Mwisho wa Mbowe kisiasa ni worst ever seen in Tanzania

Mwisho wa Mbowe kisiasa ni worst ever seen in Tanzania

Mnataka kutuaminisha kuwa atasimama tena majukwaani na kudai kura ajili ya Chadema?

Taifa hili ambalo hata kama halitamtia hatiani tayari halina imani naye tena litamsikikiza yeye na Chama chake?

Kwa nini mlishindwa kusoma Pychology ya watanzania na kuwatambua kuwa hawako tayari juu ya haya mliyopanga kuyafanya?
Mbona kama umepaniki! Watanzania wanasubiria tu Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi ili wawasulubishe. By the way, vipi huwa unamtembelea jamaa yako Lengai Ole Sabaya kule Kisongo?

Au majeshi yote umehamishia Kisutu?
 
Mnataka kutuaminisha kuwa atasimama tena majukwaani na kudai kura ajili ya Chadema?

Taifa hili ambalo hata kama halitamtia hatiani tayari halina imani naye tena litamsikikiza yeye na Chama chake?

Kwa nini mlishindwa kusoma Pychology ya watanzania na kuwatambua kuwa hawako tayari juu ya haya mliyopanga kuyafanya?
Kwa kuwa Alisha andaliwa hukumu miaka Tano badi sita tangizi wabambikaji kama timu wanajua hatma ya maigizo Yao🏃.
 
Kitu wanachadema hawajui ni kwamba, mama samia ni mtu wa haki sana, hapendi kuonea watu, na ni mtu wa dini. ukiona mtu bado anashitakiwa, jua kuna ukweli, huyo mtu wenu haonewi ndio maana soon after uchaguzi alijua kuwa ameshajulikana kwasababu watu wake walishakamatwa, akawa anakimbilia ulaya analandalanda, shida ni kwamba mademu zake kina Hilda newton na wengine wengi aliwaacha hapa na ulaya hajazoea kuishi kama mwenzie mbelgiji, akarudi baada ya mapatano kadhaa ya wazungu.

pili, angalia hata tundu lisu, muda wote wa kampeni ametukana serikali apendavyo na hajafanywa kitu, ila alipokosa urais akaanza mbio ati anaogopa kushitakiwa Mahakamani, why only baada ya uchaguzi? ni kwasababu walijua walichokuwa wamepanga, hao wanasiasa wanajua kabisa walifanya makosa na kiukweli nafikiri wanatakiwa kusamehewa ila mtu huwa anasamehewa baada ya kutubu sio kujifanya mjanja na kuchafua nchi wakati nyumba yako imejaa vioo. kuna siku mtakuja kuujua ukweli.

Hangaikeni na vi TLP Chadema siyo size yenu
 
Hangaikeni na vi TLP Chadema siyo size yenu
sio saizi yake nani sasa, mimi sio mwanaccm wala cdm ila nasema ukweli. kwanini boss wenu alikimbilia ulaya mara tu baada ya uchaguzi, si alijua vijana wake walishakamatwa na walichokifanya kimejulikana na hawawezi kupona mkono wa sheria? hivi huwa mnafikiri hao watu ni malaika?
 
sio saizi yake nani sasa, mimi sio mwanaccm wala cdm ila nasema ukweli. kwanini boss wenu alikimbilia ulaya mara tu baada ya uchaguzi, si alijua vijana wake walishakamatwa na walichokifanya kimejulikana na hawawezi kupona mkono wa sheria? hivi huwa mnafikiri hao watu ni malaika?

Kwani nani kakwambia wewe CCM?

Mwachieni Lijenje wajomba!
 
Mnataka kutuaminisha kuwa atasimama tena majukwaani na kudai kura ajili ya Chadema?

Taifa hili ambalo hata kama halitamtia hatiani tayari halina imani naye tena litamsikikiza yeye na Chama chake?

