Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku ukija kuibiwa hauta sema hivyoWamekosea sana kujichukulia sheria mikononi
Ww hujaelewa wapMember since 2007 halafu unandika ovyo hivi duh
Kaka mkubwa
Angaliaaa wasikusachii mkuu wanaanzaga hivihivi kuuliza kwikwikwikwi
Pdidy wengine tulishamzowea.
Utafutaji kaka nilikuwa maporini sanaNiaje mkuu, tumepoteana jukwaani humu.
Kwamba mwanzo alikuwa anatumia nini?Ila siku hizi anaandika vizuri sana, atakuwa amenunua simu nzuri au ana auto correct ya kiswahili.
ukisamehe anaenda kuumiza na mwingineMajuzi madogo wa mtaani wamenichukulia tv na saboofer sasa najiuliza hivi vitoto vinazaliwa naviona nikisema nikavichukue hatua taviumiza au nisamehee tu hio vitu
Huyo akikamatwa akienda polisi hakaiWamekosea sana kujichukulia sheria mikononi
Kijana aliekuwa maarufu kupiga watu visu na mapanga na kuleta wezi wa Manzese na Magomeni kuwatesa wananchi wa Kawe na Mbezi ameuwawa usiku huu
Kijana Minyembe kijana mwembamba na mwemye mbio kuliko mwanariadha Bolt ameuawa usiku huu baada ya kumuibia dada mmoja njia ya mchangani chadema
Kama wasemavyo siku ya kifo n kifo tu Minyembe alikuwa na wenzie wawili. Ghafla walipokimbia yule binti akapiga kelele wananchi wakamfwata aliekimbilia mtoni Kawe
Alipoanza kukimbizwa kwenye maji akaomba asamehewe arudii tena ana mtoto, wakamshauri apande juu. Hapo ndipo wakamfunga kamba pembeni ya nyumba ya mjumbe. Wakanzaa mdundika mawe yasio na idadi kichwani
Kijana Minyembe ambae Kawe polisi pamekuwa kama shule yake akiingia na kutoka hivi sasa hatuko nae tena. Polisi wa Kawe mtusaidie kutoa hii maiti yake ulizeni kwa mjumbe
Nendeni bar ya Soweto mtaelekezwa alipo.
RIP Minyembe umewahi kunisachi kama, mwanamke mara nne tena saa tano tu nashukuru hukuwahi kunidhuru ingawa nilijitahdi kukupa ushirikiano kila nikuonapo
Ulinifanya nikirudi saa sita niweke simu na pochi kwenye soksi huku nikikuwekea 2000-3000 kwa ajili ya kuweka amani nifike salama nyumbani
RIP
Dk Minyembe
Leo Pdidy umeandika vizuri sana au kuna mtu amekuandikia? Maana nyuzi zako lugha huwa ngumu kuelewa😀😀🤣🤣🤣Kijana aliekuwa maarufu kupiga watu visu na mapanga na kuleta wezi wa Manzese na Magomeni kuwatesa wananchi wa Kawe na Mbezi ameuwawa usiku huu
Kijana Minyembe kijana mwembamba na mwemye mbio kuliko mwanariadha Bolt ameuawa usiku huu baada ya kumuibia dada mmoja njia ya mchangani chadema
Kama wasemavyo siku ya kifo n kifo tu Minyembe alikuwa na wenzie wawili. Ghafla walipokimbia yule binti akapiga kelele wananchi wakamfwata aliekimbilia mtoni Kawe
Alipoanza kukimbizwa kwenye maji akaomba asamehewe arudii tena ana mtoto, wakamshauri apande juu. Hapo ndipo wakamfunga kamba pembeni ya nyumba ya mjumbe. Wakanzaa mdundika mawe yasio na idadi kichwani
Kijana Minyembe ambae Kawe polisi pamekuwa kama shule yake akiingia na kutoka hivi sasa hatuko nae tena. Polisi wa Kawe mtusaidie kutoa hii maiti yake ulizeni kwa mjumbe
Nendeni bar ya Soweto mtaelekezwa alipo.
RIP Minyembe umewahi kunisachi kama, mwanamke mara nne tena saa tano tu nashukuru hukuwahi kunidhuru ingawa nilijitahdi kukupa ushirikiano kila nikuonapo
Ulinifanya nikirudi saa sita niweke simu na pochi kwenye soksi huku nikikuwekea 2000-3000 kwa ajili ya kuweka amani nifike salama nyumbani
RIP
Dk Minyembe
umeandika kama unakimbizwa wewe mwana utopolo,Kijana aliekuwa maarufu kupiga watu visu na mapanga na kuleta wezi wa Manzese na Magomeni kuwatesa wananchi wa Kawe na Mbezi ameuwawa usiku huu
Kijana Minyembe kijana mwembamba na mwemye mbio kuliko mwanariadha Bolt ameuawa usiku huu baada ya kumuibia dada mmoja njia ya mchangani chadema
Kama wasemavyo siku ya kifo n kifo tu Minyembe alikuwa na wenzie wawili. Ghafla walipokimbia yule binti akapiga kelele wananchi wakamfwata aliekimbilia mtoni Kawe
Alipoanza kukimbizwa kwenye maji akaomba asamehewe arudii tena ana mtoto, wakamshauri apande juu. Hapo ndipo wakamfunga kamba pembeni ya nyumba ya mjumbe. Wakanzaa mdundika mawe yasio na idadi kichwani
Kijana Minyembe ambae Kawe polisi pamekuwa kama shule yake akiingia na kutoka hivi sasa hatuko nae tena. Polisi wa Kawe mtusaidie kutoa hii maiti yake ulizeni kwa mjumbe
Nendeni bar ya Soweto mtaelekezwa alipo.
RIP Minyembe umewahi kunisachi kama, mwanamke mara nne tena saa tano tu nashukuru hukuwahi kunidhuru ingawa nilijitahdi kukupa ushirikiano kila nikuonapo
Ulinifanya nikirudi saa sita niweke simu na pochi kwenye soksi huku nikikuwekea 2000-3000 kwa ajili ya kuweka amani nifike salama nyumbani
RIP
Dk Minyembe
Utafutaji kaka nilikuwa maporini sana
Naishi na tembo
Naskia tu tumefuzu kwenda 16
Kwamba mwanzo alikuwa anatumia nini?
Huyu jamaa nilizanigi anafanya makusudi
Hahah
Sawa sawa kaka majeruhi bado ni wengiJumatatu mchana ndo wanafanya draw tujue tutakutana na nani.
Anaandika halafu anasepa .Muhuni huyu, siku akitulia kama Leo anaandika poa sana, ila kuna muda anaamua kutukomesha.
Tulishamzoea, maana anaandika vitu vinavutia kusoma na unabaki huna namna unasoma hivyo hivyo.
Sawa sawa kaka majeruhi bado ni wengi
Anaandika halafu anasepa .
Pia jamaa huyu ni born town kitambo
Haha