Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 182,097
- 1,099,383
Siyo ujinga. Monopoly ni mbaya kwa mteja na competition ni nzuri.
Kama Wachina watauza kwa bei ya chini bidhaa zile zile ni heri kwa mteja. Na hilo ni jambo jema...
Turuhusu competition ya watoa huduma na makampuni. Ndivyo mambo yalivyo huko nchi za wenzetu. Monopoly ni adui!
Kama Wachina watauza kwa bei ya chini bidhaa zile zile ni heri kwa mteja. Na hilo ni jambo jema...
Turuhusu competition ya watoa huduma na makampuni. Ndivyo mambo yalivyo huko nchi za wenzetu. Monopoly ni adui!