TANZIA Mwili wa Ulomi, Mfanyabiashara aliyedaiwa kupotea wakutwa mochwari Mwananyamala

Kinachonishangaza mamlaka za serikali zinazohusika ikitokea mtu katekwa zinatoa majibu mepesi sana mpaka unashangaa hivi huyu amewezaje kupewa nafasi ya uongoz kama hii? Mkuu wa nchi naye Yuko kimya hata kulaani ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…