Mwizi maarufu wa Kawe/Mbezi Beach 'Minyembe' auawa na Wananchi

Mwizi maarufu wa Kawe/Mbezi Beach 'Minyembe' auawa na Wananchi

Kijana aliekuwa maarufu kupiga watu visu na mapanga na kuleta wezi wa Manzese na Magomeni kuwatesa wananchi wa Kawe na Mbezi ameuwawa usiku huu

Kijana Minyembe kijana mwembamba na mwemye mbio kuliko mwanariadha Bolt ameuawa usiku huu baada ya kumuibia dada mmoja njia ya mchangani chadema

Kama wasemavyo siku ya kifo n kifo tu Minyembe alikuwa na wenzie wawili

Ghafla walipokimbia yule binti akapiga kelele wananchi wakamfwata aliekimbilia mtoni Kawe

Alipoanza kukimbizwa kwenye maji akaomba asamehewe arudii tena ana mtoto wakamshauri apande juu
Hapo ndipo wakamfunga kamba pembeni ya nyumba ya mjumbe. Wakanzaa mdundika mawe yasio na idadi kichwani

Kijana Minyembe ambae Kawe polisi pamekuwa kama shule yake akiingia na kutoka hivi sasa atuko nae tena

Polsi wakawe mtusaidie kutoa hii maiti yake ulizeni kwa mjumbe

Nenden bar ya Soweto mtaelekezwa alipo......

RIP Minyembe umewahi kunisachi kama, mwanamke mara nne tena saa tano tu nashukuru hukuwahi kunidhuru ingawa nilijitahdi kukupa ushirikiano kila nikuonapo

Ulinifanya nikirudi saa sita niweke simu na pochi kwenye soksi huku nikikuwekea 2000-3000 kwa ajili ya kuweka amani nifike salama nyumbam

RIP
Dk Minyembe
Huu ni udaku kama udaku mwingine
 
Kijana aliekuwa maarufu kupiga watu visu na mapanga na kuleta wezi wa Manzese na Magomeni kuwatesa wananchi wa Kawe na Mbezi ameuwawa usiku huu

Kijana Minyembe kijana mwembamba na mwemye mbio kuliko mwanariadha Bolt ameuawa usiku huu baada ya kumuibia dada mmoja njia ya mchangani chadema

Kama wasemavyo siku ya kifo n kifo tu Minyembe alikuwa na wenzie wawili

Ghafla walipokimbia yule binti akapiga kelele wananchi wakamfwata aliekimbilia mtoni Kawe

Alipoanza kukimbizwa kwenye maji akaomba asamehewe arudii tena ana mtoto wakamshauri apande juu
Hapo ndipo wakamfunga kamba pembeni ya nyumba ya mjumbe. Wakanzaa mdundika mawe yasio na idadi kichwani

Kijana Minyembe ambae Kawe polisi pamekuwa kama shule yake akiingia na kutoka hivi sasa atuko nae tena

Polsi wakawe mtusaidie kutoa hii maiti yake ulizeni kwa mjumbe

Nenden bar ya Soweto mtaelekezwa alipo......

RIP Minyembe umewahi kunisachi kama, mwanamke mara nne tena saa tano tu nashukuru hukuwahi kunidhuru ingawa nilijitahdi kukupa ushirikiano kila nikuonapo

Ulinifanya nikirudi saa sita niweke simu na pochi kwenye soksi huku nikikuwekea 2000-3000 kwa ajili ya kuweka amani nifike salama nyumbam

RIP
Dk Minyembe
Kumbe alishafikia kwenye level ya udaktari! Basi huyo alikuwa ni hatari sana, R.I.P...
 
Kijana aliekuwa maarufu kupiga watu visu na mapanga na kuleta wezi wa Manzese na Magomeni kuwatesa wananchi wa Kawe na Mbezi ameuwawa usiku huu

Kijana Minyembe kijana mwembamba na mwemye mbio kuliko mwanariadha Bolt ameuawa usiku huu baada ya kumuibia dada mmoja njia ya mchangani chadema

Kama wasemavyo siku ya kifo n kifo tu Minyembe alikuwa na wenzie wawili. Ghafla walipokimbia yule binti akapiga kelele wananchi wakamfwata aliekimbilia mtoni Kawe

Alipoanza kukimbizwa kwenye maji akaomba asamehewe arudii tena ana mtoto wakamshauri apande juu. Hapo ndipo wakamfunga kamba pembeni ya nyumba ya mjumbe. Wakanzaa mdundika mawe yasio na idadi kichwani

Kijana Minyembe ambae Kawe polisi pamekuwa kama shule yake akiingia na kutoka hivi sasa atuko nae tena. Polisi wakawe mtusaidie kutoa hii maiti yake ulizeni kwa mjumbe

Nenden bar ya Soweto mtaelekezwa alipo.

