Mwili uliokufa kuweza kurudishiwa uhai ndani ya maabara kubwa

Mwili uliokufa kuweza kurudishiwa uhai ndani ya maabara kubwa

ninachojua ni kwamba ,kuna system mbili zinazoprocess human body function..nazo ni conciou mind system na subconcious mind system,so inasemekana kuwa mtu unapokuwa usingizini au umekufa sytem moja huwa inacease ambayo ni concious mind sytsem ila subconcious mind inabaki active kucontrol basal rate ya mwili wako na ndo system inayohusishwa na mambo ya astral projetion mechanism,,inshort mtu ukifa subconcious mind huwa inahamia plane nyinine ya life[it is belived that when somebody dies the subconcious mind that harbours soul shifts to another plane of reality inabaki inahangaika but finally landers to its fiting plane depending the conciousness you had before death....somo hili ni gumu kidgo linahitaji discussion flani hivi,,but kwa kifupi tafiti zimeshafanyika za kushunt back subconcious mind ya mtu aliyefariki kwa kudetect life path ya huyo mtu
umeandika kiingereza au kiswahili
 
kuna wimbo mmoja wa KYGO FT SELENA GOMEZ-IT AIN'T ME ..utafute huo wimbo wamejaribu kuonesha life after death inakuwaje kwa mtu aliyekufa...yani subconcious mind yake inakuwa haiwez kurudi tena but inakuwa inatambua kila mnachofanya juu ya ule mwili..ujue wakati wmingine these people are trying to reveal the truth but under hidden codes through music industry...utafute huo wimbo halafu utajua manake ...[/QU
nimeucheki huo wimbo ila huyo jamaa anaonekana hajafa ila aliumia tu akazimia.mada inaongelea mtu aliyekufa
 
