Mwizi maarufu wa Kawe/Mbezi Beach 'Minyembe' auawa na Wananchi


Mkalidayo naona umeamua kututenga, hiki kiyunani ulichoandika noma sana.
 
Kwa mfano ndio wamekuweka kati alafu wakataka mapenzi utachukua hatua gani?
Hahahahahahaaaaaaa hapo tukuulize mkuu kama ishakutokea binafsi hata kumshukuru kwa hekima yake alisishia kunisachi na siku zilizofwaylta nikimwona Anaitaaa br unatuachaje namrushiaa buku 2-3 NAENDA salamaa salmini.....
 
Hata kwenye uchumi wa juu wapo kina Minyembe pia
Mkuu alikuwa na cheo cha dkt maana alikuwa mchora ramani akiona vijana hampi ushirikiano ana piga tukio.mwenyewe .......

Jana aliset pikipiki akipiga akapandie mbele pikipiki ikammkimbia na mwenzie sijui ana nyota gani nae akatokomea maeneo ya victory kanisani huko ukisogea sana mnakula visu wakaamua kumalizana na kijana wetu dkt

Ila walikuwa na akili mbioooo m alishanipita katoka kuiba anakimbia sijaguswa mshtuko nkadondoka nyuma ndio naona wanaita mwizii mwakajana hioo bolt cha mtotooooooo...
 
Mwenyeee kutaka kutoaa USHIRIKIANO wa mchango wa malii halibaki nayoo tumzike kijana wetu tuwasiliane anazikwa kesho maeneo ya luventry. Hii sehemu kila jambazi anazikwa hapo NAHISI serikali wapafunge pamejaa kabisaa mkichimba mnakutana na mkono unakupa hai ushaanza liwa na ...
 
Tusimame DK moja KUMBUKA

DK.MINYEMBE PLS HAYO MENGINE TUMWACHIE MUNGU AMETWAA KILICHO CHAKE
 
Hongereni

 
Nawaogopa sana hawa vibaka ila naogopa sana pia kushuhudia vifo vyao😥😥😥
 
Nawaogopa sana hawa vibaka ila naogopa sana pia kushuhudia vifo vyao😥😥😥
Shemeji boraa unapigaa m nikisikia mwiziii nasubiria wamemkamataa wameshamaliza kuangalia NAWEZA ilà hata kupigaaa inanishindaa

NDIO maanaa SUNGUSUNGU UBUNGO. NILIWAPA MBINU.MOJA.MPAKA.LEOO AWATOI DAMU.MTU....
WAKIKAMATA.MWIZI.WANACHUKUA.CEMENT WANACHANGANYA NA MAFUTA YA TAA NA KAMCHANGA WANAMNYOSHA KIKOMBE KIMOJA TU WANAMWACHIA AKIMBIE ....AKIFIFKA OFISI ZA KF NAJITOA HAPA

ELSE KAMA.KUNA WENYE MOYO HII WANAFANYA MBEZI MAJI YA.MAVI MACHAFU WANAKOROGA WANAMNYWESHA KIKOMBE AKIMALIZA .MKIMBIZEN AKIMBIE MWACHENI MTAITIWA MAITI ASBH

YATATU HII INAHITAJI WENYE NGUVU

WALA.AMUMPI KITU SHIKA KICHWA CHIKA.MIGUU.MTIKISENI MBELE NYUMA.KUSHOTO KULIA BADILISHENI TUMBO LIWE LINANGALIA ARDHI.MZUNGUSHENI KAMA.DK 15-20 YAANI MNAMCHEZESHA KWELI KWELI

MWACHENI HAPO ..WAPENI SUNGU.SINGU HELA WAMLINDE AKIAMKA.NAIRUDISHA HIOO HELAAA..HIZI N NJIA BORA MAANA DAMU INAWEZA.KUWA NA MADHARA.HATA UPANDE WA.MNAOPIGA.....
 
Pdidy ina maana haunaga ndinga ya kwendea kupigia vyombo?
 
Pdidy ina maana haunaga ndinga ya kwendea kupigia vyombo?
Zipoo MBILI mkuu
Ila Nikiwa na wakuu wa vyombo napenda kuwa free na pikpik else niko na dogo ndio naenjoy kaamua kuoaaaa basi shidaa Shida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…