Mwisho wa Tanzania Pride: JWTZ wadhalilishwa kusubirishwa mpakani huko Rwanda

Mwisho wa Tanzania Pride: JWTZ wadhalilishwa kusubirishwa mpakani huko Rwanda

Najua habari hii imewauma sana makamanda ninawafahamu wa JWTZ!

Najua habari hii imemuua sana kamanda Luteni Generali Mstaafu Mwakibolwa. Najua habari hii imemsononesha sana General Mstaafu Davis Mwamunyange. Najua habari hii haijamlaza vizuri mwamba Luteni General Abdulrhman Shimbo.

What we use to know as Tanzania Pride iliyokuwa inabebwa na Jeshi letu la Wananchi (Tanzania People's Defence Forces) imefikia tamati baada ya wanajeshi wetu kudhalilishwa huko Rwanda kwa kusubilishwa kwa masaa mpakani na Wanajeshi (Mamlaka za Rwanda).

Wanajeshi wetu waliosubilishwa mpakani ni sehemu ya majeruhi wa vikosi vya SADC waliopokea kichapo kutoka kwa Wanajeshi wa Rwanda na Washirika wao M23.

Inasemwa pia Wanajeshi wetu kama sehemu ya wanajeshi wa SADC wamenyang'anywa silaha zao na wanamgambo wa M23 na kuwekwa chini ya ulinzi mkali. Hawawezi fanya chochote bila ruhusa ya M23.

Itakumbukwa hadi miili ya Wanajeshi wetu waliouwawa bado haijarudishwa na inawezekana jamaa wanatuwekea ngumu ili tuendelee kuwalamba miguu na ili watuoneshe kuwa sasa wao ndo mabwana zetu kivita.

Naumia sana Nchi yangu kufikia hapa. Naumia sana Jeshi langu JWTZ kufikia kudhalilishwa hivi.

Kuna haja ya kujitafakari na kuanza upya. CCM ni janga.
View attachment 3249000

=======

Takriban wanajeshi 200 wanaohitaji wakihitajihuduma ya matibabu wakiwemo wale wa Afrika Kusini, Malawi na Tanzania walioko katika Jamuhuri ya Kidemokrasi ya Congo kwa ujumbe unaojulikana kwa jina la SAMIDRC waliondoka Goma na kuvuka mpaka na kuingia Rwanda kuelekea Kigali kwaajili ya kupata ndege za kuwarejesha makwao.

Waziri wa ulinzi wa Afrika Kusini alitangaza wikendiiliyopita kwamba wanajeshi wao waliojeruhiwa katika mapigano na M23 nchini DRC wataanza kurejeshwa makwao wiki hii.

Donatien Mugabo, mkazi wa Gisenyi nchini Rwanda,ambaye ameshuhudia magari yaliyokuwayamewabeba askari hao yakiondoka mpakani kwa upande wa Rwanda, ameiambia BBC kuwa walikuwa kwenye mpaka huo kwa saa kadhaa.

g

Walifika mpakani Jumatatu saa sita mchana, na waliondoka mpakani baada ya saa kumi na mbili jioni, Donatien anasema.

Haijabainika ni nini kilisababisha wacheleweshwe mpakani.

Vyombo vya habari vya Goma - jiji linalodhibitiwa na M23 na nchini Rwanda vilipigwa marufuku kupiga picha au kuzungumza na wanajeshi, kama ilivyokuwa wakati mamluki wa Ulaya walipoondoka Goma kupitia Rwanda.
Magazeti ya Rwanda yanaripoti kuwa wanajeshi 129 wanatoka Afrika Kusini, 40 kutoka Malawi na 25 kutoka Tanzania.

Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) na nchi walikotoka askari hao hawajazungumzia kuachiliwa kwa askari hao wanaotajwa kuhitaji matibabu.
Huwezi ingia Vita kiholera kisa mtu ameamua kukufanyia kebehi. Nchi yetu ( Tanzania) ni makini sana na hata Sasa itaangalia ila kama watahitaji watuchokoze na expansionism yao nao watajua hawajui. Askari lazima uwe mvumilivu hapo wamefanya kutupa zoezi Wala hakuna walicho Fanya Cha maana sana. Watadhani kuwa hatuna nguvu ila ni nani aliewahi toa nguvu halisi kwenye shughuli za kikanda bali ni fursa Fulani ya kusoma mazingira na kuona kama watatujia Nini tujihami.
Watanzania imefikia hatua tunaishi kwa mihemko kwenye mambo nyeti.

Please tuwe makini na tutoe taarifa za watu wasio watanzania(wahamiaji haramu) waliomo nchini ili kuendelea kuimarisha nchi yetu.
Tusibezane kiasi hiki hata familia Yako ukiwa wa kulialia jua huwezi kuwa imara.
 
Ila hata ivyo wenyewe hawapo sawa kuongozwa na mwanamke ila ni uzwa zwa wao wa kuendelea kukubali demokrasia
 
Maskini Nchi yangu! hamasa ya jeshi kwishney! Support ya wananchi kwa jeshi letu Kwishney!
Amini alipigwa na wananchi wote! Afadhali wakati wa Jakaya kulikuwa na hamasa!
Jamani nyie madalali wa raslimali tuachieni nchi yetu tuwasapoti wapiganaji wetu!! Samia must GOO
 
Kids of these days, you're so brainwashed. Tafuta wenyeji wa maeneo yaliyovamiwa na Idd Amin wakupe firsthand information na si habari za kusimuliwa na walimu wako wa madrasa, kwanza huu uzi hauhusu dini bali unahusu udhifu/umahiri wa jeshi letu na kilichotupeka DRC.
Tuliotembelea vijiji vilivyokuwa vimevamiwa(enzi hizo) tunajua udhalimu uliofanywa na wavamizi, tuliongea na victims ambao ni relatives na si habari zilizochujwa kwa malengo ya propaganda.
Tunaelewa kilichowapeleka DRC ni amani kutekeleza amri ya umoja wenu usio na meno wa SADC na UN kwa sababu mnapokea misaada yao halafu mnarudi kwa sanduku, Amani ndio jambo liloshindikana DRC sasa M23 wanachukua nchi kwa mbwe mbwe zote mnakodolea macho tu
 
Maskini Nchi yangu! hamasa ya jeshi kwishney! Support ya wananchi kwa jeshi letu Kwishney!
Amini alipigwa na wananchi wote! Afadhali wakati wa Jakaya kulikuwa na hamasa!
Jamani nyie madalali wa raslimali tuachieni nchi yetu tuwasapoti wapiganaji wetu!! Samia must GOO
Sasa kama Rais anawaambia wanajeshi tena mbele ya vyombo vya habari wajiandae kulinda uchaguzi wakati wananchi wanajua CCM inaiba uchaguzi unategemea wananchi wawe na hamasa na jeshi lao?
 
Huwezi ingia Vita kiholera kisa mtu ameamua kukufanyia kebehi. Nchi yetu ( Tanzania) ni makini sana na hata Sasa itaangalia ila kama watahitaji watuchokoze na expansionism yao nao watajua hawajui. Askari lazima uwe mvumilivu hapo wamefanya kutupa zoezi Wala hakuna walicho Fanya Cha maana sana. Watadhani kuwa hatuna nguvu ila ni nani aliewahi toa nguvu halisi kwenye shughuli za kikanda bali ni fursa Fulani ya kusoma mazingira na kuona kama watatujia Nini tujihami.
Watanzania imefikia hatua tunaishi kwa mihemko kwenye mambo nyeti.

Please tuwe makini na tutoe taarifa za watu wasio watanzania(wahamiaji haramu) waliomo nchini ili kuendelea kuimarisha nchi yetu.
Tusibezane kiasi hiki hata familia Yako ukiwa wa kulialia jua huwezi kuwa imara.
Tuoneshe umakini wetu sasa kwa kulipiza kuuuliwa kwa askari wetu na kujeruhiwa hao wengine 25.
 