Dawa ya ukimwi imewashinda ndio watawez hii??mission impossible hii
ha ha ha wew jamaaaa unachekesha ujue...umewahi kufanya tafiti juu ya dawa ya ukimwi ukabaini kama umeiwashinda,,?? au unasubiri kusoma jounal tu,,,,?? kwa kifupi labda nikwambie ukweli kuwa ukimwi ulitengenezwa na mwanadamu na lengo la kutengeneza HIV virus ilikuwa ni kuchallenge immunity ya mwanadamu bada ya lots of series ya kuchallenge immunity kupitia bacteria na fungal,,,,,human immunity ilichallengiwa kwa bacteria na kuonekana iko strong but the last mission was to challenge the immunity that could bring totally failure ya autoregeneration ya blood cells ambazo zinafait infection.....ilikuweje mpaka wakafikia hatua ya kutengeneza kirusi huyo,,?? inshu ni kwamba mwili unapogundua kuwa kuna abnormal microbial kaingia huwa unasoma antigenic sequence za huyo mduduu na kupelekea kutengeneza antibody against the read antigenic sequence kabla haat hajazaliana sana mwilini...sasa wao madaktar walitaka kuona if wakipandikiza mdudu kwenye mwili wa binadamu walitegemea waone kama yule mdudu anaweza kuzaliana na kufikia titre value number kubwa zaidi kuzidi cell za mwili but hiyo system ilifell kwani human immunity ilikuwa inaprevent hiyo kitu ndo wakaa chini na kutafuta solution which organism ambaye angeweza kushunt down human immuno body system yote na kumfanya organism huyo azaliane kwa kasi zaid na kuzid threshhold titre value number ya cell zote mwili ndo wakaibuka na hilo wazo la kutengeneza genome itakayoshunt town total human immunity na kuruhus reproduction ya huy mdudu bila mwili kujua,,,,jaribio hilo lilifanikiwa kwa kuunganisha genomic fragments za virus tofaut tofaut na kuja na genome moja ambayo ilikuwa na uwezo wa kucease immunity fasta sana...mwaka 1950 huko waliporuhusu HIV virus kuivade human immunity ilikuwa ni kwamba mtu akipata HIV virus alikuwa anasurvive ndani ya siku 10 tu then anakufa sasa hiyo ikawa inawapa shida sana namna ya kujua how the reproduction rate ya virus ilivyokuwa inatrend ,wakarudi maabara tena wakampunguzia surface antigen aggresiveness ya gp 120 na gp 41 badae wakamrudisha tena uraian ambapo sasa alikuwa kashapunguziwa makali kiasi kwamba alianza kushunt down human immunity kwa rate ndogo ambapo mtu alikuwa akipata HIV alikuwa ana uwezo wa kusurvive kwa muda wa miezi 9 tu then immunity inashut down anakufa,wakakaaa tena wakarudisha HIV genome maabara wakafanya kitu kinachoitwa genomic surface antigeni editting ambapo walipunguza baadhi ya surface antigen glycoprotein na kumfanya HIV virus assiwe agrressive sana but awe anashut down taratibu na kufanta half life ya mtu mwenye HIV kuwa miaka 3 lakini bado walikuwa hawajaweza kufikia lengo la kujua how viral titre rate ilivyokuwa inatrend ndo wakarudi maabara ten na kuedit kwa mara ya mwisho viral genome kwa kuongeza baadhi ya glycoprotein kwenye surface ambayo ilikuwa na uwezo wa kumfanya VIRUS wa HIV awe na uwezo wa kuingia mwilini but akabaki asymptomatic for almost even ten years badae ndo aanze kufanya reproduction kwa rate ndogo ndgo sana ,,ndo mana HIV wa leo ni tofauti na wa mika ya 1990 huko,,HIV wa leo ukimpata unaweza ukasurvive asymptomatically [bila kuwa na dalili zozote] for almost even 15 years but there is a day italipuka tu,,so huyo ndo HIV virus unayemzungumzia wewe but sikulaumu simply because you know nothing about that,,but uliza hata madaktari kama wote wataweza kukwambia hivo but it is strictly prohibited ,,,,,,,lakini pia kuna secret nying mmbazo zinalielezea taifa la marekani kujihusisha na utengenezaji wa virus for economic purposes ,kwa mfano huyo HIV virus na H5N1 virus[wa mafuta ya ndege ] pamoja na Ebola virus ,hawa virus wanatiba yake kabsa but amerika anaendesha uchumi wake kupitia uuzaji wa siraha na medicine hasa virla innoculation kwenye jamiii,,anaingiza virus kijiweni lkini pia anatengeneza antiviral drugs ,,ndo mana nakwambia hawawezi kutoa dawa ya ukimwi au ebola wakati uchumi wake anategemea uuzaji wa dawa za ARVs pamoja na chanjo zake,kwa mfano tayri chanjo ya HIV virus tayri ipo tayr kwa garama ya milioni 80 per phase moja na unatikwa kupigwa mara 3 inaitwa IMMUNOPHILIN hiyo baba wanapigwa wenye pesa ndefu,utaishia kuisikia tu mitandaoni,,,,na ukiona siku wameeliminate HIV /AIDS basi ujue washaandaaa zigo jingine litakalokuja kwa staili yake,hizo dawa unazoona wanapewa wagonjwa wa HIV bure sio bure serikali yako kupitia wizara ya afya inalipia huko WHO ndo wanalazimisha wa wagwe bure huku viwanda vyao vikwa vbize kuzalisha dawa hivi unategemea watu waliopo viwandani walipwe na nani kuzalisha hizo dawa zinazopunguza makali ?? asikudanganye mtu et wameshindwa it is for economic purpose brooo.....wale jamaa huwa wanafanya long plane usifikiri wanplane za kitoto toto kamazetu ietiprojrec ya mikaka kumi ha ha wao minimum economc project ni miaka 100 ndo wanachange plani....kuna watu wanitwa ROCKEFELLE R FOUNDATION hawa ndo wanadhamini hayo yote ni hatari sana aise ohooo,,,,
 
