Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 182,097
- 1,099,383
Na hafahamu nini maana ya biashara.Nadhani hujawahi kuwa mfanyabiashara. Maelezo yako hapo yanatosha kujua kuwa pengine hujawahi kuuza hata pipi.
😂😂😂😂Dalili za mwisho wa Dunia
Usikute hii hasara ya nchi ni katika lile dili la kumuokoa Ridhiwani asinyongwe China pale alipokamatwa na makontena ya madawa ya kulevya. Sitoshangai kama Kikwete alihusika hapa, Ridhiwani kalitia hili taifa hasara sana eti leo kawa naibu waziri?Kati ya vitu vya kijinga serikali inaenda kufanya kwa watu wake ni kuua soko la Kariakoo kwa kuruhusu gulio la Wachina Kurasini ili wauze bidhaa zao bila kodi na kodi ikusanywe pale tu bidhaa inapotoka.
Hizi akili itakuwa kazitoa Mwigulu lakini ikitokea hili limefanikiwa basi Kariakoo haitakua na watu tena. Wachina tunawajua wanauza mpaka miwa wale na bei yao hutaweza kushindana nao kwa sababu wanapewa backup kubwa na Serikali yao.
Tuwe tunafikiria kwa kutumia kichwa.
JohnDalili za mwisho wa Dunia
Ujenzi unaendeleaLile soko lililotakiwa kujengwa pale Ubungo kituo cha zamani cha mabasi limefika wapi?
Ujenzi ni 🔥 🔥Lile soko lililotakiwa kujengwa pale Ubungo kituo cha zamani cha mabasi limefika wapi?
Mwafaa.Twafaa
Ujenzi umeanza anza mkuuLile soko lililotakiwa kujengwa pale Ubungo kituo cha zamani cha mabasi limefika wapi?
Inaweza kuwa ni mawazo mazuri! Ila waliopitisha Wana waza sawa na wewe? Labda wawe wanapita hapa na kuchukulia maelezo Yako kuwa ni hoja Yao.Nadhani kurasini kutakuwa na mfumo wa ambao upo based zaidi katika wholesale, na TRA, watakuwa sambamba sioni shida, itasaidia kukusanya mapato vizuri zaidi katika mlango mmoja, kariakoo ujanja ujanja mwingi mno, masoko ya namna hii huwa na GATE moja kubwa ambapo nyote ni lazima mpite hapo! Na kukaguliwa.
HONGERA HONGERA.
Hoja ya kariakoo kufa haipo, Mbona kiatu karume ni 3000/- kwa Jumla na ukikiosha vizuri unakiuza mtaa wa pili kwa 10000 /-
Pale imejengwa ofisi na karakana za mwendo kasiLile soko lililotakiwa kujengwa pale Ubungo kituo cha zamani cha mabasi limefika wapi?
Si mnataka vitu vishushwe bei au?Kati ya vitu vya kijinga serikali inaenda kufanya kwa watu wake ni kuua soko la Kariakoo kwa kuruhusu gulio la Wachina Kurasini ili wauze bidhaa zao bila kodi na kodi ikusanywe pale tu bidhaa inapotoka.
Hizi akili itakuwa kazitoa Mwigulu lakini ikitokea hili limefanikiwa basi Kariakoo haitakua na watu tena. Wachina tunawajua wanauza mpaka miwa wale na bei yao hutaweza kushindana nao kwa sababu wanapewa backup kubwa na Serikali yao.
Tuwe tunafikiria kwa kutumia kichwa.
Wachina unawajua au wawasikia?Sijajua kwann watanganyika tunaogopa sana ugeni. Wachina wakija na bidhaa zikawa bei nafuu ugeni hautakuwa kutoka mikoani tu, hata nchi jirani wanaweza kuja kwa wingi. Mikoani pia biashara zitachangamka.
Cha msingi soko liwe na ukuta, kuingia bure ukitoka na mzigo clearance ifanyike serikali ipate. Huduma ziwe ni kwa jumla, serikali ya soko iwe na database ya maduka yote humo ndani na bidhaa inazouza.