Mwita Waitara athibitisha taarifa za kuumwa, amelazwa Hospitali ya Benjamin Mkapa, hajui ni ugonjwa gani

Na mama Janeth Janeth Magufuli yupo hapo hapo
 
Umelazwa hospital wiki nzima halafu hujaambiwa Una umwa nn na wataalam , Kama sio uongo nn, wiki nzima bila majibu ni kwel hiki?
Msemaji wa hiyo hospitali atoke hadharani aseme ukweli.

Hawezi ichafua hospitali yetu na wafanyakazi wake. Inamaana wiki nzima amechukuliwa vipimo ila hajapewa majibu wala matibabu ya kinachomsumbua.

Hata corona haichukui huo muda.

Sisi tunajua anachoumwa aseme tu, huo sio ugonjwa wa aibu.

Hata rais wetu aliuguliwa pia, yeye ni nani.
 
Si ajabu kwa kuwa naye ni binadamu hivyo anaweza kuugua na kufa pia
 
Funzo ninalolipata ni kuishi bila kukwaza watu. Kwa nini kuumwa kwa mtu iwe issue sana Kwani wanaumwa wangapi? Mtu mpaka unafikia kuombewa kifo si jambo zuri.
Mwenzetu umeshawahi kuombewa kifo?!
 
Hawa huwa ni mabingwa wa kushabikia wenzao wanapoumwa kana kwamba wao hawawezi kuumwa
 
Week hii ya Dodoma nilimwona jiwe akisalimiana na safu lote mkono kwa mkono,hilo bahati kwetu sijui inakwama wapi
Burundi wanayo bahati sana kwa kukumbukwa na alie juu ,hiyo bahati sijui ni kwa nini haiku dondokea Tanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…