Mwisho wa Tanzania Pride: JWTZ wadhalilishwa kusubirishwa mpakani huko Rwanda

Mwisho wa Tanzania Pride: JWTZ wadhalilishwa kusubirishwa mpakani huko Rwanda

Najua habari hii imewauma sana makamanda ninawafahamu wa JWTZ!

Najua habari hii imemuua sana kamanda Luteni Generali Mstaafu Mwakibolwa. Najua habari hii imemsononesha sana General Mstaafu Davis Mwamunyange. Najua habari hii haijamlaza vizuri mwamba Luteni General Abdulrhman Shimbo.

What we use to know as Tanzania Pride iliyokuwa inabebwa na Jeshi letu la Wananchi (Tanzania People's Defence Forces) imefikia tamati baada ya wanajeshi wetu kudhalilishwa huko Rwanda kwa kusubilishwa kwa masaa mpakani na Wanajeshi (Mamlaka za Rwanda).

Wanajeshi wetu waliosubilishwa mpakani ni sehemu ya majeruhi wa vikosi vya SADC waliopokea kichapo kutoka kwa Wanajeshi wa Rwanda na Washirika wao M23.

Inasemwa pia Wanajeshi wetu kama sehemu ya wanajeshi wa SADC wamenyang'anywa silaha zao na wanamgambo wa M23 na kuwekwa chini ya ulinzi mkali. Hawawezi fanya chochote bila ruhusa ya M23.

Itakumbukwa hadi miili ya Wanajeshi wetu waliouwawa bado haijarudishwa na inawezekana jamaa wanatuwekea ngumu ili tuendelee kuwalamba miguu na ili watuoneshe kuwa sasa wao ndo mabwana zetu kivita.

Naumia sana Nchi yangu kufikia hapa. Naumia sana Jeshi langu JWTZ kufikia kudhalilishwa hivi.

Kuna haja ya kujitafakari na kuanza upya. CCM ni janga.
View attachment 3249000

=======

Takriban wanajeshi 200 wanaohitaji wakihitajihuduma ya matibabu wakiwemo wale wa Afrika Kusini, Malawi na Tanzania walioko katika Jamuhuri ya Kidemokrasi ya Congo kwa ujumbe unaojulikana kwa jina la SAMIDRC waliondoka Goma na kuvuka mpaka na kuingia Rwanda kuelekea Kigali kwaajili ya kupata ndege za kuwarejesha makwao.

Waziri wa ulinzi wa Afrika Kusini alitangaza wikendiiliyopita kwamba wanajeshi wao waliojeruhiwa katika mapigano na M23 nchini DRC wataanza kurejeshwa makwao wiki hii.

Donatien Mugabo, mkazi wa Gisenyi nchini Rwanda,ambaye ameshuhudia magari yaliyokuwayamewabeba askari hao yakiondoka mpakani kwa upande wa Rwanda, ameiambia BBC kuwa walikuwa kwenye mpaka huo kwa saa kadhaa.

g

Walifika mpakani Jumatatu saa sita mchana, na waliondoka mpakani baada ya saa kumi na mbili jioni, Donatien anasema.

Haijabainika ni nini kilisababisha wacheleweshwe mpakani.

Vyombo vya habari vya Goma - jiji linalodhibitiwa na M23 na nchini Rwanda vilipigwa marufuku kupiga picha au kuzungumza na wanajeshi, kama ilivyokuwa wakati mamluki wa Ulaya walipoondoka Goma kupitia Rwanda.
Magazeti ya Rwanda yanaripoti kuwa wanajeshi 129 wanatoka Afrika Kusini, 40 kutoka Malawi na 25 kutoka Tanzania.

Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) na nchi walikotoka askari hao hawajazungumzia kuachiliwa kwa askari hao wanaotajwa kuhitaji matibabu.
Hao yuvisisiemu acha warejee tu.
 
Hawa waasi wanatubipu.
Wamewarejesha wanajeshi wetu wa JWTZ nyumbani kupitia Rwanda bila silaha.

Walipoulizwa kwanini wanawafanyia hivyo, wakajibu Sila zote walizokuwa wanatumia Goma ni za Umoja wa Mataifa sio za Tanzania.
Cha ajabu wao hutumia silaha hizo kuteka maeneo mashariki mwa Congo.

Je wanajeshi wetu hawakubeba hata silaha zetu chache wakati wakitoka huku kwenda Congo?

Source: BBC Swahili news.
Kwa nini waache vitendea kazi vyao km siyo upuuzi?
Wana ajiri watu kwa kuwa tu wanamiliki kadi za chama badala ya ufanisi,acha wavune walicho panda.
 