Wapiganaji wa vita ya Uganda 1978-79 walitoka majeshi yote ya ulinzi na usalama ya Tanzania: JWTZ, JKT, Polisi, Magereza, TISS, na Mgambo.

JWTZ walikuwa na majukumu ya uongozi; kukusanya wapiganaji toka nje ya jeshi hasa mgambo vijijini, kushughulikia mahitaji, kuandaa na kupanga mwenendo wa vita, kuongoza vikosi, kutoa mafunzo na mazoezi ya kivita (crash training), ku-operate mitambo na silaha kubwa (vifaru, APC, mizinga na magari yake, jet fighters, n.k.).

Vile vile raia wengi wa kawaida walichukuliwa hasa kwa ajili ya kushughulikia ukusanyaji na usafirishaji wa mahitaji (supplies), udereva wa magari ya mizigo na abiria, wapishi, n.k.

Ni vita iliyoshirikisha Watanzania wengi sana ndani na nje ya JWTZ. Wote walikuwa na combat uniform moja na silaha zinazofanana. Mtu asiyehusika asingeweza kutofautisha yupi ni JWTZ, JKT, polisi, magereza , mgambo …. Viongozi wote walikuwa na rank za JWTZ bila kujali ni wa jeshi lipi.

Neno uzalendo lilipata maana kubwa sana wakati ule. Sijui kama kuna maandiko yanayoonyesha hali halisi ya vita ile. Mitandaoni Siku hizi zimejaa simulizi za kipropaganda zisizoakisi hali halisi ya ile vita.
TZ peke yake haikuwa na uwezo kupigana na Iddi amini sema kweli mulipata msaada toka nje ya nchi na uungaji mkono mkubwa wa silaha lengo ni choko choko za julius nyerere kumuondoa kiongozi wa kiislam Iddi amini Uganda na Africa mashariki. leo mnajidai na kujimwagia sifa ilihali ukweli unajulikana
 
TZ peke yake haikuwa na uwezo kupigana na Iddi amini sema kweli mulipata msaada toka nje ya nchi na uungaji mkono mkubwa wa silaha lengo ni choko choko za julius nyerere kumuondoa kiongozi wa kiislam Iddi amini Uganda na Africa mashariki. leo mnajidai na kujimwagia sifa ilihali ukweli unajulikana
Mbona nyie Rwanda mnatoa msaada kwa M23 kwa kushirikiana na Uganda?
 
Zina gharama gani? Walikwenda na vifaru vya mizinga au ni Bunduki peke yake?
Tambua tu hili:
Mafunzo yao wamepata US,hata mtoto wa namba moja alienda fundishwa huko juzi kati,kuna msemo mmoja ulitolewa na mzee Mandelaā€ukiona majirani wanapigana jua moja ya nchi ametembelewa na USā€. Congo madini yake ni adimu duniani sawa na Ukraine ndio maana vita zao kl mtu anamgombea.
NB
Somalia…Madini,mafuta and gas
Sudan :: mafuta,gas and madini
Congo ..madini
Mashariki ya kati….gas,Madini and mafuta
Venezuela….mafuta and gas
Ukiona ppt kuna vita ujue kuna utajiri and mabeberu wanayataka hayo hivyo mnavurugwa
 
Mleta mada ni mpumbavu mmoja asiyejua taratibu zozote za kijeshi na diplomasia,Tanzania haikwenda kupigana Congo,hao M23 unaowahofia wanatambua vzur sana jambo litakalowapata wakiigusa Tz,huyo Kagame sio tahira hivyo,anaangalia na sehem za kugusa
 
Najua habari hii imewauma sana makamanda ninawafahamu wa JWTZ!

Najua habari hii imemuua sana kamanda Luteni Generali Mstaafu Mwakibolwa. Najua habari hii imemsononesha sana General Mstaafu Davis Mwamunyange. Najua habari hii haijamlaza vizuri mwamba Luteni General Abdulrhman Shimbo.

What we use to know as Tanzania Pride iliyokuwa inabebwa na Jeshi letu la Wananchi (Tanzania People's Defence Forces) imefikia tamati baada ya wanajeshi wetu kudhalilishwa huko Rwanda kwa kusubilishwa kwa masaa mpakani na Wanajeshi (Mamlaka za Rwanda).