RIP Minyembe umewahi kunisachi kama, mwanamke mara nne tena saa tano tu nashukuru hukuwahi kunidhuru ingawa nilijitahdi kukupa ushirikiano kila nikuonapo

Ulinifanya nikirudi saa sita niweke simu na pochi kwenye soksi huku nikikuwekea 2000-3000 kwa ajili ya kuweka amani nifike salama nyumbam

RIP
Dk Minyembe
Mzee baba, unatuaibisha wanaume wa Da'slam. Unasachiwaje na kibaka kisha unamuacha?

Nilipokuwa naishi Masana nilimuhamisha kibaka almaarufu Dotto baada ya kuvunja kwangu nikiwa safarini.

Polisi niliwaambia huyu namleta mwenyewe, mshikemshike nilioufanya alienda likizo isiyo na malipo hadi nilipohama
 
Kijana aliekuwa maarufu kupiga watu visu na mapanga na kuleta wezi wa Manzese na Magomeni kuwatesa wananchi wa Kawe na Mbezi ameuwawa usiku huu

Kijana Minyembe kijana mwembamba na mwemye mbio kuliko mwanariadha Bolt ameuawa usiku huu baada ya kumuibia dada mmoja njia ya mchangani chadema

Kama wasemavyo siku ya kifo n kifo tu Minyembe alikuwa na wenzie wawili. Ghafla walipokimbia yule binti akapiga kelele wananchi wakamfwata aliekimbilia mtoni Kawe

Alipoanza kukimbizwa kwenye maji akaomba asamehewe arudii tena ana mtoto wakamshauri apande juu. Hapo ndipo wakamfunga kamba pembeni ya nyumba ya mjumbe. Wakanzaa mdundika mawe yasio na idadi kichwani

Kijana Minyembe ambae Kawe polisi pamekuwa kama shule yake akiingia na kutoka hivi sasa atuko nae tena. Polisi wakawe mtusaidie kutoa hii maiti yake ulizeni kwa mjumbe

Nenden bar ya Soweto mtaelekezwa alipo.

RIP Minyembe umewahi kunisachi kama, mwanamke mara nne tena saa tano tu nashukuru hukuwahi kunidhuru ingawa nilijitahdi kukupa ushirikiano kila nikuonapo

Ulinifanya nikirudi saa sita niweke simu na pochi kwenye soksi huku nikikuwekea 2000-3000 kwa ajili ya kuweka amani nifike salama nyumbam

RIP
Dk Minyembe
Kwa kipindi chote hicho ilikuwaje ukashindwa kumwekea mtego ili akamatwe kama ulifikia hatua ya kumtengea chake kabisa ina maana mlikuwa karibu
Pole kwa msiba!
 
Kijana aliekuwa maarufu kupiga watu visu na mapanga na kuleta wezi wa Manzese na Magomeni kuwatesa wananchi wa Kawe na Mbezi ameuwawa usiku huu

Kijana Minyembe kijana mwembamba na mwemye mbio kuliko mwanariadha Bolt ameuawa usiku huu baada ya kumuibia dada mmoja njia ya mchangani chadema

Kama wasemavyo siku ya kifo n kifo tu Minyembe alikuwa na wenzie wawili. Ghafla walipokimbia yule binti akapiga kelele wananchi wakamfwata aliekimbilia mtoni Kawe

Alipoanza kukimbizwa kwenye maji akaomba asamehewe arudii tena ana mtoto wakamshauri apande juu. Hapo ndipo wakamfunga kamba pembeni ya nyumba ya mjumbe. Wakanzaa mdundika mawe yasio na idadi kichwani

Kijana Minyembe ambae Kawe polisi pamekuwa kama shule yake akiingia na kutoka hivi sasa atuko nae tena. Polisi wakawe mtusaidie kutoa hii maiti yake ulizeni kwa mjumbe

Nenden bar ya Soweto mtaelekezwa alipo.

RIP Minyembe umewahi kunisachi kama, mwanamke mara nne tena saa tano tu nashukuru hukuwahi kunidhuru ingawa nilijitahdi kukupa ushirikiano kila nikuonapo

Ulinifanya nikirudi saa sita niweke simu na pochi kwenye soksi huku nikikuwekea 2000-3000 kwa ajili ya kuweka amani nifike salama nyumbam

RIP
Dk Minyembe


RIP kaka jambazi, msalimie jombi huko ulipo, mwambie maisha bila wizi yanawekana
 
Shida kubwa kuna nyumba zolikuwa zikishiriki kutunza HAO wezii na malizaoo so mpaka tukakaa kikaoo tukatangaza wahusika tutachoma moto hapoo na WENGINE wakafukuzwa kabisa hizo nyumbà wakaenda kupanga KAWE
 
Back
Top Bottom