M O N S T E R
JF-Expert Member
- Sep 26, 2022
- 2,818
- 8,465
Wanalinda amani kwa kutumia kanga au wana silaha? Wamefanikiwa katika zoezi lao la kulinda amani au wamefeli?M23 na Rwanda ni pande mbili za shillingi (two faces of the same coin) hata ripoti za UN zimethibitisha hilo.
Jwtz wapo kulinda amani.
Jeshi la makada wa CCM halina makali yoyoteHalafu ukitekwa unasema wewe ni mwanaharakati huru, kumbe umbea tu!
Kwa hiyo wajeda wetu walienda kucheza madogoli? Wangelinda vipi amani wakati hata kujilinda wao wenyewe wameshindwa mpaka to the extent ya kukusanywa kama kuku wenye mdondo? Warudi tu waendelee na kazi wanayoiweza ya uchawa kwa Chura Kiziwi.Acha dharau Kama huyo bwana wenu rwanda mnaemwamini hawezi kutia mguu Tanzania. Majeshi yote ya kigeni congo walikua watunza amani tu na Sheria ilikua inawazuia kushambulia. Ukichanganya na usaliti wa wacongo na Upumbavu wao.ndiyo kilichowapa nguvu m23
Kwasasa tuna Jeshi la Makada wa CCM, hakuna Jeshi la Wananchi pale.Jeshi limekaa kisiasa zaidi sasa hivi sio tena Jeshi la kupigana Vita, Jeshi lipo zaidi kuwalinda Viongozi wa kisiasa wabakie madarakani na sio vinginevyo tukichokonolewa nahisi hata na hao vibaka wa M23 tutachezea kichapo vibaya ngoja waivamie Kigoma kule Lake Tanganyika ndio utaona tuna Jeshi la aina gani, Jeshi lililobakia ni Jeshi la kuilinda CCM ibakie Madakani kwa namna yoyote
No election No reform huna Jeshi wenzio CCM wana Jeshi lao unategemea nini? Ukifanya fyoko wanakutembezea kichapo sababu wanailinda CCM kwa namna yoyote
Chopa ya kivita si inadunguliwa mazee itatua wapi wakati maeneo yote M 23 wameyazingira na kumbuka hata jeshi la DRC wamejiunga M 23 na polisi wao kwa kuhahidiwa mshahara mkubwa kuliko wa Serikali ambao ni mdogo na walikua hawapewi kwa wakati..Kwani JWTZ hatuna Chopa za kivita for evacuation.
Ndipo uwezo wao unapoishia, kupiga mabuti wanaompinga bibi yao wa Kizimkazi.Subiri warudi mitaani mtakoma
Wote ni UVCCM bila hivyo haupati ajira.Kwasasa tuna Jeshi la Makada wa CCM, hakuna Jeshi la Wananchi pale.
Yaani mpaka wanauawa na kugaragazwa hawapigani sasa wanalinda nini wakati hata kujilinda wenyewe hawawezi.Ulitaka waanze kupigana?
Wewe bwege tu, katishe pimbi wenzako huko kijijini kwenu.Kuwa na adabu, hii anonymous ID usijikute unaweza ongea unavotaka.
Kids of these days, you're so brainwashed. Tafuta wenyeji wa maeneo yaliyovamiwa na Idd Amin wakupe firsthand information na si habari za kusimuliwa na walimu wako wa madrasa, kwanza huu uzi hauhusu dini bali unahusu udhifu/umahiri wa jeshi letu na kilichotupeka DRC.Alyeleta udini ni baba yako nyerere, hakuwa na haja ya kumpiga vita iddi amini ila alitaka kusimika kanisa, ww hujuwi lolote uliza wazazi wako ni kwanini Tz ilimpiga vita iddi amini, usubiri itekewe kagera, Malawi tu wamepora ziwa lenu lile lake nyasa siju lake tanganyika mmeshindwa kufanya chochote,
Mombasa Kenya ni sehemu ya Zanzibar na Tanzania mbona mmeshindwa kuikomboa. nyinyi subirini uchaguzi mpige wananchi mabomu tu ndio mnayojua kwenye vita vya nchi na nchi hama kitu, M23 inawarejesha kwenye masanduku
Si bora hata kuweka masanamu basi au waende wamevaa madera badala ya full combats kama mfumo ndiyo huo wa ukupigwa kibao shavu la kulia mpe na la kushoto akutandike kibao kingine.Hayo majibu waliyopewa ni ya kweli.
Ukiwa kwenye mkataba wa ulinzi wa amani, silaha na vifaa vya kijeshi hulipiwa na UN.
Halafu mikataba ya kiulinzi ya UN hauruhusiwi kurusha risasi hata uchokozwe.
Atakuwa Mhutu😆😆.
Humu wengi wanafikiri uimara wa jeshi ni kubeba mizigo mizito, kukata matofali na kukimbiakimbia tu huko maporini.Nguvu ya Kagame ni kuwa ana uwezo mkubwa wa Kiakili!. Ili umshinde inabidi uwe na akili kumzidi au angalau ulingane naye.
Mbona vitu vya kawaida tu hivyo? Kweli kwa ukongwe wako unaweza kuuliza swali la kipuuzi kama hili?
Akili za kijinga na kujipa umuhimu msiokuwa nao, lini mateka anakamatwa na kuachiwa silaha yake? M23 wanaonekana wana ubinadamu kuwaachia mateka na kuwaruhusu kurudi Kwao bila condition yeyoteHawa waasi wanatubipu.
Wamewarejesha wanajeshi wetu wa JWTZ nyumbani kupitia Rwanda bila silaha.
Walipoulizwa kwanini wanawafanyia hivyo, wakajibu Sila zote walizokuwa wanatumia Goma ni za Umoja wa Mataifa sio za Tanzania.
Cha ajabu wao hutumia silaha hizo kuteka maeneo mashariki mwa Congo.
Je wanajeshi wetu hawakubeba hata silaha zetu chache wakati wakitoka huku kwenda Congo?
Source: BBC Swahili news.