Mwili uliokufa kuweza kurudishiwa uhai ndani ya maabara kubwa

Mwili uliokufa kuweza kurudishiwa uhai ndani ya maabara kubwa

hawawezi cell moja simple yenyewe kwa tetesi nasikia walijaribu kutengeneza huko havard universiy na ikawatoa jasho ila walifanikwa ila nerve sijui sana ila cell hiyo ina organelles nyingi inaweza ikawa ngumu
broooo,,,napenda san a kubishana in molecula level ,,naomba nikuulize kitu,,hivi unafikiri ukisikia kuwa wametengeza nerve unahis kuwa wanahitaji materiol sijui nini na nini..?? ishu pale ni kuitafuta gene inayouhusika kutengeneza specific nerve,,,nerve cell foemation is controlled by number of genes,,kila bundle la nerve linatengenezwa na specific genes,,so kazi ya gene ni kuruhus utengenezwaji wa kitu chochote mwilini....kwa mfano nenda kwa backresa kwenye kiwanda kinachotengeneza nazi au maziwa kama utakuwa kweli magari yanashusha nazi au madafu pale,,,yani wale jamaa wanadeal na gene iliyopo kwenye nazi inayohusika na kutengeneza flavour ,badae kupitia machine za PCR ndo wanazalisha genes nyingi zinazoruhus mabadiliko ya mchanganyiko na kujikuta unakuwa an radha kama na nazi but ni siri nzito aise ,,,mfno mwingine angalia kuku wa kizungu ,wanatotolewa bila nguvu za kiume za jogooo mwingine ,,au mayai ya kizungu yan wanchofanya ni kumchoma sindano kuku yenye genes zinazohusika na kutengeneza mayait mwilini na kuku anajikuta mwili wake unageuka kiwanda cha kufyatua mayi tu bila sperm,,huoni kwamba ni matokeo hatari hayo...ujue kama hujuio molecular technology hutawaweza kubishana kwa hili unless unataka uelewe mambo but siyo kubisha
 
ni hiviii,,death is one of the characteristics of living things but siyo guaranted kama unavyofikilia,,,naomba nikurudishe nyuma kidgo kama umesoma mambo ya JOHN DALTON kuhusu postulate zake za sub -atomic particles..alisema kuwa matter is made up by smallest indivisible particles ambazo akaziita atoms ,na aksema pia kuwa huwez tengeneza new atoms ,,yani kwa wakti ule kila mtu aliamini ni kweli lakini bada ya advancement in quatum physics and modern physics wamekuja kugundua kuwa atoms siyo kuwa ni indivisible particle hapana ni divisible particles kwani inaweza kuvunjika zaidi kutoa sub atomic particles zingine ambazo ni electrons ,protons na netrons..kwa hiyo modern physics inaprove wrong juu ya hilo swala ,,,lakini pia kupitia nuclear fission anf fussion we can recreate new atoms,,,yani huoni mkwamba hizo facts za kubase na analysis za zamani zinaenda zinaproviwa failure,,kwa hiyo hata medicine inaenda kuprove wrong point ya death kama characteristic of living things,,unakufa simply because hujajua how to control nature but ask those who had known a bit to control nature uone mambo wanayoyafanya..kama watu wamewez kucontrol weather wanashindwaje kucontrol nature.is weather not a part of nature,,?? uliza chochote nitakujibu kwa facts with evidence but usikate kwa mapokeo
How can you control weather?
 
hapana ni divisible particles kwani inaweza kuvunjika zaidi kutoa sub atomic particles zingine ambazo ni electrons ,protons na netrons..kwa hiyo modern physics inaprove wrong juu ya hilo swala ,,,lakini pia kupitia nuclear fission anf fussion we can recreate new atoms,,,yani huoni mkwamba hizo facts za kubase na analysis za zamani zinaenda zinaproviwa failure,,kwa hiyo hata medicine inaenda kuprove wrong point ya death kama characteristic of living things,,unakufa simply because hujajua how to control nature but ask those who had known a bit to control nature uone mambo wanayoyafanya..kama watu wamewez kucontrol weather wanashindwaje kucontrol nature.is weather not a part of nature,,?? uliza chochote nitakujibu kwa facts with evidence but usikate kwa mapokeo
utabakia palepale hapo ni wamegundua ambacho hawakukigundua mwanzo na si kwamba wametengeneza nature mpya umeona hapo pia hata wakitengeneza atom mpya ni sawa wametumia sub atomic particle ambazo zilivunjika kwenye atom zamani bado nature ipo pale pale na pia huwa sayansi ina limit sasa wameishia kwenye higgboson particle kama unafuatlia ile cern project hapo utajua hata hiyo cancer inatibiwa vipi na sio cancer eating cell imetengenezwa hiyo project nilipostigi humu ndani ya uzi wa mtu itafute utajifunza mengi mkuu
 
