Mwisho wa Kariakoo huu hapa: Serikali yapitisha gulio la Wachina Kurasini

Mwisho wa Kariakoo huu hapa: Serikali yapitisha gulio la Wachina Kurasini

Sisi wananchi tunachotaka ni bidhaa kwa bei ya chini nyie madalali mtajijua dunia ni soko huria ,kariakoo walijaa Wachagga wezi wezi tu kuibia WATU wasiojua bei acha wachina wawavunde tena serikali iwahi haraka

USSR
Hapa sio china mzee.

Jukumu la Serikali ya Tanzania ni kuwalinda Raia wake kwa wivu mkubwa na sio kuwatengenezea Raia wa kigeni mazingira ya kunufaika.

Unachofanya wewe ni sawa na kumshangilia baba yako akimpeleka shule nzuri mtoto wa jirani na wewe akikupeleka shule ya kata.
 
Siyo ujinga. Monopoly ni mbaya kwa mteja na competition ni nzuri.

Kama Wachina watauza kwa bei ya chini bidhaa zile zile ni heri kwa mteja. Na hilo ni jambo jema...

Turuhusu competition ya watoa huduma na makampuni. Ndivyo mambo yalivyo huko nchi za wenzetu. Monopoly ni adui!
Kuwe na level playing field. Nimesoma hapo kuwa hawa watauza halafu ndio walipe kodi. Wakati wa kariiakoo analipa kodi kabla Huoni kuna issue hapo?
 
Kati ya vitu vya kijinga serikali inaenda kufanya kwa watu wake ni kuua soko la Kariakoo kwa kuruhusu gulio la Wachina Kurasini ili wauze bidhaa zao bila kodi na kodi ikusanywe pale tu bidhaa inapotoka.

Hizi akili itakuwa kazitoa Mwigulu lakini ikitokea hili limefanikiwa basi Kariakoo haitakua na watu tena. Wachina tunawajua wanauza mpaka miwa wale na bei yao hutaweza kushindana nao kwa sababu wanapewa backup kubwa na Serikali yao.

Tuwe tunafikiria kwa kutumia kichwa.
Kariakoo ndilo soko la nje (open market) kubwa zaidi Africa mashariki kati na kusini. Inashangaza serikali kutaka kuuwa soko hili maarufu Africa!
 
Wanaibia wanunuzi na serikali kwa ujumla kwa tamaa ya faida kubwa isiyoendana na huduma (bidhaa). Mfano kiatu anauza 50,000 apate faida ya 15,000 nje ya kodi. Kiatu hichohicho nikiagiza china kinagharimu 30,000 kila kitu hadi nakivaa
Sera ya uchumi ya serikali ya JMT Ni ipi hasa?
Socialist economy (state controlled economy
Capitalist economy (free market economy) au
Mixed Economy?
Ukiweza kutoa jibu katika Hilo huwezi kuwaita watu wezi!
Watu wanafanya biashara in accordance to Sera za uchumi za nchi husikaN! Kwani unefuatwa nyumbani ukalazimishwa ununue viatu kwa mchaga? Pathetic
 
Kati ya vitu vya kijinga serikali inaenda kufanya kwa watu wake ni kuua soko la Kariakoo kwa kuruhusu gulio la Wachina Kurasini ili wauze bidhaa zao bila kodi na kodi ikusanywe pale tu bidhaa inapotoka.

Hizi akili itakuwa kazitoa Mwigulu lakini ikitokea hili limefanikiwa basi Kariakoo haitakua na watu tena. Wachina tunawajua wanauza mpaka miwa wale na bei yao hutaweza kushindana nao kwa sababu wanapewa backup kubwa na Serikali yao.

Tuwe tunafikiria kwa kutumia kichwa.
Rais atengue uteuzi wa Mwigulu japo ni mshikaji wake, ataliangamiza taifa kwa kiburi chake na ubinafsi uliopitiliza
 
Kati ya vitu vya kijinga serikali inaenda kufanya kwa watu wake ni kuua soko la Kariakoo kwa kuruhusu gulio la Wachina Kurasini ili wauze bidhaa zao bila kodi na kodi ikusanywe pale tu bidhaa inapotoka.

