Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kitu wanachadema hawajui ni kwamba, mama samia ni mtu wa haki sana, hapendi kuonea watu, na ni mtu wa dini. ukiona mtu bado anashitakiwa, jua kuna ukweli, huyo mtu wenu haonewi ndio maana soon after uchaguzi alijua kuwa ameshajulikana kwasababu watu wake walishakamatwa, akawa anakimbilia ulaya analandalanda, shida ni kwamba mademu zake kina Hilda newton na wengine wengi aliwaacha hapa na ulaya hajazoea kuishi kama mwenzie mbelgiji, akarudi baada ya mapatano kadhaa ya wazungu.
pili, angalia hata tundu lisu, muda wote wa kampeni ametukana serikali apendavyo na hajafanywa kitu, ila alipokosa urais akaanza mbio ati anaogopa kushitakiwa Mahakamani, why only baada ya uchaguzi? ni kwasababu walijua walichokuwa wamepanga, hao wanasiasa wanajua kabisa walifanya makosa na kiukweli nafikiri wanatakiwa kusamehewa ila mtu huwa anasamehewa baada ya kutubu sio kujifanya mjanja na kuchafua nchi wakati nyumba yako imejaa vioo. kuna siku mtakuja kuujua ukweli.
Yote yanawezekana chini ya jua.......Mnataka kutuaminisha kuwa atasimama tena majukwaani na kudai kura ajili ya Chadema?
Taifa hili ambalo hata kama halitamtia hatiani tayari halina imani naye tena litamsikikiza yeye na Chama chake?
Kwa nini mlishindwa kusoma Pychology ya watanzania na kuwatambua kuwa hawako tayari juu ya haya mliyopanga kuyafanya?
Ata kuandika tu haujui ivyo ni wazi kuwa uwezo wako wa akili na elimu ni mdogo sana.Mnataka kutuaminisha kuwa atasimama tena majukwaani na kudai kura ajili ya Chadema?
Taifa hili ambalo hata kama halitamtia hatiani tayari halina imani naye tena litamsikikiza yeye na Chama chake?
Kwa nini mlishindwa kusoma Pychology ya watanzania na kuwatambua kuwa hawako tayari juu ya haya mliyopanga kuyafanya?
Jinga sana wew linaongea km linajua mtu.Watu wanafuatilia siasa na pesa tena za haki sio kama alivyokua anafanya mumeo sabaya-jambazirubbish ni wewe. tafuta pesa hao wanasiasa sio wenzako ndio maana pamoja na yote unayoyaona biashara zao zimesimama na wanazidi kuwa matajiri , wakati wewe unapigwa virungu badala yao. funguka.
Taja matusi mawili tu ambayo Lissu aliitukana serikali? Serikali ingemfanya nini wakati hakukuwa na tusi bali kampeni!Kitu wanachadema hawajui ni kwamba, mama samia ni mtu wa haki sana, hapendi kuonea watu, na ni mtu wa dini. ukiona mtu bado anashitakiwa, jua kuna ukweli
pili, angalia hata tundu lisu, muda wote wa kampeni ametukana serikali apendavyo na hajafanywa kitu
Same to Bobi Wine, hawakufanywa kitu wakati wa kampeni kwa sababu obviously ingeonekana ni JPM au M7 wamewahujumu ukizingatia jicho la kimataifa lilikua alert. Ila uchaguzi ukiisha yanatokea kma yale ya Diane Rwigare wa Rwanda ama Miguna Miguna baada ya uchaguzi wa Kenya!! Ama Jussa Ladhu/Mazrui wa ACT Zanzibar walivyotekwa baada ya uchaguz na sio kabla And so on.muda wote wa kampeni ametukana serikali apendavyo na hajafanywa kitu
2025 CCM inapata ushindi wa asilimia 200Mnataka kutuaminisha kuwa atasimama tena majukwaani na kudai kura ajili ya Chadema?
Taifa hili ambalo hata kama halitamtia hatiani tayari halina imani naye tena litamsikikiza yeye na Chama chake?
Kwa nini mlishindwa kusoma Pychology ya watanzania na kuwatambua kuwa hawako tayari juu ya haya mliyopanga kuyafanya?
Wape salamu waambie nguvu inayompigania mwamba haijawahi shindwaSubiri anatakapopewa mvua za kutosha ndio utaona kwanini walikosa usingizi.
Sio rahisi hata kingai akiwa igp,kama jiwe na ubabe wake bila wizi asingepita2025 CCM inapata ushindi wa asilimia 200
Nadhani kura zitaibika zaidi ya enzi za Jiwe.Ndio maana ata katiba mpya hatutaki.Sio rahisi hata kingai akiwa igp,kama jiwe na ubabe wake bila wizi asingepita
Amekosea alikuwa anamaanisha TAULO.TAIFA GANI HILO MKUU mbona umepagawa?
Upuuzi tu.Kitu wanachadema hawajui ni kwamba, mama samia ni mtu wa haki sana,
Waibe kwa akili sio waziNadhani kura zitaibika zaidi ya enzi za Jiwe.Ndio maana ata katiba mpya hatutaki.
Ni mwehu tu anayeweza kuamini kuwa hata ukusanye wanachadema wote uwape mapanga na mashoka waanze kukata miti na kuitandaza barabarani kuanzia Dar mpaka Iringa wataweza kufanikiwa, hata ukiwachukua wakazi wote wa Dar hawataweza kufanikiwa kukata na kuitandaza barabarani miti hiyo.Mnataka kutuaminisha kuwa atasimama tena majukwaani na kudai kura ajili ya Chadema?
Taifa hili ambalo hata kama halitamtia hatiani tayari halina imani naye tena litamsikikiza yeye na Chama chake?
Kwa nini mlishindwa kusoma Pychology ya watanzania na kuwatambua kuwa hawako tayari juu ya haya mliyopanga kuyafanya?
Mnataka kutuaminisha kuwa atasimama tena majukwaani na kudai kura ajili ya Chadema?
Taifa hili ambalo hata kama halitamtia hatiani tayari halina imani naye tena litamsikikiza yeye na Chama chake?
Kwa nini mlishindwa kusoma Pychology ya watanzania na kuwatambua kuwa hawako tayari juu ya haya mliyopanga kuyafanya?
Sawa TagaaaKitu wanachadema hawajui ni kwamba, mama samia ni mtu wa haki sana, hapendi kuonea watu, na ni mtu wa dini. ukiona mtu bado anashitakiwa, jua kuna ukweli, huyo mtu wenu haonewi ndio maana soon after uchaguzi alijua kuwa ameshajulikana kwasababu watu wake walishakamatwa, akawa anakimbilia ulaya analandalanda, shida ni kwamba mademu zake kina Hilda newton na wengine wengi aliwaacha hapa na ulaya hajazoea kuishi kama mwenzie mbelgiji, akarudi baada ya mapatano kadhaa ya wazungu.
pili, angalia hata tundu lisu, muda wote wa kampeni ametukana serikali apendavyo na hajafanywa kitu, ila alipokosa urais akaanza mbio ati anaogopa kushitakiwa Mahakamani, why only baada ya uchaguzi? ni kwasababu walijua walichokuwa wamepanga, hao wanasiasa wanajua kabisa walifanya makosa na kiukweli nafikiri wanatakiwa kusamehewa ila mtu huwa anasamehewa baada ya kutubu sio kujifanya mjanja na kuchafua nchi wakati nyumba yako imejaa vioo. kuna siku mtakuja kuujua ukweli.