How can you control weather?
High Fequency Active Auroral Research Program[HAARP] hatari sana hiyo kitu..kaitafute usome vizuri ndo utaelewaa kwanin bala la Asia vibunga na madhoruba haviishi au earthquake zinazotokea huko,,,everything can be controlled,,,,,if you control nature you control everything but the issue is not controlling nature but be within the field of nature and nature will allow you to control everything
 
ni hiv wale jamaa wanachofanya sio kwamba wanahifadhi miili kama walivyotoa kwenye documentary yao..wanachofanya ni kuhifadhi mile miili huku wakiendelea kuhifadhi gene zinazohusika na formation ya mwili wako,,,ule mwili wanapoufreeze wnauweka kiporo ili kuendelea kusturd genes zinazohusika na somatic formation ya mwili wako...mtu unapokufa nafsi hutoweka lakini Cell zako [DNA] hubaki na copy ya mwili wako kwa muda flani kwa hiyo wnachofanya kuufreeze mwili ni mkuzuia cell zisiendelee kuharibika zaidi ili wao wakifanya genetic recopying ya genes zinazohusika na somatic body formation ,,wakimaliza kuzizalisha tayri wanaweza kuruhusu ziproreferate kutengeneza copy ya mwili ule ule wa kwanza hata kama ule mwingine utakuwa umeharibika....kwa hiyo lengo la kufreeze ni kuendelea kucopy DNA sequence ya somatic chromosomes zilibeba somatic genes [genes zinazohusika na formation ya sura na ngozi] ila kuhusu akili itakuwa ishahifadhiwa..soma vizuri kuhusu technolijia inayokuja ya kuapload human knowlege na kumpandikizia mtu mwingine..manake nini miaka ijayo tunaenda kuhamishiana knowlege kama tunavyorushiana nyimbo kwa brututhi,,yani ukimwona mtu katoa wazo flani kama umemwelewa unahamisha kwowlege yake ,wanaita mind apload,,,,these things are strange unaweza usiamini but that is how it is going to happen..sasa kama wataweza kuhamisha mind yako na knowlege huoni sasa kuwa ni rahis kumrudisha mtu in some modification,,think big utaelewa hiyo kitu..it is not sci-fiction but it is going to work

Mkubwa, nakuelewa sana kuhusu mambo mengine yote uliyoandika. Kwa kuongezea tu, achilia mbali kuuhifadhi mwili na kuendelea kufuatilia mwenendo wa hizo cell. Wanauwezo kabisa wa kutengeneza mwili, ubongo, cell, damu, tishu, hisia na kila kitu maabara, tatizo lipo hapo kwenye uhai sijui niite pumzi ili unielewe? Sasa hiyo hata kama ndio mtu amekata roho hapohapo mkamuwahi viungo bado vya moto, mkamuwekea mashine au moyo wa bandia wa kusukuma damu, mambo yataendelea lakini hatafufuka.

Nnachosisitiza, sio trend ya cells au uharibifu wa viungo. Uhai kumtoka mtu. Ndio maana na kuuliza, wewe unauelewaje uhai?
 
utabakia palepale hapo ni wamegundua ambacho hawakukigundua mwanzo na si kwamba wametengeneza nature mpya umeona hapo pia hata wakitengeneza atom mpya ni sawa wametumia sub atomic particle ambazo zilivunjika kwenye atom zamani bado nature ipo pale pale na pia huwa sayansi ina limit sasa wameishia kwenye higgboson particle kama unafuatlia ile cern project hapo utajua hata hiyo cancer inatibiwa vipi na sio cancer eating cell imetengenezwa hiyo project nilipostigi humu ndani ya uzi wa mtu itafute utajifunza mengi mkuu
kuna njia nyingi za kutibu cancer,kuna chemotherapy ,radiation ambayo wew ndo nahis unaizungyumzia na njia nyingine ambayo wao wanadai wanatengeneza progeny zitakazokuja kueat cancered cells,,,hiyo ya chemotherapy inahusisha comibanation nying za dawa ambazo zinaenda kuamsha mwili utengeneze antibody zitazosababisha autolysis ya cancered cells mwilini ,,so kila kitu kinawezekana ili mradi you are connected in the field of nature
 
broooo,,,napenda san a kubishana in molecula level ,,naomba nikuulize kitu,,hivi unafikiri ukisikia kuwa wametengeza nerve unahis kuwa wanahitaji materiol sijui nini na nini..??
kwanza ndugu nerve sijaongelea nerve cell hapo naongelea nerve kama nerve unajua kuwa ina mabilioni ya nerve cell tena cell nyingine zimejitofautisha kwa ajili ya kazi maalumu kwa maana hiyo hapo tuna malaki ya gene tofauti tofauti kwenye hizo cell unafikiri ni kitu rahisi kugundua na kutengeneza hizo gene ili watengeneze nerve? wewe kama HIV amaye kuna tetesi si confirmed kwamba alitengenezwa inaonekana watu walipata shida miaka na miaka na HIV mwenyewe hana nerve ana DNA tu ndio sembuse kwa nerve nzima kutengenezwa yaan wew mpaka na vitukuu vyako mtakufa bado watu hawajatengeneza hiyo nerve tena si nerve ya mwanadamu yani iwe nerve ya kiumbe simple tuu kama unabisha lete confidetial document
 