Rwanda Huwa wanaidogosha tu lakini ni Nchi ambayo inajeshi Bora na la kisasa.Mfano mwaka 2013/2014 alipotaka kutuchapa watanzania alikuwa anasilaha za kisasa kama ndege zisizo na rubani na silaha za balistiki ambazo zinaweza kufyatuliwa kutoka Kigali Hadi feri magogoni Dar es salaam
Sawa wanyarwanda mpo vizuri
 
Kiukweli hayo ya CONGO siwajui sana ila humu munawasifia mno JWTZ ila kwa nilichokakiona kitaya kilikuja kubadili mtazamo wangu na ukiangalia wale wahuni hawakuwa wengi....ila wanajeshi kama 7 walikufa palepale na magari yao yakachomwa moto ila wale wahuni hata mmoja aliekufa na kwa dharau wakateka watu wakaondoka nao safi kabisa...baadae JWTZ wakakaa mpakani ikawa kazi yao ni kupiga raia tu ila chakushangaza wale wahuni walikuwa wanavuka tu ile border vizuri tu,,,sisi watanzania ni watu wa propaganda sana
 
Najua habari hii imewauma sana makamanda ninawafahamu wa JWTZ!

Najua habari hii imemuua sana kamanda Luteni Generali Mstaafu Mwakibolwa. Najua habari hii imemsononesha sana General Mstaafu Davis Mwamunyange. Najua habari hii haijamlaza vizuri mwamba Luteni General Abdulrhman Shimbo.

What we use to know as Tanzania Pride iliyokuwa inabebwa na Jeshi letu la Wananchi (Tanzania People's Defence Forces) imefikia tamati baada ya wanajeshi wetu kudhalilishwa huko Rwanda kwa kusubilishwa kwa masaa mpakani na Wanajeshi (Mamlaka za Rwanda).

Wanajeshi wetu waliosubilishwa mpakani ni sehemu ya majeruhi wa vikosi vya SADC waliopokea kichapo kutoka kwa Wanajeshi wa Rwanda na Washirika wao M23.

Inasemwa pia Wanajeshi wetu kama sehemu ya wanajeshi wa SADC wamenyang'anywa silaha zao na wanamgambo wa M23 na kuwekwa chini ya ulinzi mkali. Hawawezi fanya chochote bila ruhusa ya M23.

Itakumbukwa hadi miili ya Wanajeshi wetu waliouwawa bado haijarudishwa na inawezekana jamaa wanatuwekea ngumu ili tuendelee kuwalamba miguu na ili watuoneshe kuwa sasa wao ndo mabwana zetu kivita.

Naumia sana Nchi yangu kufikia hapa. Naumia sana Jeshi langu JWTZ kufikia kudhalilishwa hivi.

Kuna haja ya kujitafakari na kuanza upya. CCM ni janga.
View attachment 3249000

=======

Takriban wanajeshi 200 wanaohitaji wakihitajihuduma ya matibabu wakiwemo wale wa Afrika Kusini, Malawi na Tanzania walioko katika Jamuhuri ya Kidemokrasi ya Congo kwa ujumbe unaojulikana kwa jina la SAMIDRC waliondoka Goma na kuvuka mpaka na kuingia Rwanda kuelekea Kigali kwaajili ya kupata ndege za kuwarejesha makwao.

Waziri wa ulinzi wa Afrika Kusini alitangaza wikendiiliyopita kwamba wanajeshi wao waliojeruhiwa katika mapigano na M23 nchini DRC wataanza kurejeshwa makwao wiki hii.

Donatien Mugabo, mkazi wa Gisenyi nchini Rwanda,ambaye ameshuhudia magari yaliyokuwayamewabeba askari hao yakiondoka mpakani kwa upande wa Rwanda, ameiambia BBC kuwa walikuwa kwenye mpaka huo kwa saa kadhaa.

g

Walifika mpakani Jumatatu saa sita mchana, na waliondoka mpakani baada ya saa kumi na mbili jioni, Donatien anasema.

Haijabainika ni nini kilisababisha wacheleweshwe mpakani.

Vyombo vya habari vya Goma - jiji linalodhibitiwa na M23 na nchini Rwanda vilipigwa marufuku kupiga picha au kuzungumza na wanajeshi, kama ilivyokuwa wakati mamluki wa Ulaya walipoondoka Goma kupitia Rwanda.
Magazeti ya Rwanda yanaripoti kuwa wanajeshi 129 wanatoka Afrika Kusini, 40 kutoka Malawi na 25 kutoka Tanzania.

Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) na nchi walikotoka askari hao hawajazungumzia kuachiliwa kwa askari hao wanaotajwa kuhitaji matibabu.
Mkuu, "Pride" ya JWTZ ni kumpiga Nduli Iddi Amin Dada na kumtoa katika ardhi ya Tanzania na kisha kumfuata hukohuko Kampala na kuuangusha utawala wake na kisha kuhakikisha Milton Obote anakuwa raisi wa Uganda.

Ndo maana kaulimbiu yao waliporudi nyumbani na kupokelewa na wananchi ilikuwa "Kazi tulotumwa kuifanya tumeimaliza". Sasa hivi hakuna "justification" yoyote kwa JWTZ kuwepo Congo DRC kwa miaka 30!

Ni kanali Mahfudhi na makomando wenzake waliongia Kampala kumsaka Iddi Amini ambae ilibidi akimbilie uhamishoni na kuwaacha JWTZ wakiilinda Uganda hadi vita ilipokwisha.

Ni "Pride" hiyohiyo ilowafanya JWTZ kuyapiga majeshi ya Uganda, ya Libya na yale ya PLO pale Lukaya na kuyavunja nguvu kabisa.

Vita ya Uganda Tanzania ilichokozwa na Iddi Amini na akashikishwa adabu.

Baada ya hapo JWTZ haina "pride" ingine yoyote isipokuwa tu kuchangia idadi ya wanajeshi kwenda katika "mission" tofauti zenye migogoro na Congo DRC ni mojawapo.

Kwa kuwa M23 wameamua kujitwalia majukumu ya kuidhibiti Congo DRC ni budi SADC na UN waondoe majeshi yao pale kwani kwa miaka 30 hawakuweza kusaidia chochote pale zaidi ya kuongezeka kwa waasi na migogoro kwenye eneo hilo.

Kwenye hili la kushiriki kulinda amani hakuna "Pride" yoyote kwa JWTZ na ni bora wakawekezea zaidi kwenye kulinda mipaka ya Tanzania kwa gharama yoyote ile ikiwemo kununua vifaa vya kisasa kutoka kwa nchi rafiki kama China na Russia.
 
Mkuu, "Pride" ya JWTZ ni kumpiga Nduli Iddi Amin Dada na kumtoa katika ardhi ya Tanzania na kisha kumfuata hukohuko Kampala na kuuangusha utawala wake na kisha kuhakikisha Milton Obote anakuwa raisi wa Uganda.

Ndo maana kaulimbiu yao waliporudi nyumbani na kupokelewa na wananchi ilikuwa "Kazi tulotumwa kuifanya tumeimaliza". Sasa hivi hakuna "justification" yoyote kwa JWTZ kuwepo Congo DRC kwa miaka 30!

Ni kanali Mahfudhi na makomando wenzake waliongia Kampala kumsaka Iddi Amini ambae ilibidi akimbilie uhamishoni na kuwaacha JWTZ wakiilinda Uganda hadi vita ilipokwisha.

Ni Pride hiyohiyo ilowafanya JWTZ kuyapiga majeshi ya Uganda, ya Libya na yale ya PLO pale Lukaya na kuyavunja nguvu kabisa.

Vita ya Uganda Tanzania ilichokozwa na Iddi Amini na akashikishwa adabu.

Baada y ahapo JWTZ haina "pride" ingine yoyote isipokuwa tu kuchangia idaidi ya wanajeshi kwenda katika mission tofauti zenye migogoro na Congo DRC ni mojawapo.

Kwa kuwa M23 wameamua kujitwalia majukumu ya kuidhibiti Congo DRC ni budi SADC na UN waondoe majeshi yao pale kwani kwa miaka 30 hawakuweza kusaidia chochote pale zaidi ya kuongezeka kwa waasi na migogoro kwenye eneo hilo.

Kwenye hili la kushiriki kulinda amani hakuna "Pride" yoyote kwa JWTZ na ni bora wakawekezea zaidi kwenye kulinda mipaka ya Tanzania kwa gharama yoyote ile ikiwemo kununua vifaa vya kisasa kutoka kwa nchi rafiki kama China na Russia.
Hujui tulichofanya Comoro ? Hujui tulichofanya Shelisheli? Hujui tulichofanya hapo Congo tu mwaka 2012?

Au historia ilikupita kando?
 
