Mwili uliokufa kuweza kurudishiwa uhai ndani ya maabara kubwa

wazungu wanataka kujaribu kila kitu wanaingilia hadi kazi za Mungu sasa

Tanua Akili ikusaidie ,huyo huyo Mungu wako alisema Watu wangu wanaaangamia kwa kukosa Maarifa.Toka nje ya Box Mkuu ,Mila na Tamaduni za Watu zisikufungie tu humo.
 
Mtu kufa ni uhai kutoweka, wanaweza wakatengeneza mwili wenye moyo unaosukuma damu pamoja na ubongo maabara.
Uhai ndio maisha yenyewe na hapo naona changamoto wanayotakiwa kushughulika nayo. UHAI

Kwani 'Uhai' ni nini Mkuu ?
 
Tanua Akili ikusaidie ,huyo huyo Mungu wako alisema Watu wangu wanaaangamia kwa kukosa Maarifa.Toka nje ya Box Mkuu ,Milana Tamaduni za Watu zisikufungie tu humo.
fact lakini hayo maarifa waliyonayo yatafufua mwili wakina adam pi waliambiwa watakufa tu yote hayo ni maandiko kama hayo yako uliyoyatoa
 
upo deep mkuu du yajayo yanatisha sasa hawa majamaa nimeamini watakuwa wameweza kufufua hiyo miili sema wanatuficha hapo nimekubali kiongozi
Mkuu zikija mada za Israel na Palestine unaweka wap akili zako? ?
 
hiyo hela ukilipa na wew ni mtanzania na umeacha watanzania wengi wanateseka huku magu atakuuaa
MZee hapo mnazungumzia " kuhusu " kutokufa ..vipi kuhusu kutozeeka " hawaja Fanya utafiti huo "" mpaka sasa ??
 
wewe muache tu " yupo yupo tu " hajui kitu Bendera fuata upepo ""
 
ha haha hahaa""
 
ulimwengu "" zaidi ya uujuavyo
aiseeee..ndio maana nauchukia ulimwengu ''" nivile tu hakuna sehemu tofauti ya kwenda kuishi ambayo inamuwezesha binaadamu kusurvive ...kinyume na hapo ningewaachia dunia yenu
 
Hapo ndipo waafrika tunaposhindwa na wazungu!!!!!! badala ya kuumiza akili tunaenda kwenye maombi
huyo .jamaa jinga kabisaaa...amekazania yesu alifufuka yesu alifufuka.
utadhani vile alimuona...ajabu ya imani anaamini anayoambiwa kwenye vitabu vya dini"" lakini anakataa anayoambiwa kwenye vitabu vya project beam"" wakati vyote ni vitabu"" tena nafuu ya hivi anamatendo yake ya hizo project anayaona...umasikini niujinga mkubwa mnooo
 
Nina swali linaloendana na hii mada,,ni hivi juzi kwenye HISTORY chañnel kuna jamaa alikua anatafuta vitu kama nywele za hitrel akidai kua through DNA wanaweza kumleta hitrel duniani tena,,sasa mimi sikumuelewa
 
MKuu hi research yakufanikisha mungano kati ya computer na ubongo wa binadamu wanadai itafanikiwa kwa kiwango kikubwa pia itamfanya binadamu aweze kujifunza kwa haraka pia kumfanya aweze kuishi milele but this would be electronically
 
Nina swali linaloendana na hii mada,,ni hivi juzi kwenye HISTORY chañnel kuna jamaa alikua anatafuta vitu kama nywele za hitrel akidai kua through DNA wanaweza kumleta hitrel duniani tena,,sasa mimi sikumuelewa
hii kitu ndugu ni abstract ingekuwa inahusu physics ningesema ni metaphysics yaan unywele wa kiumbe kilichokufaga ukipatikana ukirudishe hicho kiumbe upyaaaa hakika hakika haitatokeaaa hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…