ha ha ha wew jamaaaa unachekesha ujue...umewahi kufanya tafiti juu ya dawa ya ukimwi ukabaini kama umeiwashinda,,?? au unasubiri kusoma jounal tu,,,,?? kwa kifupi labda nikwambie ukweli kuwa ukimwi ulitengenezwa na mwanadamu na lengo la kutengeneza HIV virus ilikuwa ni kuchallenge immunity ya mwanadamu bada ya lots of series ya kuchallenge immunity kupitia bacteria na fungal,,,,,human immunity ilichallengiwa kwa bacteria na kuonekana iko strong but the last mission was to challenge the immunity that could bring totally failure ya autoregeneration ya blood cells ambazo zinafait infection.....ilikuweje mpaka wakafikia hatua ya kutengeneza kirusi huyo,,?? inshu ni kwamba mwili unapogundua kuwa kuna abnormal microbial kaingia huwa unasoma antigenic sequence za huyo mduduu na kupelekea kutengeneza antibody against the read antigenic sequence kabla haat hajazaliana sana mwilini...sasa wao madaktar walitaka kuona if wakipandikiza mdudu kwenye mwili wa binadamu walitegemea waone kama yule mdudu anaweza kuzaliana na kufikia titre value number kubwa zaidi kuzidi cell za mwili but hiyo system ilifell kwani human immunity ilikuwa inaprevent hiyo kitu ndo wakaa chini na kutafuta solution which organism ambaye angeweza kushunt down human immuno body system yote na kumfanya organism huyo azaliane kwa kasi zaid na kuzid threshhold titre value number ya cell zote mwili ndo wakaibuka na hilo wazo la kutengeneza genome itakayoshunt town total human immunity na kuruhus reproduction ya huy mdudu bila mwili kujua,,,,jaribio hilo lilifanikiwa kwa kuunganisha genomic fragments za virus tofaut tofaut na kuja na genome moja ambayo ilikuwa na uwezo wa kucease immunity fasta sana...mwaka 1870 huko waliporuhusu HIV virus kuivade human immunity ilikuwa ni kwamba mtu akipata HIV virus alikuwa anasurvive ndani ya siku 10 tu then anakufa sasa hiyo ikawa inawapa shida sana namna ya kujua how the reproduction rate ya virus ilivyokuwa inatrend ,wakarudi maabara tena wakampunguzia surface antigen aggresiveness ya gp 120 na gp 41 badae wakamrudisha tena uraian ambapo sasa alikuwa kashapunguziwa makali kiasi kwamba alianza kushunt down human immunity kwa rate ndogo ambapo mtu alikuwa akipata HIV alikuwa ana uwezo wa kusurvive kwa muda wa miezi 9 tu then immunity inashut down anakufa,wakakaaa tena wakarudisha HIV genome maabara wakafanya kitu kinachoitwa genomic surface antigeni editting ambapo walipunguza baadhi ya surface antigen glycoprotein na kumfanya HIV virus assiwe agrressive sana but awe anashut down taratibu na kufanta half life ya mtu mwenye HIV kuwa miaka 3 lakini bado walikuwa hawajaweza kufikia lengo la kujua how viral titre rate ilivyokuwa inatrend ndo wakarudi maabara ten na kuedit kwa mara ya mwisho viral genome kwa kuongeza baadhi ya glycoprotein kwenye surface ambayo ilikuwa na uwezo wa kumfanya VIRUS wa HIV awe na uwezo wa kuingia mwilini but akabaki asymptomatic for almost even ten years badae ndo aanze kufanya reproduction kwa rate ndogo ndgo sana ,,ndo mana HIV wa leo ni tofauti na wa mika ya 1990 huko,,HIV wa leo ukimpata unaweza ukasurvive asymptomatically [bila kuwa na dalili zozote] for almost even 15 years but there is a day italipuka tu,,so huyo ndo HIV virus unayemzungumzia wewe but sikulaumu simply because you know nothing about that,,but uliza hata madaktari kama wote wataweza kukwambia hivo but it is strictly prohibited ,,,,,,,lakini pia kuna secret nying mmbazo zinalielezea taifa la marekani kujihusisha na utengenezaji wa virus for economic purposes ,kwa mfano huyo HIV virus na H5N1 virus[wa mafuta ya ndege ] pamoja na Ebola virus ,hawa virus wanatiba yake kabsa but amerika anaendesha uchumi wake kupitia uuzaji wa siraha na medicine hasa virla innoculation kwenye jamiii,,anaingiza virus kijiweni lkini pia anatengeneza antiviral drugs ,,ndo mana nakwambia hawawezi kutoa dawa ya ukimwi au ebola wakati uchumi wake anategemea uuzaji wa dawa za ARVs pamoja na chanjo zake,kwa mfano tayri chanjo ya HIV virus tayri ipo tayr kwa garama ya milioni 80 per phase moja na unatikwa kupigwa mara 3 inaitwa IMMUNOPHILIN hiyo baba wanapigwa wenye pesa ndefu,utaishia kuisikia tu mitandaoni,,,,na ukiona siku wameeliminate HIV /AIDS basi ujue washaandaaa zigo jingine litakalokuja kwa staili yake,hizo dawa unazoona wanapewa wagonjwa wa HIV bure sio bure serikali yako kupitia wizara ya afya inalipia huko WHO ndo wanalazimisha wa wagwe bure huku viwanda vyao vikwa vbize kuzalisha dawa hivi unategemea watu waliopo viwandani walipwe na nani kuzalisha hizo dawa zinazopunguza makali ?? asikudanganye mtu et wameshindwa it is for economic purpose brooo.....wale jamaa huwa wanafanya long plane usifikiri wanplane za kitoto toto kamazetu ietiprojrec ya mikaka kumi ha ha wao minimum economc project ni miaka 100 ndo wanachange plani....kuna watu wanitwa ROCKEFELLE R FOUNDATION hawa ndo wanadhamini hayo yote ni hatari sana aise ohooo,,,,
Nimeshusha pumzi ndefu.
 