Kwa nini mlishindwa kusoma Pychology ya watanzania na kuwatambua kuwa hawako tayari juu ya haya mliyopanga kuyafanya?
Kisa tu anadai katiba mpya?
 
Kitu wanachadema hawajui ni kwamba, mama samia ni mtu wa haki sana, hapendi kuonea watu, na ni mtu wa dini. ukiona mtu bado anashitakiwa, jua kuna ukweli, huyo mtu wenu haonewi ndio maana soon after uchaguzi alijua kuwa ameshajulikana kwasababu watu wake walishakamatwa, akawa anakimbilia ulaya analandalanda, shida ni kwamba mademu zake kina Hilda newton na wengine wengi aliwaacha hapa na ulaya hajazoea kuishi kama mwenzie mbelgiji, akarudi baada ya mapatano kadhaa ya wazungu.

pili, angalia hata tundu lisu, muda wote wa kampeni ametukana serikali apendavyo na hajafanywa kitu, ila alipokosa urais akaanza mbio ati anaogopa kushitakiwa Mahakamani, why only baada ya uchaguzi? ni kwasababu walijua walichokuwa wamepanga, hao wanasiasa wanajua kabisa walifanya makosa na kiukweli nafikiri wanatakiwa kusamehewa ila mtu huwa anasamehewa baada ya kutubu sio kujifanya mjanja na kuchafua nchi wakati nyumba yako imejaa vioo. kuna siku mtakuja kuujua ukweli.
Kaka, tumia akili. Kesi hii inanuka. hata ukifikiri Mbowe ni mjinga (hadi sasa nimesikia tu yeye ni mbaya), mjinga gani anadhani anaweza kushinda serikali kwa kuajiri watu watatu, kwa kuwekeza lakhi 2, 3 ?

Hata vituo 4 au 5 vinachomwa moto katika miji kadhaa, inbadilisha nini? Nimewahi kuona kituo cha petroli kilivyowaka, mitaa 5 ilifungwa, menginevyo maisha kama kawaida...

Au miti kadhaa kuanguka barabarani (hakuna iliyoanguka) - Bana hapa Tanzania, ukiacha vijana wadogo wa mjini, kila dereva anajua kupita barabara yenye mashimo kina hadi jehenam na kuvuka mabwawa barabarani .... Hata kama mti unaanguka barabarani, mabasi mawili yanasimama, abiria 60 wanashuka na wanavuta mti ule kando -

Labda yeye ni mtu mabya sana, lakini mpango wa kijinga kama huo?
 
Kaka, tumia akili. Kesi hii inanuka. hata ukifikiri Mbowe ni mjinga (hadi sasa nimesikia tu yeye ni mbaya), mjinga gani anadhani anaweza kushinda serikali kwa kuajiri watu watatu, kwa kuwekeza lakhi 2, 3 ?

Hata vituo 4 au 5 vinachomwa moto katika miji kadhaa, inbadilisha nini? Nimewahi kuona kituo cha petroli kilivyowaka, mitaa 5 ilifungwa, menginevyo maisha kama kawaida...

Au miti kadhaa kuanguka barabarani (hakuna iliyoanguka) - Bana hapa Tanzania, ukiacha vijana wadogo wa mjini, kila dereva anajua kupita barabara yenye mashimo kina hadi jehenam na kuvuka mabwawa barabarani .... Hata kama mti unaanguka barabarani, mabasi mawili yanasimama, abiria 60 wanashuka na wanavuta mti ule kando -

Labda yeye ni mtu mabya sana, lakini mpango wa kijinga kama huo?
hata tundu lisu angekuwa hapa angeunganishwa kwasababu yote waliyofanya walifanya kwa pamoja. acha ujinga. usifikiri serikali hawajui kilichotokea. ndio maana tundu lisu hatibiwi ila kurudi hapa anaogpoa kwasababu ushahidi upo, na inawezekana ukatolewa vizuri tu pale. we unafikiri kwanini wazungu wamenyamaza? ni kwasababu wameona ukweli wakaamua wapige kimya.
 
