Mwisho wa Tanzania Pride: JWTZ wadhalilishwa kusubirishwa mpakani huko Rwanda

Mbona hata sisi tunayo na tena kwa wingi zaidi lakini kitu kama hiki sisi hatuna? Kumbuka kuwa baada ya tukio la ugaidi KWENYE balozi mbili ZILIzOPO Dar na Nairobi mnamo August 1998, BAADA YA pale US Alijenga HAPA ubalozi MKUBWA ZAIDI KULIKO BALOZI ZAKE zOTE zilizokuwepo DUNIANI kwa WAKATI huo. WAKATI UBALOZI WA Dar unajengwa, ULIKUWA NI ubalozi MKUBWA ZAIDI kuzidi Balozi ZOTE ZA US zilizokuwepo DUNIANI kwa wakati huo

US HUWA ANACHAFULIWA TU ILI WENYE TAMAA WAPATE MWANYA WA KUIBA. US ANGEKUWA HIVYO HATA SISI HAPA TUSINGEKUWA SALAMA UKIZINGATIA KUWA TAYARI ANA BASE YAKE KUBWA SANA HAPA KWETU.

KAMA ANAVYOENENDA NA MAMA, MUNGU AENDE PIA NA RAIS TRUMP KWA KISHINDO KIKUU
 
Waiguse TZ mara ngapi wakati wameua na kujeruhi askari wetu?
Mleta mada ni mpumbavu mmoja asiyejua taratibu zozote za kijeshi na diplomasia,Tanzania haikwenda kupigana Congo,hao M23 unaowahofia wanatambua vzur sana jambo litakalowapata wakiigusa Tz,huyo Kagame sio tahira hivyo,anaangalia na sehem za kugusa
 
Mama yao kabaki kumpiga kofi mtoto halafu anambembeleleza
 
Jeshi siyo uwezo wa kupiga kwata, gwaride, kusafisha barabara wapinzani wakitaka kufanya maandamano, kuonea raia eti wagalagale chini pindi wakitresspass maeneo ya jeshi.

Jeshi ni AKILI. Kama huna watu wenye IQ kubwa kwenye kamandi mtapigwa tu, hata muwe na zana nzuri kivipi!
 
Ata ivyo mmezoea kuaminishwa ujinga
Sku moja niliwai kusikia msemaji wa JWTZ akisema jeshi letu ni namba 3 kwa ubora
Nkabakia nashangaa iv uyu anazani anaongea na watz wa miaka ya 60 ajui kua dunia ya leo kila kitu kiko wazi
 
Hawa MAKADA WA CCM watavuna walichopanda
 
Kanchi kadogo ka Rwanda kanazichezesha singeli Nchi zote za Maziwa Makuu na ukanda wa SADC aibu kubwa hii.
Mkuu; Tukuombe tu uwe mtulivu halafu baada ya muda sio mrefu utajionea na kushuhudia Heshima ya JWTZ ikirudi mahali pake kwa kasi ya 5G.
 
Tanzania iliingia DRC kama sehemu ya SAMIDRC. Huwezi kwenda kulinda Amani halafu unabadili kuwa Offensive. FARDC ndio wafanye offensive. Kama wanakimbia kama watoto basi hakuna haja JW kupendelea kuwepo DRC.
Tanzania haijawahi kuwaza kufanya offensive DRC. JW ndio jeshi pekee lililowahi kishinda vita kamili hapa SADC na EAC.
 
Usiongelee historia. Ongelea yaliyopo.
 
Wakati tunavunja uhusiano wa kidiplomasia na Israel 1973, Israel ilitukosea nini direct?

Tulipata faida gani?

Dunia ishaachana na mambo ya kununua ugomvi usiokuhusu. Nyerere alitumia nguvu nyingi kusaidia nchi za Afrika na harakati za kugombania uhuru ila hatujaambulia kitu, Nyerere mwenyewe wamemsahau wanawakumbuka Nkurumah na Mandela tu who did absolutely nothing for them.

Kama TZ itajiingiza kwenye huo mgogoro kwa namna yeyote ile inabidi iweke maslahi yake mbele yani iwe imeingia kupata faida na kulinda interest za nchi sio kutafuta sifa za kijinga. Congo imekua kubwa jinga toka ipate uhuru haijui amani ni nini kila siku inapigana tu hatuwezi kuwa saviors kusaidia wasioweza kujisaidia wenyewe.
 
