Mr simple M
JF-Expert Member
- Sep 18, 2020
- 2,202
- 4,653
Screenshot Mkuuu tumuoneSina picha Nina video na ni mbaya sana aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Screenshot Mkuuu tumuoneSina picha Nina video na ni mbaya sana aisee
Kama hakuna video unatupatia mamlaka ya kusema chaiSina picha Nina video na ni mbaya sana aisee
Sawa wewe sema tu chai ila hapa video siweki wenzio wote nimewatumia pm mda huuKama hakuna video unatupatia mamlaka ya kusema chai
Njoo pmScreenshot Mkuuu tumuone
Mbona mimi umeniruka sasa?Sawa wewe sema tu chai ila hapa video siweki wenzio wote nimewatumia pm mda huu
Wewe sema chaiMbona mimi umeniruka sasa?
Daah sawa sina nenoWewe sema chai
kwasababu na ww mi mwizi unamuurumia af akikutana na ww chocho anakukabaKwanini wamuue
Kila anayekosea angekuwa anauliwa sidhani kama Dunia ingekuwa na aatu
Hiyo mwizi atakuwa mgeni,Watu wameamka saa kumi na moja alfajiri harafu wanarudi saa tano usiku ndio wapo home kwa mapambano hayo kuuawa kawaida tu ukisumbua Wananchi wenye hasira kali.
nitumie iyo video pm mkuuHivi wadau kumbe style ya wizi wa kizamani ya mtu kujifanya umemkanyaga anakugusa halafu unaibiwa bado ipo aisee.
Leo kuna mwizi kajaa kwenye kumi nane za watu hapa Kariakoo kamgusa mtu sijui alishawahi kuibiwa Kwa aina hii si ndio kamshtukia kamwitia mwizi aisee jamaa kaunguzwa muda huu ni noma.
Duuh aiseeHii style ya wizi iliwahi nikuta kamanga feri, kizee kilinikanyaga then wakati nakiomba msamaha nikiinue chini ndipo nliposhangaa Kila mfuko wa nguo yangu ulika covered na mikono ya wezi walionizingira ghafla, mwingine akitaka kunivua kibegi..
Nlishtuka kwa haraka mnoo kujitoa kwenye mtego Ule na kelele nyingi, Hawa watu walipotea Bila kujua walipotelea wapi.
Uzur hawakuambuia kitu kabsaa. Laiti kama wangebeba Lile begi nliakua nmeisha.
Baba, hiyo suratul Altawrat Iko juzuu ya ngapi na ina Aya ngapi mkuu mbona wengine hatujawahi iona.??!! Ni kweli adhabu za wezi, majambazi na magaidi zimefafanuliwa katika sura kadhaa katika Quran ila hiyo surat al tawrat unatupiga na kitu kizito mkuu.Katika kitabu Cha suratul al tawrat kwenye Qur'an tukufu mola mlezi alikwisha kuandika katika amri zake ya kwamba usiibe. Naye atakaye Iba ni dhambi na halali yake akatwe vidole vya mikono na hata mwili ikiwa atarudia makosa hadhaa.
Ukitenda dhambi fahari yake ni maut basi watu wa mola mlezi jitahadharini. Allah Akbar.
Poa mkuunitumie iyo video pm mkuu
ntumie na mimi jmnSawa wewe sema tu chai ila hapa video siweki wenzio wote nimewatumia pm mda huu
Pole sana mkuu wanaumiza watu Hawa washenziWajinga hao walishanipiga 80k hapo maeneo ya China plaza
Na ilikuwa hela pekee nilibakiwa nayo mfukoni, bila kufanya namna ningerudi nyumbani kwa miguu😀Pole sana mkuu wanaumiza watu Hawa washenzi