Alyeleta udini ni baba yako nyerere, hakuwa na haja ya kumpiga vita iddi amini ila alitaka kusimika kanisa, ww hujuwi lolote uliza wazazi wako ni kwanini Tz ilimpiga vita iddi amini, usubiri itekewe kagera, Malawi tu wamepora ziwa lenu lile lake nyasa siju lake tanganyika mmeshindwa kufanya chochote,
Mombasa Kenya ni sehemu ya Zanzibar na Tanzania mbona mmeshindwa kuikomboa. nyinyi subirini uchaguzi mpige wananchi mabomu tu ndio mnayojua kwenye vita vya nchi na nchi hama kitu, M23 inawarejesha kwenye masanduku