ni hiviii,,death is one of the characteristics of living things but siyo guaranted kama unavyofikilia,,,naomba nikurudishe nyuma kidgo kama umesoma mambo ya JOHN DALTON kuhusu postulate zake za sub -atomic particles..alisema kuwa matter is made up by smallest indivisible particles ambazo akaziita atoms ,na aksema pia kuwa huwez tengeneza new atoms ,,yani kwa wakti ule kila mtu aliamini ni kweli lakini bada ya advancement in quatum physics and modern physics wamekuja kugundua kuwa atoms siyo kuwa ni indivisible particle hapana ni divisible particles kwani inaweza kuvunjika zaidi kutoa sub atomic particles zingine ambazo ni electrons ,protons na netrons..kwa hiyo modern physics inaprove wrong juu ya hilo swala ,,,lakini pia kupitia nuclear fission anf fussion we can recreate new atoms,,,yani huoni mkwamba hizo facts za kubase na analysis za zamani zinaenda zinaproviwa failure,,kwa hiyo hata medicine inaenda kuprove wrong point ya death kama characteristic of living things,,unakufa simply because hujajua how to control nature but ask those who had known a bit to control nature uone mambo wanayoyafanya..kama watu wamewez kucontrol weather wanashindwaje kucontrol nature.is weather not a part of nature,,?? uliza chochote nitakujibu kwa facts with evidence but usikate kwa mapokeo