TANZIA Mwili wa Ulomi, Mfanyabiashara aliyedaiwa kupotea wakutwa mochwari Mwananyamala

TANZIA Mwili wa Ulomi, Mfanyabiashara aliyedaiwa kupotea wakutwa mochwari Mwananyamala

Mfanyabiashara Daisle Simon Ulomi, aliyepotea tangu Desemba 11, 2024 amekutwa amekufa na mwili wake kukutwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mwananyamala, jijini Dar es Salaam.
View attachment 3177965
Ulomi aliyekuwa akifanya biashara za fedha za mitandao ya simu maeneo yaa Sinza Kijiweni na Mwenge alipotea tangu 11 Desemba 2024.

Juhudi za kumpata Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro zinaendelea, baada ya simu zake kuita bila kupokelewa.

Akizungumza na Mwananchi leo Jumatatu, Desemba 16, 2024 baba mkwe wa Ulomi, Japhet Munisi amesema alipigiwa simu leo asubuhi na mke wa marehemu, akimjulisha kuwa amepata taarifa kuwa mwili wa mumewe uko hospitali.

Pia, Soma:

Mfanyabiashara Ulomi apotea, familia na Polis wanamtafuta
TRA: Hatuhusiki na kupotea kwa mfanyabiashara Daisle Simon Ulomi
Polisi waanza kumtafuta Ulomi anayedaiwa kupotea
Inasikitisha sana ,shida ni nini hasa? Na watu wanaoua wengine kwani wao wanafaidikaje? Tujuzane
 
Taarifa za awali wakati wa kupotea kwake zilisema alikuwa anaelekea kufuatilia mizigo yake (Kontena) bandarini, na TRA wakatoa ufafanuzi kuwa wao hawahusiki na kwamba marehemu alikuwa akimtumia wakala mwingine wa forodha (binafsi)

Kwa aina ya biashara zilizoorodheshwa hapa sijaona yoyote inayohusiana na masuala ya kufuatilia mizigo.

Marehemu ana biashara nyingine? Kufuatilia kwake mizigo yake kuna uhusiano wowote na kifo chake?

Maswali ni mengi, apumzike kwa amani.
akili huna au unauwezo mdogo wa kufikiri watu invest sehemu tofauti mtu anaweza kua wakala lakini ana deal na vifaa vya magari,vya ujenzi n.k
 
Vifo vingine vinatokana na dhuruma nk. Sidhani kama kufikiria serekali ya fisiemu inauwa hawa watu wote ni sahihi
let be reasonable guys. Serekali haiwezi kuuwa watu hovyo ikuuwe ww nani!!?? Yani serekali ije ikuuwe ww tigopesa kuweni na heshima kidogo basi
Unakwepesha lawama kwa nguvu kubwa sana..

Kazi ya Kulinda Raia na Mali zao ni ya nani?

Mfano tukadhulumiana hapa ukapotea mwili ukutwe mochwari... Will that be okay?

Unajua taratibu za kupeleka mwili mochwari? Au hata mahtuti tu hospitalini?

Aliempeleka Mochwari huyo bwana ni nani? Waliompokea ni kina nani? Maelezo ya awali yalikuwaje mpaka hospital ikakubali kuupokea..

Wacha bla bla mkuu, hili ni letu sote, yakikukuta au kumkuta ndugu yako wa karibu ndio utajua ukwel kwenye hili..
Hakuna sababu yeyote kutoa uhai wa mtu....
 
Unakwepesha lawama kwa nguvu kubwa sana..

Kazi ya Kulinda Raia na Mali zao ni ya nani?

Mfano tukadhulumiana hapa ukapotea mwili ukutwe mochwari... Will that be okay?

Unajua taratibu za kupeleka mwili mochwari? Au hata mahtuti tu hospitalini?

Aliempeleka Mochwari huyo bwana ni nani? Waliompokea ni kina nani? Maelezo ya awali yalikuwaje mpaka hospital ikakubali kuupokea..

Wacha bla bla mkuu, hili ni letu sote, yakikukuta au kumkuta ndugu yako wa karibu ndio utajua ukwel kwenye hili..
Hakuna sababu yeyote kutoa uhai wa mtu....
Hakuna nguvu yyte hapo. Akili yako fupi tu
 
Mfanyabiashara Daisle Simon Ulomi, aliyepotea tangu Desemba 11, 2024 amekutwa amekufa na mwili wake kukutwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mwananyamala, jijini Dar es Salaam.
View attachment 3177965
Ulomi aliyekuwa akifanya biashara za fedha za mitandao ya simu maeneo yaa Sinza Kijiweni na Mwenge alipotea tangu 11 Desemba 2024.

Juhudi za kumpata Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro zinaendelea, baada ya simu zake kuita bila kupokelewa.

Akizungumza na Mwananchi leo Jumatatu, Desemba 16, 2024 baba mkwe wa Ulomi, Japhet Munisi amesema alipigiwa simu leo asubuhi na mke wa marehemu, akimjulisha kuwa amepata taarifa kuwa mwili wa mumewe uko hospitali.

Pia, Soma:

Mfanyabiashara Ulomi apotea, familia na Polis wanamtafuta
TRA: Hatuhusiki na kupotea kwa mfanyabiashara Daisle Simon Ulomi
Polisi waanza kumtafuta Ulomi anayedaiwa kupotea
Utawala wa Magufuli na Samia ni wa kishetani, walaaniwe wote na uzao wao
 
akili huna au unauwezo mdogo wa kufikiri watu invest sehemu tofauti mtu anaweza kua wakala lakini ana deal na vifaa vya magari,vya ujenzi n.k
Wewe ni kichaa na mijadala huiwezi. Hoja zangu nimeziweka katika mfumo wa maswali ambayo tukipata majibu tunaweza kupata mwanga kuelekea kwenye viashiria vya chanzo kilichopelekea kifo chake.

Nimeuliza alikuwa na biashara nyingine? Kama alikuwa nazo kwanini hazijaorodheshwa kama ilivyokuwa kwa hizo nyingine za miamala ya kifedha?

Well, kama anazo ni biashara gani? Ni mizigo ya aina gani aliyokuwa anafuatilia?
 
Back
Top Bottom