Mkubwa, nakuelewa sana kuhusu mambo mengine yote uliyoandika. Kwa kuongezea tu, achilia mbali kuuhifadhi mwili na kuendelea kufuatilia mwenendo wa hizo cell. Wanauwezo kabisa wa kutengeneza mwili, ubongo, cell, damu, tishu, hisia na kila kitu maabara, tatizo lipo hapo kwenye uhai sijui niite pumzi ili unielewe? Sasa hiyo hata kama ndio mtu amekata roho hapohapo mkamuwahi viungo bado vya moto, mkamuwekea mashine au moyo wa bandia wa kusukuma damu, mambo yataendelea lakini hatafufuka.

Nnachosisitiza, sio trend ya cells au uharibifu wa viungo. Uhai kumtoka mtu. Ndio maana na kuuliza, wewe unauelewaje uhai?
safi...ujue nini everything can be rebooted hakuna kinachoshindikaan kama wamweza kufikia hatua ya kutengeneza figo ,moyo ,liver na ubongo kwa kutumia programed technolgy basi lazima ukubali kuwa ipo siku watajua the source ya uhai,,kama niivyotangulia kusema kuwa sis tunaona kama haiwezekani but outcomes tayri zishaonesha kuwa inawezekaan,,,
 
kuna njia nyingi za kutibu cancer,kuna chemotherapy ,radiation ambayo wew ndo nahis unaizungyumzia na njia nyingine ambayo wao wanadai wanatengeneza progeny zitakazokuja kueat cancered cells,,,hiyo ya chemotherapy inahusisha comibanation nying za dawa ambazo zinaenda kuamsha mwili utengeneze antibody zitazosababisha autolysis ya cancered cells mwilini ,,so kila kitu kinawezekana ili mradi you are connected in the field of nature
ni kweli cjakataa pia hiyo ipo kwenye cern project kuna kitu kinaitwa antimater hapo ndio kinaunda hiyo issue ya kuliwa kwa cancer cell kuna uzi huku ngoja naucheck nakupa
 
safi...ujue nini everything can be rebooted hakuna kinachoshindikaan kama wamweza kufikia hatua ya kutengeneza figo ,moyo ,liver na ubongo kwa kutumia programed technolgy basi lazima ukubali kuwa ipo siku watajua the source ya uhai,,kama niivyotangulia kusema kuwa sis tunaona kama haiwezekani but outcomes tayri zishaonesha kuwa inawezekaan,,,
figo yenyewe ipo kama robot mwilini haikui wala haifi ni sawa na kuunda vipira vya utumbo mwemba pale utasema wameunda utumbo mwembamba au wameumba kishikizo cha utumbo
 
kwanza ndugu nerve sijaongelea nerve cell hapo naongelea nerve kama nerve unajua kuwa ina mabilioni ya nerve cell tena cell nyingine zimejitofautisha kwa ajili ya kazi maalumu kwa maana hiyo hapo tuna malaki ya gene tofauti tofauti kwenye hizo cell unafikiri ni kitu rahisi kugundua na kutengeneza hizo gene ili watengeneze nerve? wewe kama HIV amaye kuna tetesi si confirmed kwamba alitengenezwa inaonekana watu walipata shida miaka na miaka na HIV mwenyewe hana nerve ana DNA tu ndio sembuse kwa nerve nzima kutengenezwa yaan wew mpaka na vitukuu vyako mtakufa bado watu hawajatengeneza hiyo nerve tena si nerve ya mwanadamu yani iwe nerve ya kiumbe simple tuu kama unabisha lete confidetial document
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] tatizo unataka ushuhudie hayo yote,,,nilisema kuwa hizo ni plani kwani CERN project inaisha leo..imejengwa kwa miaka 10 nafikiri ile HYDRON COLLIDER TURNEL...kuna mtu alijua itachukua miaka 2 ili ashuhudie ha ha ha but ndo kwanza wanastabilize...any way keep watching ,,watch every step you move utaona mengi snaa...
 
ni kweli cjakataa pia hiyo ipo kwenye cern project kuna kitu kinaitwa antimater hapo ndio kinaunda hiyo issue ya kuliwa kwa cancer cell kuna uzi huku ngoja naucheck nakupa
naujua hata usihangaike kuutafuta[emoji1]
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] tatizo unataka ushuhudie hayo yote,,,nilisema kuwa hizo ni plani kwani CERN project inaisha leo..imejengwa kwa miaka 10 nafikiri ile HYDRON COLLIDER TURNEL...kuna mtu alijua itachukua miaka 2 ili ashuhudie ha ha ha but ndo kwanza wanastabilize...any way keep watching ,,watch every step you move utaona mengi snaa...
mbona umejengwa tayari naleta uzi saivi naona bila document tutapishana
 
Back
Top Bottom