Hizi akili itakuwa kazitoa Mwigulu lakini ikitokea hili limefanikiwa basi Kariakoo haitakua na watu tena. Wachina tunawajua wanauza mpaka miwa wale na bei yao hutaweza kushindana nao kwa sababu wanapewa backup kubwa na Serikali yao.

Tuwe tunafikiria kwa kutumia kichwa.
nawaza kotekote, naona kama ni sawa tu, badala ya kwenda china wafanyabiashara wanunue hapo wapeleke kwenye maduka yao kariakoo, lakini pia tuikumbuke tanzania yote si kariakoo tu. wafanya biashara wa mikoani kote tanzania waende hapo watuletee bidhaa huku vijijini kwa bei chee. naamini serikali itakusanya kodi maradufu kuliko inavyokusanya saa hivi kariakoo maana na cc watz ni janjawiid sana kwenye kodi. hebu waje tuwaone tuzione changamoto zake, tukiona haina manufaa tunawafurushia mbali sana, tunaanza upya. TUSIOGOPE
 
Tuache mihemko,, Duniani kote kwenye inchi zilizoendelea magulio yapo kila kitongoji.

Tusikariri maisha kwamba lazima watu wote wajazane kkoo..

Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
Katakuwa hakajui mambo ya market segment! Kanafikri watu wote huwa wanakimbilia kwenye bei ya chini!
 
Wanaibia wanunuzi na serikali kwa ujumla kwa tamaa ya faida kubwa isiyoendana na huduma (bidhaa). Mfano kiatu anauza 50,000 apate faida ya 15,000 nje ya kodi. Kiatu hichohicho nikiagiza china kinagharimu 30,000 kila kitu hadi nakivaa
Kwa muuzaji unashauri hicho kiatu auze bei gani kwenye duka lenye Lundo la Tozo na gari lenyewe linalopaki bara barani huko lina Tozo pia..
 
Wachina hawaji kushusha bei wanachofanya ni kuwa na eneo lao la pamoja kwa kuuza bidhaa kama hapa SA au Zambia wanaita China Mall kila kitu utapata hapo itaweza kuwasaidia wanaonunua kwa ajili ya kwenda kuuza maana masharti yao pia ni kuwa hawauzi reja reja...hapa ni Dragon city zinapatikana bidhaa kutoka China Johannesburg hapo...
 

Attachments

  • 20230207_133542.jpg
    20230207_133542.jpg
    790.8 KB · Views: 4
  • 20230207_133435.jpg
    20230207_133435.jpg
    857.3 KB · Views: 4
  • 20230207_133434.jpg
    20230207_133434.jpg
    909.7 KB · Views: 2
  • 20230207_133431.jpg
    20230207_133431.jpg
    759.3 KB · Views: 2
  • 20230209_143656.jpg
    20230209_143656.jpg
    1.2 MB · Views: 3
  • 20230209_143631.jpg
    20230209_143631.jpg
    1.6 MB · Views: 3
  • 20230207_141548.jpg
    20230207_141548.jpg
    882.7 KB · Views: 5
Kuwe na level playing field. Nimesoma hapo kuwa hawa watauza halafu ndio walipe kodi. Wakati wa kariiakoo analipa kodi kabla Huoni kuna issue hapo?
Mimi kama mteja kwa kweli sijali. Nitakwenda kwa atakayeuza ninachokihitaji kwa bei rahisi. Hayo ya kodi wafanyabiashara watajuana na TRA yao huko. Si wana umoja unaowatetea ama?
 
Sisi wananchi tunachotaka ni bidhaa kwa bei ya chini nyie madalali mtajijua dunia ni soko huria ,kariakoo walijaa Wachagga wezi wezi tu kuibia WATU wasiojua bei acha wachina wawavunde tena serikali iwahi haraka

USSR
Ujumbe wako ni mzuri ila umeharibu tu unaoonesha chuki zako kwa Wachaga.

Kama ni mimba unayo sawa, ila kama ni chuki tu zimekupanda nakuhakikishia utateseka sana kwenye hii sayari dunia
 
Usikute hii hasara ya nchi ni katika lile dili la kumuokoa Ridhiwani asinyongwe China pale alipokamatwa na makontena ya madawa ya kulevya. Sitoshangai kama Kikwete alihusika hapa, Ridhiwani kalitia hili taifa hasara sana eti leo kawa naibu waziri?
Dah makontena ya madawa ya kulevya
 
Back
Top Bottom