Mwisho wa Mbowe kisiasa ni worst ever seen in Tanzania

Mwisho wa Mbowe kisiasa ni worst ever seen in Tanzania

Mnataka kutuaminisha kuwa atasimama tena majukwaani na kudai kura ajili ya Chadema?

Taifa hili ambalo hata kama halitamtia hatiani tayari halina imani naye tena litamsikikiza yeye na Chama chake?

Kwa nini mlishindwa kusoma Pychology ya watanzania na kuwatambua kuwa hawako tayari juu ya haya mliyopanga kuyafanya?
Gaidi ni ule mzoga uliokuwa ukiwatukana watu hadharani
 
sio saizi yake nani sasa, mimi sio mwanaccm wala cdm ila nasema ukweli. kwanini boss wenu alikimbilia ulaya mara tu baada ya uchaguzi, si alijua vijana wake walishakamatwa na walichokifanya kimejulikana na hawawezi kupona mkono wa sheria? hivi huwa mnafikiri hao watu ni malaika?
Chizi huwa anaongea mambo hata yeye mwenyewe huwa hayaelewi. Yanamtoka tu kama vile........
 
hata tundu lisu angekuwa hapa angeunganishwa kwasababu yote waliyofanya walifanya kwa pamoja. acha ujinga. usifikiri serikali hawajui kilichotokea. ndio maana tundu lisu hatibiwi ila kurudi hapa anaogpoa kwasababu ushahidi upo, na inawezekana ukatolewa vizuri tu pale. we unafikiri kwanini wazungu wamenyamaza? ni kwasababu wameona ukweli wakaamua wapige kimya.
Sijui kwanini Machizi wanajionaga wana akili nyingi sana
 
Kitu wanachadema hawajui ni kwamba, mama samia ni mtu wa haki sana, hapendi kuonea watu, na ni mtu wa dini. ukiona mtu bado anashitakiwa, jua kuna ukweli, huyo mtu wenu haonewi ndio maana soon after uchaguzi alijua kuwa ameshajulikana kwasababu watu wake walishakamatwa, akawa anakimbilia ulaya analandalanda, shida ni kwamba mademu zake kina Hilda newton na wengine wengi aliwaacha hapa na ulaya hajazoea kuishi kama mwenzie mbelgiji, akarudi baada ya mapatano kadhaa ya wazungu.

pili, angalia hata tundu lisu, muda wote wa kampeni ametukana serikali apendavyo na hajafanywa kitu, ila alipokosa urais akaanza mbio ati anaogopa kushitakiwa Mahakamani, why only baada ya uchaguzi? ni kwasababu walijua walichokuwa wamepanga, hao wanasiasa wanajua kabisa walifanya makosa na kiukweli nafikiri wanatakiwa kusamehewa ila mtu huwa anasamehewa baada ya kutubu sio kujifanya mjanja na kuchafua nchi wakati nyumba yako imejaa vioo. kuna siku mtakuja kuujua ukweli.
We ni kiaz
 
Mnataka kutuaminisha kuwa atasimama tena majukwaani na kudai kura ajili ya Chadema?

Taifa hili ambalo hata kama halitamtia hatiani tayari halina imani naye tena litamsikikiza yeye na Chama chake?

Kwa nini mlishindwa kusoma Pychology ya watanzania na kuwatambua kuwa hawako tayari juu ya haya mliyopanga kuyafanya?
Pychology ndo Nini wewe kilaza 🚮🚮🚮🚮 wewe ndo walewale wa terrorism ni utalii. Takataka
 
Mnataka kutuaminisha kuwa atasimama tena majukwaani na kudai kura ajili ya Chadema?

Taifa hili ambalo hata kama halitamtia hatiani tayari halina imani naye tena litamsikikiza yeye na Chama chake?

Kwa nini mlishindwa kusoma Pychology ya watanzania na kuwatambua kuwa hawako tayari juu ya haya mliyopanga kuyafanya?
Pychology ndo nini we kilaza 🚮🚮🚮 wewe ndo walewale utopolo wa CCM a.k.a mazuzu, ambao terrorism wanasema ni utalii. Takataka 🚮
 
Typing error we kenge.
Sio typing error ni kwamba hamjui. Wewe ni sawa na huyo shahid wa 3 wa serikali ambae kwenye ripoti conspiracy anaandika " consipirancy" halaf anaenda kulia mahakamani eti ni typing error!
 
Mnataka kutuaminisha kuwa atasimama tena majukwaani na kudai kura ajili ya Chadema?

Taifa hili ambalo hata kama halitamtia hatiani tayari halina imani naye tena litamsikikiza yeye na Chama chake?

Kwa nini mlishindwa kusoma Pychology ya watanzania na kuwatambua kuwa hawako tayari juu ya haya mliyopanga kuyafanya?
Hata MAKABURU walisema hivyo hivyo juu ya Mandela !
 
Sio typing error ni kwamba hamjui. Wewe ni sawa na huyo shahid wa 3 wa serikali ambae kwenye ripoti conspiracy anaandika " consipirancy" halaf anaenda kulia mahakamani eti ni typing error!
Makalio ya mama yako unayajua?
 
Mnataka kutuaminisha kuwa atasimama tena majukwaani na kudai kura ajili ya Chadema?

Taifa hili ambalo hata kama halitamtia hatiani tayari halina imani naye tena litamsikikiza yeye na Chama chake?

Kwa nini mlishindwa kusoma Pychology ya watanzania na kuwatambua kuwa hawako tayari juu ya haya mliyopanga kuyafanya?
Mandela alipotoa gerezani hakufanya siasa na wananchi kumuelewa?

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Kitu wanachadema hawajui ni kwamba, mama samia ni mtu wa haki sana, hapendi kuonea watu, na ni mtu wa dini. ukiona mtu bado anashitakiwa, jua kuna ukweli, huyo mtu wenu haonewi ndio maana soon after uchaguzi alijua kuwa ameshajulikana kwasababu watu wake walishakamatwa, akawa anakimbilia ulaya analandalanda, shida ni kwamba mademu zake kina Hilda newton na wengine wengi aliwaacha hapa na ulaya hajazoea kuishi kama mwenzie mbelgiji, akarudi baada ya mapatano kadhaa ya wazungu.

pili, angalia hata tundu lisu, muda wote wa kampeni ametukana serikali apendavyo na hajafanywa kitu, ila alipokosa urais akaanza mbio ati anaogopa kushitakiwa Mahakamani, why only baada ya uchaguzi? ni kwasababu walijua walichokuwa wamepanga, hao wanasiasa wanajua kabisa walifanya makosa na kiukweli nafikiri wanatakiwa kusamehewa ila mtu huwa anasamehewa baada ya kutubu sio kujifanya mjanja na kuchafua nchi wakati nyumba yako imejaa vioo. kuna siku mtakuja kuujua ukweli.
Ni mtu wa dini lakini siyo mcha Mungu.
Mcha Mungu hawezi kuwa kwenye siasa

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom