Mwizi kachomwa moto muda huu Kariakoo

Mwizi kachomwa moto muda huu Kariakoo

Hii style ya wizi iliwahi nikuta kamanga feri, kizee kilinikanyaga then wakati nakiomba msamaha nikiinue chini ndipo nliposhangaa Kila mfuko wa nguo yangu ulika covered na mikono ya wezi walionizingira ghafla, mwingine akitaka kunivua kibegi..

Nlishtuka kwa haraka mnoo kujitoa kwenye mtego Ule na kelele nyingi, Hawa watu walipotea Bila kujua walipotelea wapi.

Uzur hawakuambuia kitu kabsaa. Laiti kama wangebeba Lile begi nliakua nmeisha.
 
Hivi wadau kumbe style ya wizi wa kizamani ya mtu kujifanya umemkanyaga anakugusa halafu unaibiwa bado ipo aisee.

Leo kuna mwizi kajaa kwenye kumi nane za watu hapa Kariakoo kamgusa mtu sijui alishawahi kuibiwa Kwa aina hii si ndio kamshtukia kamwitia mwizi aisee jamaa kaunguzwa muda huu ni noma.
nitumie iyo video pm mkuu
 
Hii style ya wizi iliwahi nikuta kamanga feri, kizee kilinikanyaga then wakati nakiomba msamaha nikiinue chini ndipo nliposhangaa Kila mfuko wa nguo yangu ulika covered na mikono ya wezi walionizingira ghafla, mwingine akitaka kunivua kibegi..

Nlishtuka kwa haraka mnoo kujitoa kwenye mtego Ule na kelele nyingi, Hawa watu walipotea Bila kujua walipotelea wapi.

Uzur hawakuambuia kitu kabsaa. Laiti kama wangebeba Lile begi nliakua nmeisha.
Duuh aisee
 
Katika kitabu Cha suratul al tawrat kwenye Qur'an tukufu mola mlezi alikwisha kuandika katika amri zake ya kwamba usiibe. Naye atakaye Iba ni dhambi na halali yake akatwe vidole vya mikono na hata mwili ikiwa atarudia makosa hadhaa.

Ukitenda dhambi fahari yake ni maut basi watu wa mola mlezi jitahadharini. Allah Akbar.
Baba, hiyo suratul Altawrat Iko juzuu ya ngapi na ina Aya ngapi mkuu mbona wengine hatujawahi iona.??!! Ni kweli adhabu za wezi, majambazi na magaidi zimefafanuliwa katika sura kadhaa katika Quran ila hiyo surat al tawrat unatupiga na kitu kizito mkuu.
 
Back
Top Bottom