kuruhus reproduction ya huy mdudu bila mwili kujua,,,,jaribio hilo lilifanikiwa kwa kuunganisha genomic fragments za virus tofaut tofaut na kuja na genome moja ambayo ilikuwa na uwezo wa kucease immunity fasta sana...mwaka 1870 huko waliporuhusu HIV virus kuivade human immunity ilikuwa ni kwamba mtu akipata HIV virus alikuwa anasurvive ndani ya siku 10 tu then anakufa sasa hiyo ikawa inawapa shida sana namna ya kujua how the reproduction rate ya virus ilivyokuwa inatrend ,wakarudi maabara tena wakampunguzia surface antigen aggresiveness ya gp 120 na gp 41 badae wakamrudisha tena uraian ambapo sasa alikuwa kashapunguziwa makali kiasi kwamba alianza kushunt down human immunity kwa rate ndogo ambapo mtu alikuwa akipata HIV alikuwa ana uwezo wa kusurvive kwa muda wa miezi 9 tu then immunity inashut down anakufa,wakakaaa tena wakarudisha HIV genome maabara wakafanya kitu kinachoitwa genomic surface antigeni editting ambapo walipunguza baadhi ya surface antigen glycoprotein na kumfanya HIV virus assiwe agrressive sana but awe anashut down taratibu na kufanta half life ya mtu mwenye HIV kuwa miaka 3 lakini bado walikuwa hawajaweza kufikia lengo la kujua how viral titre rate ilivyokuwa inatrend ndo wakarudi maabara ten na kuedit kwa mara ya mwisho viral genome kwa kuongeza baadhi ya glycoprotein kwenye surface ambayo ilikuwa na uwezo wa kumfanya VIRUS wa HIV awe na uwezo wa kuingia mwilini but akabaki asymptomatic for almost even ten years badae ndo aanze kufanya reproduction kwa rate ndogo ndgo sana ,,ndo mana HIV wa leo ni tofauti na wa mika ya 1990 huko,,HIV wa leo ukimpata unaweza ukasurvive asymptomatically [bila kuwa na dalili zozote] for almost even 15 years but there is a day italipuka tu,,so huyo ndo HIV virus unayemzungumzia wewe but sikulaumu simply because you know nothing about that,,but uliza hata madaktari kama wote wataweza kukwambia hivo but it is strictly prohibited ,,,,,,,lakini pia kuna secret nying mmbazo zinalielezea taifa la marekani kujihusisha na utengenezaji wa virus for economic purposes ,kwa mfano huyo HIV virus na H5N1 virus[wa mafuta ya ndege ] pamoja na Ebola virus ,hawa virus wanatiba yake kabsa but amerika anaendesha uchumi wake kupitia uuzaji wa siraha na medicine hasa virla innoculation kwenye jamiii,,anaingiza virus kijiweni lkini pia anatengeneza antiviral drugs ,,ndo mana nakwambia hawawezi kutoa dawa ya ukimwi au ebola wakati uchumi wake anategemea uuzaji wa dawa za ARVs pamoja na chanjo zake,kwa mfano tayri chanjo ya HIV virus tayri ipo tayr kwa garama ya milioni 80 per phase moja na unatikwa kupigwa mara 3 inaitwa IMMUNOPHILIN hiyo baba wanapigwa wenye pesa ndefu,utaishia kuisikia tu mitandaoni,,,,na ukiona siku wameeliminate HIV /AIDS basi ujue washaandaaa zigo jingine litakalokuja kwa staili yake,hizo dawa unazoona wanapewa wagonjwa wa HIV bure sio bure serikali yako kupitia wizara ya afya inalipia huko WHO ndo wanalazimisha wa wagwe bure huku viwanda vyao vikwa vbize kuzalisha dawa hivi unategemea watu waliopo viwandani walipwe na nani kuzalisha hizo dawa zinazopunguza makali ?? asikudanganye mtu et wameshindwa it is for economic purpose brooo.....wale jamaa huwa wanafanya long plane usifikiri wanplane za kitoto toto kamazetu ietiprojrec ya mikaka kumi ha ha wao minimum economc project ni miaka 100 ndo wanachange plani....kuna watu wanitwa ROCKEFELLE R FOUNDATION hawa ndo wanadhamini hayo yote ni hatari sana aise ohooo,,,,