Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuipandisha bei na utapeliWanaiba Nini?
Kweli aisee , Serikali iharakishe taratibu za kuwapa wachina wajenge.Wa Kurasini wataenda na kariakoo wataenda Kariakoo hakuwezi kuisha watu.Nyie mnatupiga mnaenda China kitu cha sh 3500 kule ukija huku unauza mpaka 100.000/= bora waje wachayna wenyewe
Sio lazima wajenge Kurasini wawape wachina eneo jingine acheni utapeliWamepitisha lini wakati Serikali ilisema imeachana na huo mpango wa Kurasini ili kuondoa msongamano?
Kipi hakina faida? Walanguzi wa Tanzania na hao wanaotaka kuuza bidhaa Kwa bei cheap kama Dubai nani ni mshenzi hapo?Ndiyo hatari ya mikopo hiyo. Mikopo inakuelemea hadi unaanza kukubali vitu visivyo na faida kwako. Mwigulu anapiga kelele kuwa wawekezaji wanakuja kuleta ajira, ukweli ni kuwa wanakuja kupora ajira.
Bahati mbaya Serikali ina njaa sana ya pesa yoyote ili iservice madeni. Kama hadi biashara za rejareja nchini mwako zikianza kushikwa na wageni jua kuwa umekwisha. Tuendako ni kubaya sana.
Ni kweli,Ila upande wa kulipa Kodi mchina nae hajambo kwa kukwepa. Maana hata sasa wale wachina wa kkoo bado wanakwepa Sana Kodi.Na pia serekali itakusanya mabilion ya shs, imagine suruali moja ambayo huuzwa 10,000, itakapokuwa inauzwa 5000/-na serekali kukusanya Kodi 3000/-,unadhani serekali itakusanya kiasi gani?
Cost ya production bongo ni kubwa hasa umemeKwanini selekale isiburgain walete hiyo teknolojia hapa maana malighafi zipo
Hao hao na Wakenya ndio Wazuri Ili kupunguza ujinga,upigaji na umburula wenu.Wachina unawajua au wawasikia?
Wale wanatakiwa waje Tanzania kujenga viwanda na si vinginevyo
OverpricingElezea wanalanguaje?
Ulinde raia matapeli Kwa maslahi ya nani? Kwani wachina wanakuja Bure? Wataingiza pesa nyingi kuliko viduka vyenu hivyo,tafuteni kazi za kufanya mapemaHapa sio china mzee.
Jukumu la Serikali ya Tanzania ni kuwalinda Raia wake kwa wivu mkubwa na sio kuwatengenezea Raia wa kigeni mazingira ya kunufaika.
Unachofanya wewe ni sawa na kumshangilia baba yako akimpeleka shule nzuri mtoto wa jirani na wewe akikupeleka shule ya kata.
Nani kakuambia na efd zipo? Nyie mnafanyiwa hivyo Kwa sababu hata efd hamtaki kutumia.Mtanzania gani wa kutetea nyie matapeli?Kuwe na level playing field. Nimesoma hapo kuwa hawa watauza halafu ndio walipe kodi. Wakati wa kariiakoo analipa kodi kabla Huoni kuna issue hapo?
Life tuu kama linaleta hasara ni la nini?Kariakoo ndilo soko la nje (open market) kubwa zaidi Africa mashariki kati na kusini. Inashangaza serikali kutaka kuuwa soko hili maarufu Africa!
Mwigulu ndio Waziri wa Viwanda na Biashara siku hizi? Mbona mnaropoka sana? Kwanza Jiji la Dar watafaidika sanaRais atengue uteuzi wa Mwigulu japo ni mshikaji wake, ataliangamiza taifa kwa kiburi chake na ubinafsi uliopitiliza
Wakienda Kurasini wakauzia Kariakooo Kuna shida? Wanachotaka hao matapeli na madalali ni.kuendelea kutulipua bei kubwa za bidhaa tofauti na uhalisia.nawaza kotekote, naona kama ni sawa tu, badala ya kwenda china wafanyabiashara wanunue hapo wapeleke kwenye maduka yao kariakoo, lakini pia tuikumbuke tanzania yote si kariakoo tu. wafanya biashara wa mikoani kote tanzania waende hapo watuletee bidhaa huku vijijini kwa bei chee. naamini serikali itakusanya kodi maradufu kuliko inavyokusanya saa hivi kariakoo maana na cc watz ni janjawiid sana kwenye kodi. hebu waje tuwaone tuzione changamoto zake, tukiona haina manufaa tunawafurushia mbali sana, tunaanza upya. TUSIOGOPE
Kati ya vitu vya kijinga serikali inaenda kufanya kwa watu wake ni kuua soko la Kariakoo kwa kuruhusu gulio la Wachina Kurasini ili wauze bidhaa zao bila kodi na kodi ikusanywe pale tu bidhaa inapotoka.
Hizi akili itakuwa kazitoa Mwigulu lakini ikitokea hili limefanikiwa basi Kariakoo haitakuwa na watu tena. Wachina tunawajua wanauza mpaka miwa wale na bei yao hutaweza kushindana nao kwa sababu wanapewa backup kubwa na Serikali yao.
Tuwe tunafikiria kwa kutumia kichwa.
Sasa ka mall kama hako ndio kaue Kariakooo?Wachina hawaji kushusha bei wanachofanya ni kuwa na eneo lao la pamoja kwa kuuza bidhaa kama hapa SA au Zambia wanaita China Mall kila kitu utapata hapo itaweza kuwasaidia wanaonunua kwa ajili ya kwenda kuuza maana masharti yao pia ni kuwa hawauzi reja reja...hapa ni Dragon city zinapatikana bidhaa kutoka China Johannesburg hapo...
Naunga mkono hoja,watu wanaleta chuki binafsi badala ya maslahi ya ummaMwigulu anatakiwa kuwepo kwenye nafasi yake kwa miaka yote 10 ya Dr. Samiah.
Wamefikia wapi mpaka sasa Mkuu?Sio soko pale wanajenga mall
Nchi nyingi zipo hivyo, inakua free port, ili wageni wanunuebila kodi biashara itàkua kubwaKati ya vitu vya kijinga serikali inaenda kufanya kwa watu wake ni kuua soko la Kariakoo kwa kuruhusu gulio la Wachina Kurasini ili wauze bidhaa zao bila kodi na kodi ikusanywe pale tu bidhaa inapotoka.
Hizi akili itakuwa kazitoa Mwigulu lakini ikitokea hili limefanikiwa basi Kariakoo haitakuwa na watu tena. Wachina tunawajua wanauza mpaka miwa wale na bei yao hutaweza kushindana nao kwa sababu wanapewa backup kubwa na Serikali yao.
Tuwe tunafikiria kwa kutumia kichwa.
Kwani wewe unapopanga mipango Yako ya mwezi wiki miaka Huwa unalijua.kesho.yako? Au unaishi kama kuku?Unawapangia miaka 10 ijayo wakati hata kesho yao hawaijui. Jifunze kwe yule mwehu aliyetaka kubadilisha katiba ili awe rais wa maisha sasa hivi anasumbuana na mashetani wenziwe huko jehanum