Wachina wapewe wajenge Bandari Kavu pale Tunduma Mbeya na Isaka Shinyanga Ili Wacongo, wamalawi, Zambia, zimbabwe, burundi, Rwanda,sudan, Uganda, Central Afrika,Nk waache Kwenda China. Bidhaa zote wanunue Tunduma au Isaka. Hii itachochea Sana uchumi.
Matajiri wetu hawa wa ndagu hawana ubunifu wowote wa kubuni miradi mikubwa ya kimkakati. Wao wanachojua ni kutoa kafara tu na sio kubuni megaproject.
Huwezi ukawa mshirikina then uwe na akili ya kubuni.
Hakuna matajiri nchi wote hawa ni madalali wajanja wa janja, utajiri wa manyoka, thus hawana akili ya kucheza na fursa tele nchini wakashindana na Wachina. Ndumba upunguza uwezo wa kufikiri.