Mimi ni mzalendo lakini nahisi kama kwa sasa hata tukizichapa na Uganda tunachapika mbaya,
Wale watu wanabajeti kubwa kwenye majeshi yao
 
Usiongelee historia. Ongelea yaliyopo.
1.Huwezi kuacha historia unapotaka kuongelea sasa.
2.Vita vya sasa ni vya kiuchumi. Siyo vita vya ukombozi wala pride.
3. Tuna maslahi ya kibiashara na DRC na sio political economy interests. We can do business na DRC under any regime. It is not necessary to impose a regime in DRC so to do business with.
4. Mkakati wa kujenga na kuboresha barabara na reli kuelekea DRC unatosha kwa sasa. Hii haihitaji vijana wetu kufa kwa ajili hiyo.
5. Kunachotakiwa kufuata ni kupeleka huduma na uwekezaji wetu DRC under any regime so to influence economics and business. Tupeleke mabenki, Ofisi za bandari, Ofisi za Reli, Wamiliki wetu wa malori washawishiwe na wawezeshwe kuingia soko la DRC.
 
Msaada toka nje? Toka wapi?

Jeshi la Uganda lilikuwa na uwezo gani? Lilipigana vita gani kabla ya ile ya Kagera? Zaidi ya kuonea, kutisha, kunyanyasa, kutesa na kuua raia lilikuwa likifanya kazi gani ya maana ya kijeshi?

Uislamu unaingiaje hapa?

Hata kama zilikuwa choko choko za Nyerere, Tanzania ilikuwa vizuri sana kijeshi miaka ile. Ilikuwa tishio sana Mashariki, Kati na Kusini mwa Afrika.

Kwa taarifa yako, baada ya kipigo kikali eneo la Lukaya (Uganda) kabla kabisa ya Kampala, jeshi la Idi Amin lilianza kusambaratika na kukimbia mapigano. Kama sio changamoto za logistics, jeshi letu lingemaliza vita mapema zaidi. Sehemu nyingi hasa baada ya Kampala ilikuwa ni walk-over tu; hakukuwa na upinzani wa maana.

Jeshi lolote linaloishi kwa kutishia, kunyanyasa na kufanyia ugaidi raia wake huwa halina uwezo wala ujasiri wa kukabiliana na adui wa nje vitani. Jeshi la Mobutu lilipotea kama moto wa mabua mbele ya wapiganaji wa kina Laurent Kabila.
 
Hakuna vita ambayo haina support. Cha muhimu ushawishi wako wa kupata support. Hata USA huombaga support ya Washirika wake na Five Eyes au AngloSuxons.
 
Kama ni kweli basi lawana zote ziende kwa Amiri jeshi wa nchi dhaifu
Hii ni zaidi ya fedhea!
 
Mimi najua HISTORIA ya nchi yangu. Ndiyo maana nimekwambia Nyerere kazaliwa kayakuata makanisa .Sasa Sasa unasemaje alisimika kanisa. wewe Utalopoka sana tu kwa kutokujua lolote sifia au mabwana zako na huo udini wako wa kipumbavu. Lakini iddi amini alileta za kuleta kapewa za huo za jeshi tiifu kabisa JWTZ. m23 yako hiyo haiwezi kufanya chochote kwa Tanzania hii. Mtapigwa Kama ngoma. Sasa ffu toka waliwatoa mbio mapoli ya kigoma na Kagera mkarudi Rwanda mbio sembuse JWTZ.
 
Kagera haikuwa Tz
Jitekenye tu.mbona rahisi tu mwambieni mme wenu mwingine museveni aungane na m23 na pk wenu mje muichukue Kagera Kama mlivyoichukia goma. Si umesema Kagera siyo Tanzania na imepakana na Uganda na Rwanda saaa kama nyinyi na wanaume sogezeni kwato zenu utaijua vizuri Tanzania maana mnavipele vinawawasha sisi atukuni tunapasua tu
 
Kazi kuonea raia wakikutana na wazee wa kazi wanasanda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…