Mbona kama umepaniki! Watanzania wanasubiria tu Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi ili wawasulubishe. By the way, vipi huwa unamtembelea jamaa yako Lengai Ole Sabaya kule Kisongo?

Au majeshi yote umehamishia Kisutu?
😂😂😂 Mkuu stick to the point.
 
Mnataka kutuaminisha kuwa atasimama tena majukwaani na kudai kura ajili ya Chadema?

Taifa hili ambalo hata kama halitamtia hatiani tayari halina imani naye tena litamsikikiza yeye na Chama chake?

Kwa nini mlishindwa kusoma Pychology ya watanzania na kuwatambua kuwa hawako tayari juu ya haya mliyopanga kuyafanya?
Hivi wewe uliesoma unaweza kuamini na akili zako kuwa Kesi ya Mbowe inamashiko hata kw trend ya mahakamani? Mbowe ni mtu AnaYeongoza kwa Style ya Siasa za kistaarabu nchi hii.kama kuna mtu anasmini kuw hii kesi uchwara itamfanya asiwe na nguvu ya kisiasa basi Akasome tena!!
 
Kitu wanachadema hawajui ni kwamba, mama samia ni mtu wa haki sana, hapendi kuonea watu, na ni mtu wa dini. ukiona mtu bado anashitakiwa, jua kuna ukweli, huyo mtu wenu haonewi ndio maana soon after uchaguzi alijua kuwa ameshajulikana kwasababu watu wake walishakamatwa, akawa anakimbilia ulaya analandalanda, shida ni kwamba mademu zake kina Hilda newton na wengine wengi aliwaacha hapa na ulaya hajazoea kuishi kama mwenzie mbelgiji, akarudi baada ya mapatano kadhaa ya wazungu.

pili, angalia hata tundu lisu, muda wote wa kampeni ametukana serikali apendavyo na hajafanywa kitu, ila alipokosa urais akaanza mbio ati anaogopa kushitakiwa Mahakamani, why only baada ya uchaguzi? ni kwasababu walijua walichokuwa wamepanga, hao wanasiasa wanajua kabisa walifanya makosa na kiukweli nafikiri wanatakiwa kusamehewa ila mtu huwa anasamehewa baada ya kutubu sio kujifanya mjanja na kuchafua nchi wakati nyumba yako imejaa vioo. kuna siku mtakuja kuujua ukweli.
Njaa mbaya Sana Kiongozi!!Kuna wakati mtu haongei ila njaa humfanyA aongee!!
 
Hivi wewe uliesoma unaweza kuamini na akili zako kuwa Kesi ya Mbowe inamashiko hata kw trend ya mahakamani? Mbowe ni mtu AnaYeongoza kwa Style ya Siasa za kistaarabu nchi hii.kama kuna mtu anasmini kuw hii kesi uchwara itamfanya asiwe na nguvu ya kisiasa basi Akasome tena!!
Tayari caution statement ya Adam Kasekwa imepokelewa kama ushahidi alafu unachukulia poa kama Tate Mkuu !
 
sio saizi yake nani sasa, mimi sio mwanaccm wala cdm ila nasema ukweli. kwanini boss wenu alikimbilia ulaya mara tu baada ya uchaguzi, si alijua vijana wake walishakamatwa na walichokifanya kimejulikana na hawawezi kupona mkono wa sheria? hivi huwa mnafikiri hao watu ni malaika?
Tutajie waliokamatwa
 
Njaa mbaya Sana Kiongozi!!Kuna wakati mtu haongei ila njaa humfanyA aongee!!
ni kweli, njaa ni mbaya, watu mnapigwa virungu kwa hasira za njaa kumbe viongozi wenu wanakaa meza moja na wanaowapiga ninyi na wanachukua mpunga. mtakuja kukumbuka shuka kumekucha.
 
Back
Top Bottom