komasalonde
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 1,783
- 2,479
Una kichaa wewe siyo bure. Tanganyika na Zanzibar zimeungana 1964. Ikaanza kuitwa Tanzania. Vita na Uganda 1979 utasemaje wamekodisha jeshi kutoka Zanzibar?. Hakuna kitu unajua kuhusu Tanzania unaropoka tu. Ushasema Kagera siyo ya Tanzania vamieni Kama mlivyovamia goma muone tutakavyowanyonyoa
Hii maziwa makuu kuna watu wanaichezea wanavyotaka miaka nenda miaka Rudi na hakuna wanachofanywa.Habari ni ya kweli yenye lengo maalumu. Kwanza, aliyeleta ni ''jirani'' yetu
Pili, kama mnakumbuka JokaKuu aliweka habari ya misiba na vilio Kigali.
Tatu, inatangazwa Askari wamepanda ndege Rwanda ili kuonyesha kwamba Rwanda haina tatizo na DRC
Nne, Askari walikabidihiwa na M23 kwa Rwanda bila kuwadhuru kwa maana ni majeruhi, inaonyesha ''coordination' kati ya M23 na Kigali, kwamba , M23 hawana tatizo na mataifa mengine ni watu ''wema''
Tano, tangu kikao cha Dar kilichoagiza Wakuu wa Majeshi wa Nchi 5 wakutane hakuna taarifa zaidi.
Sita, M23 wanazidi kusonga mbele bila kujua hiyo ni mbinu ya ''ku stretch'
Subirini mtasikia
Sawa; what do you know?Huna unacho fahamu, kwa nini una andika uongo!!
Vita ya uganda mulipata msaada toka mataifa ya nje likisaidiana na jeshi la zanzibar taja vita vingine
Huyu zwazwa humwambii lolote. Kama kweli Zanzibar Ina jeshi atuambie nini kilitokea mpaka wanakimbilia Mombasa wakati wa Mkapa 2000.Zanzibar haina jeshi. Wale kmkm siyo jeshi
Watanzania tunasemea hivi '' Hupo serious'' hatuweki wewe kwasababu tayari umeshasema 'hupo'Hauko serious wewe, na wanaouwa raia ni warundi wenzako na askari wa kabasele Tshesekedi Kimoko, kipigo mnakipata sawasawa naona, wakabila mmeharibu sana amani halafu mnajifanya vict
Mkuu huyo ni mweupe kichwani Sasa anasema vita ya Uganda tuliomba msaada kwa jeshi la Zanzibar yaani hajui loloteKids of these days, you're so brainwashed. Tafuta wenyeji wa maeneo yaliyovamiwa na Idd Amin wakupe firsthand information na si habari za kusimuliwa na walimu wako wa madrasa, kwanza huu uzi hauhusu dini bali unahusu udhifu/umahiri wa jeshi letu na kilichotupeka DRC.
Tuliotembelea vijiji vilivyokuwa vimevamiwa(enzi hizo) tunajua udhalimu uliofanywa na wavamizi, tuliongea na victims ambao ni relatives na si habari zilizochujwa kwa malengo ya propaganda.
