Mwisho wa Tanzania Pride: JWTZ wadhalilishwa kusubirishwa mpakani huko Rwanda

Mwisho wa Tanzania Pride: JWTZ wadhalilishwa kusubirishwa mpakani huko Rwanda

Hawa waasi wanatubipu.
Wamewarejesha wanajeshi wetu wa JWTZ nyumbani kupitia Rwanda bila silaha.

Walipoulizwa kwanini wanawafanyia hivyo, wakajibu Sila zote walizokuwa wanatumia Goma ni za Umoja wa Mataifa sio za Tanzania.
Cha ajabu wao hutumia silaha hizo kuteka maeneo mashariki mwa Congo.

Je wanajeshi wetu hawakubeba hata silaha zetu chache wakati wakitoka huku kwenda Congo?

Source: BBC Swahili news.
Zina gharama gani? Walikwenda na vifaru vya mizinga au ni Bunduki peke yake?
 
nyi si munabeba mbwa sana huko kwenye sherehe zenu, vita vina wenyewe
Vita hivyo mnavyoendesha congo kwa waliosalitiana unajisifia navyo? Na una sema tunabeba mbwa?. Waambie hao wanaume zenu watie mguu Tanzania Kama alivyofanya iddi amini dada. Alafu uone Kama wanabeba mbwa au kimbau mbau ajatafute pa kwenda uamishoni. Ushoga wenu pelekeni uko uko kwa wasiliti wa kikongo siyo Tanzania. Mtakuja kuvaa magaoni mjifanye wanawake msiguswe. Lopoka tu
 
Rwanda Huwa wanaidogosha tu lakini ni Nchi ambayo inajeshi Bora na la kisasa.Mfano mwaka 2013/2014 alipotaka kutuchapa watanzania alikuwa anasilaha za kisasa kama ndege zisizo na rubani na silaha za balistiki ambazo zinaweza kufyatuliwa kutoka Kigali Hadi feri magogoni Dar es salaam
 
Tumewekeza nguvu kwenye magari, pesa, na wizi wa kura uchaguzi mkuu.
Hayo mengine hayana sana Nafasi!!!

Kagame anajifarijivkwa muda siku watu wakiamua, situation ikiwa worse Kagame na ka land locked 🔐 county kake anapigwa vizuri sana
 
Uwanja wa ndege wa Goma umefungwa hautumiki, Rwanda wanasema hawahusiki na mgogoro wa Congo kwaiyo ili utoke Mashariki ya Congo itabidi upitie Uwanja wa ndege wa Kigali ulio karibu kutokea Goma

Ndege za kiraia watakazo panda uwanja wa ndege wa Kigali ambazo watatumia kurudi ma kwao haziruhusiwi kubeba silaha za kivita.

Njia iliyo rahisi ni kupita apo apo kigali maana Entebe ni Mbali kutokea Goma ambapo majeruhi wa vita wanatibiwa katika Hospital za umoja wa Mataifa iliyopo Goma

Sheria za kimataifa za kivita haziruhusu kuvamia hospitali, kuwatendea vibaya mateka au majeruhi n. K
 
Back
Top Bottom