Mwisho wa Tanzania Pride: JWTZ wadhalilishwa kusubirishwa mpakani huko Rwanda

Seems M23 na Rwanda wana ubinadamu kwa kuwarudisha mateka waliokamatwa nyumbani kwao bila kuwadhuru au kudai chochote, ingekuwa lile jeshi lako la Congo na interahamwe hao wote wangeliwa mshikaki
 
Sijui kwanini Walinunuliwa Yutongs full viyoyozi... Kuna mtu nia yake sio nzuri yakufanya jeshi lowe comfortable na Relaxed...wakifika Congo ni mwendo wa Bedfords vunja kiuono wanaomba warudi kambini Tanzania tu wakale asali maziwa na mkate.
 
..Na alipokuja Dsm kwenye mkutano wa Sadc-Eac tukampokea kwa heshima za kijeshi, maturumbeta, na wakata viuno.
Mtu kaua na kujeruhi wanajeshi wenu alafu mnampokea kwa parade!! Ningekuwa mimi soldier pale yangetokea yaliyompata Anwar Saddat.
 
Sijui kwanini Walinunuliwa Yutongs full viyoyozi... Kuna mtu nia yake sio nzuri yakufanya jeshi lowe comfortable na Relaxed...wakifika Congo ni mwendo wa Bedfords vunja kiuono wanaomba warudi kambini Tanzania tu wakale asali maziwa na mkate.
Juzi nimeshangaa eti kwenye mafunzo yao ya RTS Kihangaiko wanafundishwa kutulizwa waandamanaji. Nikasema yaaani Jeshi letu nalo limeingia kwenye siasa mfu za kukilinda Chama cha Mapinduzi badala ya kushughulika na mambo makubwa makubwa?

Acha tu tule matokeo ya Jeshi letu kuwa kikaragosi cha Wanasiasa wajinga wa CCM. Na bado.
 

Maarifa hutangulia kila kitu. Jeshi siyo msuli wa mwili, wala mavyumavyuma yaitwayo zana. Jeshi cha kwanza kabisa cha maana ni msuli wa ubongo, na inaonekana Kagame ana msuli imara sana wa ubongo kichwani mwake!
 
Hayo majibu waliyopewa ni ya kweli.
Ukiwa kwenye mkataba wa ulinzi wa amani, silaha na vifaa vya kijeshi hulipiwa na UN.
Halafu mikataba ya kiulinzi ya UN hauruhusiwi kurusha risasi hata uchokozwe.
Kule kugumu Mana UN hao hao wanakuambia Huruhusiwi kumuua Mwana harakati ( M23 )
Kumbe M vingt trois Ni Wana harakati na Sio waasi Wala jeshi.
 
Lengo lako ni kuitaja CCM Wala sio wanajeshi,na hizo habari ulizoleta na bandiko BBC ni vitu viwili tofauti.
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ kumbe shughuli ya mwakibolwa unaijua..?

Afande shimbo ni opportunist 😁😁 refeer issue ya kule kisiwani, mzee shimbo bana πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™Œ
 
Chopa ya kivita si inadunguliwa mazee itatua wapi wakati maeneo yote M 23 wameyazingira na kumbuka hata jeshi la DRC wamejiunga M 23 na polisi wao kwa kuhahidiwa mshahara mkubwa kuliko wa Serikali ambao ni mdogo na walikua hawapewi kwa wakati..
Nilimaanisha mara baada ya M 23 kuruhusu Wanajeshi kurudishwa Rwanda.
Baada ya M 23 kuruhusu, ilitakiwa iende chopa kuwatoa DRC mpaka Bongo na si kupitia Rwanda. Nadhani kulikuwa na makubaliano kati ya M 23 SADC na MUNUSCO jinsi ya kuwaondoa wanajeshi.
 
Kichapo gani unachosema hapo sijakuelewa,maana vikosi vile vinatekeleza viko pale kwa article 6 na unajua kazi yao ni nini? siyo kupigana ni kulinda amani! Kikosi cha akina Mwakibolwa kilikua [ale kwa artocle 7 ya umoja wa mataifa na ndiyo maana waliwatindika hao wajinga unao wasifia. Sasa kichapo sijui ni kichapo gani zaidi ya misifia ya kijinga ya Wanywaranda. Congo mnainnea kwa sababu hawana jeshi imara hebu acheni ujinga wenu huo!
 
Hii kitu haina uhusiano wowote na unachosema! nimegundua kwenye mitandao kuna watu wengine uelewa wenu ni mdogo sana! mnatamani vita mandhania ni vizuri,huo ujinga hatuutaki hapa.
 
Kikosi cha SADC kina jukumu gani?
 
Wanajeshi ambao wanaenda kwenye vikao vya chama
 
Naona unaongea kupita matakho?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…