ha ha ha wew jamaaaa unachekesha ujue...umewahi kufanya tafiti juu ya dawa ya ukimwi ukabaini kama umeiwashinda,,?? au unasubiri kusoma jounal tu,,,,?? kwa kifupi labda nikwambie ukweli kuwa ukimwi ulitengenezwa na mwanadamu na lengo la kutengeneza HIV virus ilikuwa ni kuchallenge ,
jamaa naona kanenepa ila HIV au virus kwa ujumla ukimfuatilia sana unawezagundua hawa wametengenezwa na si organism kabisa kwa maana hiyo bado wazungu wameshindwa kutengeneza organism kazi yao ni kumodify organism waliotengenezwa na mungu kama hili unabisha lete confidential nami nije nazo
 
jamaa naona kanenepa ila HIV au virus kwa ujumla ukimfuatilia sana unawezagundua hawa wametengenezwa na si organism kabisa kwa maana hiyo bado wazungu wameshindwa kutengeneza organism kazi yao ni kumodify organism waliotengenezwa na mungu kama hili unabisha lete confidential nami nije nazo
ukisoma singularity divine matrix of the universe utagundua kuwa the divinity power has three parties

1] Universal party-universe plays party
2] God himself-supernatural power
3]personal aspect -mwanadamu mwenyewe,,


hizo ndo nguvu zinazotawala ulimwengu...ndo unaambiwa kuwa hata weww ni part y universal creation ,wew ni part ya mungu ambaye ni muumbaji ndo mana unaweza kuumba mtu [kwa kuzaa] naomba uelewe vizuri hapo,,,usiseme kuwa huwezi kuumba .no you have the ability to creat things even new organism simply because you are the personal aspect of GOD ,ndo mana kupitia watu tunasema mungu kanijalia nimepata pesa but who gave you money if noy human being as you ?? ...so lait ukilijua kuwa hata wew unaweza kucreat everything if you unlock your limitness of boundaries ni mtu hatari sana...ndo mana mwanadamu amefikia hatua ya kutengeneza new species ambazo zipo tofaut na hazijawahi kuexist miaka ya nyuma sasa hapo unasemaje kuwa mungu kaumba..ndio mungu kaaumba coz you are the part of the creater...kuna siri nzito kwenye uumbaji ...ukijua kuwa wew ni muumbaji you can live any life you wish bila intermingles....so virus are created by human being and sijasema all virus but nothing exists from nothing but immerge from pre existing organisms..mara nying tuna sema kuwa kuna kitu kinaitwa NORMAL FLORA BACTERIA NA NORMAL FLORA VIRUS[non causing disease bacteria ] hawa wapo sehemu mbalimbali mwilini mwako ila ukimhamishiwa mazingira anakuwa infectious ,,kwa mfano bacteria wa kwenye rectum au utumbo mpna[large bowel] anitwa ESCHELICIA COLIE,huyo ukimhamisha kutoka kwenye larger bowel ukamleta kwenye njia ya mkojo anakuwa infectous mtu anapata Urinary Tract Infection[UTI] ndo mana wanawake wanaugua UTI sana kuliko wanaume coz ya mechanism ya kutawaza wanatoa nyuma wanalete mbele wanjikuta wanamhamishia makao normal flora bacteria....kwa hiyo normal flora organism mara nying ndo wankuwa sample za kutengenezea species wapya under molecular technology mechanism......nadhani kidogo utakuwa upo na mimi au bado una concept zako za mungu mungu mungu,,,,
 
ukisoma singularity divine matrix of the universe utagundua kuwa the divinity power has three parties

1] Universal party-universe plays party
2] God himself-supernatural power
3]personal aspect -mwanadamu mwenyewe,,,
nitilie mkazo yeye mwanadamu ni kumodify tu na wala hawezi kutengeneza chochote vyote vilivyopo hajaviumba yeye sasa unasema vipi mwanadamu nae yupo sehemu ya utengenezaji jaribu kutofautisha kutengeneza na kumodify
 
Dawa ya ukimwi imewashinda ndio watawez hii??mission impossible hii
Kwani haijagundulika bado na hawa wanasayansi nguli ?
Nasikia hata dawa ya Kansa bado hawajaigundua.
Je mtu akiwa kafa kwa kansa ya ngozi wakimfufua hiyo Kansa atakuwa amepona ?
Au Ukimwi, atakuwa amepona ?

