berylyn
JF-Expert Member
- Dec 26, 2021
- 877
- 2,618
Nguo ya elfu 10 wanakwambia sh elfu 35Wanaiba Nini?
Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nguo ya elfu 10 wanakwambia sh elfu 35Wanaiba Nini?
Kichwa kipi sasa tutumie kufikiri?Kati ya vitu vya kijinga serikali inaenda kufanya kwa watu wake ni kuua soko la Kariakoo kwa kuruhusu gulio la Wachina Kurasini ili wauze bidhaa zao bila kodi na kodi ikusanywe pale tu bidhaa inapotoka.
Hizi akili itakuwa kazitoa Mwigulu lakini ikitokea hili limefanikiwa basi Kariakoo haitakua na watu tena. Wachina tunawajua wanauza mpaka miwa wale na bei yao hutaweza kushindana nao kwa sababu wanapewa backup kubwa na Serikali yao.
Tuwe tunafikiria kwa kutumia kichwa.
Nguo tunazouziwa toka china kwa 25-30k huko china zinauzwa si zaidi ya buku tatu pesa ya kitanzaniaNadhani hujawahi kuwa mfanyabiashara. Maelezo yako hapo yanatosha kujua kuwa pengine hujawahi kuuza hata pipi.
Dah!Nguo tunazouziwa toka china kwa 25-30k huko china zinauzwa si zaidi ya buku tatu pesa ya kitanzania
Ni kweli kabisa,nguo ambayo inauzwa buku tano mpaka nane za kibongo huko china Ina ubora wa Hali ya juu,hizi simu za kichina unazouziwa laki nane hapa huko ni elfu 40Dah!
Mkuu embu apia nijiridhishe kama unasema kweli!
Yaani nasikia kama miujiza!Ni kweli kabisa,nguo ambayo inauzwa buku tano mpaka nane za kibongo huko china Ina ubora wa Hali ya juu,hizi simu za kichina unazouziwa laki nane hapa huko ni elfu 40
Wanatuibia Sana mabwege hao na nguo za kupauka harakaYaani nasikia kama miujiza!
Ni kweli, vitu vitashuka bei kiasi. Advantage kwa mlajiSiyo ujinga. Monopoly ni mbaya kwa mteja na competition ni nzuri.
Kama Wachina watauza kwa bei ya chini bidhaa zile zile ni heri kwa mteja. Na hilo ni jambo jema...
Turuhusu competition ya watoa huduma na makampuni. Ndivyo mambo yalivyo huko nchi za wenzetu. Monopoly ni adui!
Hakuna kitakachoua kariakoo, uko kote unakokutaja hapako connected kama kariakooKati ya vitu vya kijinga serikali inaenda kufanya kwa watu wake ni kuua soko la Kariakoo kwa kuruhusu gulio la Wachina Kurasini ili wauze bidhaa zao bila kodi na kodi ikusanywe pale tu bidhaa inapotoka.
Hizi akili itakuwa kazitoa Mwigulu lakini ikitokea hili limefanikiwa basi Kariakoo haitakuwa na watu tena. Wachina tunawajua wanauza mpaka miwa wale na bei yao hutaweza kushindana nao kwa sababu wanapewa backup kubwa na Serikali yao.
Tuwe tunafikiria kwa kutumia kichwa.
Washa anza kujenga, sio soko la kawaida wanaita east Africa trade and logistics centre, ukipita pale utaona wameanza kuchimba na wamezungusha mabango ya mradi utakavyokuwa ukikamilikaLile soko lililotakiwa kujengwa pale Ubungo kituo cha zamani cha mabasi limefika wapi?
Hasa ukizingatia kwa sasa kariakoo ina kila sababu ya kubaki juu. Iko centre usafiri wote unaenda kariakoo toka kila sehemu ya mji, biashara ipo tayari, na soko ndio kwanza linaendelea kujengwa upya kwa ukubwa zaidiTuache mihemko, Duniani kote kwenye nchi zilizoendelea magulio yapo kila kitongoji.
Tusikariri maisha kwamba lazima watu wote wajazane Kkoo..
Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
N tena hao wachina watakuwa wanauza kwa bulk kubwa zaidi, itafanya zile safari za China kupungua, watu hao wa Kariakoo pia watanunua mzigo kurasiniSijajua kwanini watanganyika tunaogopa sana ugeni. Wachina wakija na bidhaa zikawa bei nafuu wateja hawatakuja kutoka mikoani tu, hata nchi jirani wanaweza kuja kwa wingi. Mikoani pia biashara zitachangamka.
Cha msingi soko liwe na ukuta, kuingia bure ukitoka na mzigo clearance ifanyike serikali ipate. Huduma ziwe ni kwa jumla, serikali ya soko iwe na database ya maduka yote humo ndani na bidhaa inazouza.
Kabisa mkuu.N tena hao wachina watakuwa wanauza kwa bulk kubwa zaidi, itafanya zile safari za China kupungua, watu hao wa Kariakoo pia watanunua mzigo kurasini
Sehemu gani ya China mkuu niende huko?Nguo tunazouziwa toka china kwa 25-30k huko china zinauzwa si zaidi ya buku tatu pesa ya kitanzania
Nadhani huijui biashara.
Kabisa mkuu,,,Hasa ukizingatia kwa sasa kariakoo ina kila sababu ya kubaki juu. Iko centre usafiri wote unaenda kariakoo toka kila sehemu ya mji, biashara ipo tayari, na soko ndio kwanza linaendelea kujengwa upya kwa ukubwa zaidi