Sijasema uongo wowote. Wanasiasa na wakubwa jeshini wanaona aibu kwa jinsi Kagame na M23 walichowafanyia wapiganaji wetu.
We are doomed.....Hebu pita Leo LUGALO Barracks uone jinsi kambi zilivyogeuzwa mabaaa na Ma-Frem ya Biashara....

Kambi zinajilikana kwa Usafi na kupangwa na kupangika...ila Leo hii makambi yote ni mabaa....Askari wanawaza pombe na ngono...
 
We are doomed.....Hebu pita Leo LUGALO Barracks uone jinsi kambi zilivyogeuzwa mabaaa na Ma-Frem ya Biashara....

Kambi zinajilikana kwa Usafi na kupangwa na kupangika...ila Leo hii makambi yote ni mabaa....Askari wanawaza pombe na ngono...
Bora hata wangejenga shopping mall na wakapangisha biashara mbalimbali ikiwemo mabenki ningeelewa.


Eti wanajenga Fremu za biashara? Hadi unajiuliza hivi hakuna watu wanaowaza kisasa kwenye Jeshi letu? How comes wanakuwa na watu wenye low thinking kiasi hiki?
 
Hawa waasi wanatubipu.
Wamewarejesha wanajeshi wetu wa JWTZ nyumbani kupitia Rwanda bila silaha.

Walipoulizwa kwanini wanawafanyia hivyo, wakajibu Sila zote walizokuwa wanatumia Goma ni za Umoja wa Mataifa sio za Tanzania.
Cha ajabu wao hutumia silaha hizo kuteka maeneo mashariki mwa Congo.

Je wanajeshi wetu hawakubeba hata silaha zetu chache wakati wakitoka huku kwenda Congo?

Source: BBC Swahili news.
Endeleen kujifariji ila Hamna uwezo huo na bibi yenu wa kizimkazi
 
Tembelea makambi uone Leo hii ..Kambi iliyokuwa nzuri kama LUGALO Leo hii ni uchafu mtupi....Kambi haileweki, kama ni Magulio ya biashara au nisehemu wanajeshi wanafunzwa medani za vita..

Shame
Ningewaelewa kama wangejenga tu Jengo moja la Shopping Mall kwenye lile eneo mfano wa Kibo Complex na wakapangisha maduka makubwa na taasisi za fedha.

Ila kile kilichofanyika pale ni uchafu na nakubaliana na wewe Jeshi letu halipaswi kuwa na fikra za chini namna ile. Linapaswa kuwa na watu wanaowaza mambo makubwa makubwa.
 
Kama alikuwa hapigani na Tanzania how
Imekuwaje wanajeshi wetu wakauwawa na kujeruhiwa kama hatujashambuliwa? Kama sheria zimekuwa revoked imekuwaje tupo kimya hadi saivi?

comes wameuwa wanajeshi wetu? Imekuwaje wanajeshi wetu waliojeruhiwa wamechelewa kurudishwa nyumbani?
Unaongea usichokijua hivi Wewe kwa akili unafikili wake wakua vitani au kulinda usalama?. Ndiyo maana hata majeruhi waliopata majeshi ya kulinda amani yalisababishwa na usaliti wa wacongo kwa kuongwa pesa na m23. Na hata majeshi yalooshtuka walikataa kuchanganyika na jeshi la Kongo baada ya kuona ni watu wasaliti.
 
Si tunaona kila siku maiti za Tz zinarudishwa kwenye masanduku toka congo, Iddi amini hakuondolewa ni jeshi la Tanganyika ni jeshi la Zanzibar ndio lilitumiliwa na mchonga meno kumuondoa ndugu yao muislamu madarakani, Iddi amini alikuwa kiongozi mzuri sema zilikuwa chuki za julius nyerere kwa waislam, na tanzania vita ile walipata msaada kedekede toka nje dhidi ya kuupiga vita uislam Africa mashariki na kusimamisha kanisa.

Tz haina hata ndege 1 ya kisasa yakivita labda hao mbwa mnaobeba mgongoni na mabegi mazito mgongoni.
Kumbe wewe ni chizi la kidini unaleta dini humu. Tanzania aitanunua ndege ya kijeshi ikujukishe wewe kuwa imenunua ndege wewe Kama nani?. Waambie mabwana zako tukiiteka Kongo tukateke Kagera au kigoma alafu uone nini kitatokea. Unaleta Upumbavu wa kidini hapa. Eti kusimika kanisa makanisa Tanzania yameingia toka hata Nyerere hajazaliwa alafu unaongea Kama mtu usiyekua na akili.
 
Back
Top Bottom