Kufufu mtu kulitakiwa kwanza tiba ya magonjwa yote ipatikane ili kabla ya kufufua, maiti inatakiwa itibiwe magonjwa yote yaliyomfisha.
 
nitilie mkazo yeye mwanadamu ni kumodify tu na wala hawezi kutengeneza chochote vyote vilivyopo hajaviumba yeye sasa unasema vipi mwanadamu nae yupo sehemu ya utengenezaji jaribu kutofautisha kutengeneza na kumodify
mind reality matrix itakupa majibu yote ya doubts zako,,,,,you can find it for more information,information is the key to advance knowlege and conciousness,,,being concious you advanve in knowlege and having knowlege you attain power,from that through power you will be free from reality and decide what thing to do,,
 
lifecoded mkuu nimesubiri umetoa mawazo yako na baadhi ya fact na nimekusupport ili ufunguke ila sasa nakuhakikishia kama jibu langu lilivyo kwenye uzi huu ni kwamba mwili uliokufa hauwezi kufufuliwa tena kwa njia inayoonekana kwenye uzi

sababu hizi hapa
1. kufa kwa ubongo ndio kufa kwa moyo kwa maana hiyo ubongo unaocontrol matendo yasiyo ya hiari hufa kwanza na baadae moyo na vitu vingine navyo ndio vinakufa kwa maana hiyo hii miili iliyohifadhiwa sasa nayo ina ubongo uliokufa hivyo kuufanya mwili huo uishi lazma watafute ubongo mwingine pamoja na spinal cord + na nerve cell zote je kunauwezekano wa kufanya hivyo? hicho ni kitu kisichowezekana hata kidogo

2. unafikiri hili lilifanikiwa mpaka sasa hawa wanaoendelea na hii project wanakufa na kuhifadhiwa kwanini waliokufa kwenye hii project wasifufuliwe na waendelee na hii project

3.pia unafikiri hiyo solution wanayowekewa kuhakikisha hakuna kufreeze kwa cell ina uwezo wa kufikia cell zote mwillini je unafikiri ni mamia ya mabilioni ya cell ngapi zitakuwa zimekufa mode gani hiyo solution inapita mwili mzima against barrier za membrane za cell na sehemu zilizohitaji active transport bila kuharibu cell zenyewe mpaka sasa hiyo mechanism haijaoneshwa

4.unafikiri ni njia gani watatumia kuiondoa hiyo solution antfreeze agent kwenye cell zote za mwanadamu na isibaki hata kidogo wakati cell hazifanyi respiration

5. kwa maadai yao kama wanadai mtu akifa cell bado zinafanya respiration je hawaoni kigezo cha kutoa damu mwilini kwa mtu hawataweza kuitoa iishi kwa sababu cell bado zitaitengeneza na kama kuna madhara ya damu kubaki mwilini yatakuwa pale pale pia kama cell za mtu aliyekufa hazifanyi respiration basi nazo zitakuwa zimekufa hivyo tuseme mtu amekufa na cell zake

6. hakuna confidential document yoyote kuhusu hili pia nikuamishe hili jambo haliwezekani hata miaka ya maelfu ya mabilion ijayo halitawezekana na hii project ikiendelea kufanywa itaisababishia dunia kuingia kwenye mtikisiko wa uchumi

7. hakuna anayeweza kubadili nature bali nature ndio inabadili mtu
8. kwenye maandiko pia ya vitabu vya kidini nayo hayatenguliki kirahisi kwenye torati inaonekana lazima tufe tu
 
mind reality matrix itakupa majibu yote ya doubts zako,,,,,you can find it for more information,information is the key to advance knowlege and conciousness,,,being concious you advanve in knowlege and having knowlege you attain power,from that through power you will be free from reality and decide what thing to do,,
kuna post hapo nnimekujibu kama unapinga pia lete confidential fact hapa wew naona unashindwa kutofautisha modification au ugundunduzi na utengenezaji ndio maana haujawahi sikia mtu anatangazwa katengeneza labda ndege kwa badala yake utasikia mtu kagundua ndege ni kwamba ndege ilikuwa toka enzi lakini ilikuwa imejificha so haikugundulika but kipindi hicho ndio imegundulika na hapo moja kwa moja ni wamefanya modification kwa ndege halisi arukae ndivyo hivyo kwenye meli ni supercopy ya viumbe vinavyotembea kwenye maji magari pia ni supercopy ya wanyama wa nchi kavu wenye kasi kwa maana hiyo mwanadamu hajatengeneza kitu kipya bali ni kumodify nature tuu
 
Back
Top Bottom