Wewe umezaliwa juzi, Zanzibar ilikuwa na jeshi lake na ndilo waliofanya mapinduzi ya 64, Zanzibar walikuwa na kiti umoja wa Mataifa, Zanzibar walikuwa fedha zao, passport na mpaka mabalozi, na Zanzibar ndio waliotoa fedha nyingi zaidi kuliko Tanganyika kuanzisha hiyo Benki Kuu yenu huko Tz bara, hiyo BOT ni ya ushirika lakini Tanganyika walipora haki ya Zanzibar. wewe upo upo tu hujui chochoteZanzibar haina jeshi. Wale kmkm siyo jeshi
Zanzibar ilipounga na Tanganyika haikuwa hivi ilivyo leo, kila nchi ilikuwa huru nyerere akaleta shida na nia yake mbaya kwa zanzibar, Zanzibar ndio ilitoa wanajeshi wengi uganda ww unaropoka tuUna kichaa wewe siyo bure. Tanganyika na Zanzibar zimeungana 1964. Ikaanza kuitwa Tanzania. Vita na Uganda 1979 utasemaje wamekodisha jeshi kutoka Zanzibar?. Hakuna kitu unajua kuhusu Tanzania unaropoka tu. Ushasema Kagera siyo ya Tanzania vamieni Kama mlivyovamia goma muone tutakavyowanyonyoa
Wewe umezaliwa juzi, Zanzibar ilikuwa na jeshi lake na ndilo waliofanya mapinduzi ya 64, Zanzibar walikuwa na kiti umoja wa Mataifa, Zanzibar walikuwa fedha zao, passport na mpaka mabalozi, na Zanzibar ndio waliotoa fedha nyingi zaidi kuliko Tanganyika kuanzisha hiyo Benki Kuu yenu huko Tz bara, hiyo BOT ni ya ushirika lakini Tanganyika walipora haki ya Zanzibar. wewe upo upo tu hujui chochote
Huzi ni hadithi zaidi kuliko uhalisia. Eti Zanzibar iwe na fedha nyingi kuliko Tanganyika. Nini kinaiuzuia leo kuwa na hizo fedha? Mnadai kila kitu ni chenu. Mpaka BOT ni yenu. Ardhi ya Tanganyika ni yenu. Uko sawa kweli mkuu ?Wewe umezaliwa juzi, Zanzibar ilikuwa na jeshi lake na ndilo waliofanya mapinduzi ya 64, Zanzibar walikuwa na kiti umoja wa Mataifa, Zanzibar walikuwa fedha zao, passport na mpaka mabalozi, na Zanzibar ndio waliotoa fedha nyingi zaidi kuliko Tanganyika kuanzisha hiyo Benki Kuu yenu huko Tz bara, hiyo BOT ni ya ushirika lakini Tanganyika walipora haki ya Zanzibar. wewe upo upo tu hujui chochote
Tanganyika haijaweza kusimama kwa miguu yake bila ya zanzibar, ndio mana mnanganganiaHuzi ni hadithi zaidi kuliko uhalisia. Eti Zanzibar iwe na fedha nyingi kuliko Tanganyika. Nini kinaiuzuia leo kuwa na hizo fedha? Mnadai kila kitu ni chenu. Mpaka BOT ni yenu. Ardhi ya Tanganyika ni yenu. Uko sawa kweli mkuu ?
Hakuna kitu anajua huyo mtusiJibu swali, je Zanzibar ilikuwa na jeshi mwaka 78 wakati wa vita vya Kagera?
Utchekwa kwa uzuzu wako. Hauna kitu unajua kuhusu Tanzania Ila waambie watusi wezako watie mguu Kagera si umesema Kagera siyo Tanzania vamieni mchukie Kama mlivyoganya goma. Alafu muone mziki wa TPDFZanzibar ilipounga na Tanganyika haikuwa hivi ilivyo leo, kila nchi ilikuwa huru nyerere akaleta shida na nia yake mbaya kwa zanzibar, Zanzibar ndio ilitoa wanajeshi wengi uganda ww unaropoka tu
Tanganyika haijaweza kusimama kwa miguu yake bila ya zanzibar, ndio mana mnangangania
Sawa. Huo ndiyo uelewa wako. Kubishana na wewe ni kuharibu akili yangu.Tanganyika haijaweza kusimama kwa miguu yake bila ya zanzibar, ndio mana mnangangania
Hayo ni matusi kwa Tanganyika. Umeme mnapewa bure. Nafaka zote Tanganyika, Mifugo ya nyama Tanganyika. Ardhi yetu mmeipora. Tanesco wakizima tu umeme wewe hicho kiswaswadu chako kinazima.Tanganyika haijaweza kusimama kwa miguu yake bila ya zanzibar, ndio mana mnangangania
Wa unguja wana kiswahili maridhawa . Lakini lahaja yako yatanabaisha kuwa wewe sio mwanetu hivyo upo kwenye kampeni ya kuleta tashwishwi na kumwaga upupu kwenye hadhira kubwa ya watu.Tanganyika haijaweza kusimama kwa miguu yake bila ya zanzibar, ndio mana mnangangania