nguvusimba
JF-Expert Member
- Feb 17, 2020
- 1,124
- 1,839
binafsi naona serikali imechelewa sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miji mingi US ina china town...hadi new york kuna ChinatownSafi sana kama China imehamia kwetu maana na hela za kigeni zitaongezeka
Tena wapewe ekari 10,000 kabisa wajenge mji wao kabisa liwe soko kubwa Africa, na wanunuzi waje tu
Ni akili kubwa kwa wenye uelewa
Kkoo itakua kwa sababu kutakua na bidhaa nyingi zinapatikana kiurahisi hapa nilipo pana Mall za Wachina zaidi ya Sita ndio zinafanya mzunguko mkubwa wa fedha hapo Bree Street na hapo hapo pia pana maduka makubwa ambayo walanguzi wanaita Chimbo chochote atakachohitaji mteja anakimbilia Chimbo..Kadeti ya ukweli inauzwa rand 100 huko chimbo kama 14,000 Tzh au Jean ni rand 100 mpaka 200 nzuri kabisa...Sasa ka mall kama hako ndio kaue Kariakooo?
China town ni tofauti na ninachoongeleaMiji mingi US ina china town...hadi new york kuna Chinatown
Chezea kibaka Ridhiwani weweDah makontena ya madawa ya kulevya
Kamuulize Ridhiwani kisha rudi hapaKufikiria kwa makalio huku
Ujenzi umeanza mkuu, tembelea pale utaonaLile soko lililotakiwa kujengwa pale Ubungo kituo cha zamani cha mabasi limefika wapi?