Wanajeshi wetu waliosubilishwa mpakani ni sehemu ya majeruhi wa vikosi vya SADC waliopokea kichapo kutoka kwa Wanajeshi wa Rwanda na Washirika wao M23.

Inasemwa pia Wanajeshi wetu kama sehemu ya wanajeshi wa SADC wamenyang'anywa silaha zao na wanamgambo wa M23 na kuwekwa chini ya ulinzi mkali. Hawawezi fanya chochote bila ruhusa ya M23.

Itakumbukwa hadi miili ya Wanajeshi wetu waliouwawa bado haijarudishwa na inawezekana jamaa wanatuwekea ngumu ili tuendelee kuwalamba miguu na ili watuoneshe kuwa sasa wao ndo mabwana zetu kivita.

Naumia sana Nchi yangu kufikia hapa. Naumia sana Jeshi langu JWTZ kufikia kudhalilishwa hivi.

Kuna haja ya kujitafakari na kuanza upya. CCM ni janga.
View attachment 3249000

=======

Takriban wanajeshi 200 wanaohitaji wakihitajihuduma ya matibabu wakiwemo wale wa Afrika Kusini, Malawi na Tanzania walioko katika Jamuhuri ya Kidemokrasi ya Congo kwa ujumbe unaojulikana kwa jina la SAMIDRC waliondoka Goma na kuvuka mpaka na kuingia Rwanda kuelekea Kigali kwaajili ya kupata ndege za kuwarejesha makwao.

Waziri wa ulinzi wa Afrika Kusini alitangaza wikendiiliyopita kwamba wanajeshi wao waliojeruhiwa katika mapigano na M23 nchini DRC wataanza kurejeshwa makwao wiki hii.

Donatien Mugabo, mkazi wa Gisenyi nchini Rwanda,ambaye ameshuhudia magari yaliyokuwayamewabeba askari hao yakiondoka mpakani kwa upande wa Rwanda, ameiambia BBC kuwa walikuwa kwenye mpaka huo kwa saa kadhaa.

g

Walifika mpakani Jumatatu saa sita mchana, na waliondoka mpakani baada ya saa kumi na mbili jioni, Donatien anasema.

Haijabainika ni nini kilisababisha wacheleweshwe mpakani.

Vyombo vya habari vya Goma - jiji linalodhibitiwa na M23 na nchini Rwanda vilipigwa marufuku kupiga picha au kuzungumza na wanajeshi, kama ilivyokuwa wakati mamluki wa Ulaya walipoondoka Goma kupitia Rwanda.
Magazeti ya Rwanda yanaripoti kuwa wanajeshi 129 wanatoka Afrika Kusini, 40 kutoka Malawi na 25 kutoka Tanzania.

Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) na nchi walikotoka askari hao hawajazungumzia kuachiliwa kwa askari hao wanaotajwa kuhitaji matibabu.
SIJUI WEWE NI LISHOGA LAKIGANDA KWAHIYO KWA AKILI YAKO RWANDA basi tu
 
Tuoneshe umakini wetu sasa kwa kulipiza kuuuliwa kwa askari wetu na kujeruhiwa hao wengine 25.
Umakini unaonekana mara kadhaa ilikuwa mpaka Sasa tungekuwa tumepigana na Malawi , Rwanda 2015 ila tulishinda kwa propaganda na kisheria.
Hivi Sasa tupo kuangalia kwa ukaribu na makini mpaka wa Msumbiji dhidi ya Hawa watu wanaoungwa mkono na ISIS vile vile mipaka yetu upande wa Congo DRC.
VITA INAMADHIRA MENGI huwezi ingia Vita na sababu ulizosema ebutafakari crisis ya Israel na Iran Nini manufaa waliopata au Tanzania ikipigana nao inapata Nini in return?
Bado hawajatushawishi kupigana nao waje na sababu nzito Kisha utaelewa
 
Back
Top Bottom