Mwizi maarufu wa Kawe/Mbezi Beach 'Minyembe' auawa na Wananchi

Mwizi maarufu wa Kawe/Mbezi Beach 'Minyembe' auawa na Wananchi

Kijana aliekuwa maarufu kupiga watu visu na mapanga na kuleta wezi wa Manzese na Magomeni kuwatesa wananchi wa Kawe na Mbezi ameuwawa usiku huu

Kijana Minyembe kijana mwembamba na mwemye mbio kuliko mwanariadha Bolt ameuawa usiku huu baada ya kumuibia dada mmoja njia ya mchangani chadema

Kama wasemavyo siku ya kifo n kifo tu Minyembe alikuwa na wenzie wawili. Ghafla walipokimbia yule binti akapiga kelele wananchi wakamfwata aliekimbilia mtoni Kawe

Alipoanza kukimbizwa kwenye maji akaomba asamehewe arudii tena ana mtoto, wakamshauri apande juu. Hapo ndipo wakamfunga kamba pembeni ya nyumba ya mjumbe. Wakanzaa mdundika mawe yasio na idadi kichwani

Kijana Minyembe ambae Kawe polisi pamekuwa kama shule yake akiingia na kutoka hivi sasa hatuko nae tena. Polisi wa Kawe mtusaidie kutoa hii maiti yake ulizeni kwa mjumbe

Nendeni bar ya Soweto mtaelekezwa alipo.

RIP Minyembe umewahi kunisachi kama, mwanamke mara nne tena saa tano tu nashukuru hukuwahi kunidhuru ingawa nilijitahdi kukupa ushirikiano kila nikuonapo

Ulinifanya nikirudi saa sita niweke simu na pochi kwenye soksi huku nikikuwekea 2000-3000 kwa ajili ya kuweka amani nifike salama nyumbani

RIP
Dk Minyembe
Mkuu usiwe kama Trump, unapoleta habari jaribu kuleta na ushahidi. Wengine tuna usongo na huyo dogo, tunataka kuona picha yake kama kweli kafa au vipi.
 
Kijana aliekuwa maarufu kupiga watu visu na mapanga na kuleta wezi wa Manzese na Magomeni kuwatesa wananchi wa Kawe na Mbezi ameuwawa usiku huu

Kijana Minyembe kijana mwembamba na mwemye mbio kuliko mwanariadha Bolt ameuawa usiku huu baada ya kumuibia dada mmoja njia ya mchangani chadema

Kama wasemavyo siku ya kifo n kifo tu Minyembe alikuwa na wenzie wawili. Ghafla walipokimbia yule binti akapiga kelele wananchi wakamfwata aliekimbilia mtoni Kawe

Alipoanza kukimbizwa kwenye maji akaomba asamehewe arudii tena ana mtoto, wakamshauri apande juu. Hapo ndipo wakamfunga kamba pembeni ya nyumba ya mjumbe. Wakanzaa mdundika mawe yasio na idadi kichwani

Kijana Minyembe ambae Kawe polisi pamekuwa kama shule yake akiingia na kutoka hivi sasa hatuko nae tena. Polisi wa Kawe mtusaidie kutoa hii maiti yake ulizeni kwa mjumbe

Nendeni bar ya Soweto mtaelekezwa alipo.

RIP Minyembe umewahi kunisachi kama, mwanamke mara nne tena saa tano tu nashukuru hukuwahi kunidhuru ingawa nilijitahdi kukupa ushirikiano kila nikuonapo

Ulinifanya nikirudi saa sita niweke simu na pochi kwenye soksi huku nikikuwekea 2000-3000 kwa ajili ya kuweka amani nifike salama nyumbani

RIP
Dk Minyembe
Umenikumbusha enzi nasoma chuo nikiwa nimepanga pale Mwananyamala, kuna jamaa mmoja alikuwa na sura yenye ngeo nyingi sana hadi kuna kipindi nilikuwa namuogopa hata kukutana naye.
Kuna siku huyo jamaa nikampita amekaa na wenzake wawili daah ile sura ikaniangalia kidogo tu nianze kukimbia😂😂 jamaa alikuwa na sura moja hivi ilikuwa inatisha Asee..!
Siku hiyo sijui alikuwa ananisoma tu, nimetoka zangu chuo mida ya saa 12 jioni. Nililala kidogo na baadae nikaamka, yaani ilikuwa kama nimeshituliwa na mtu. Nilikuwa na Tablet yangu Samsung 10.1, simu kubwa niliyo kuwa nayo nikaiacha ndani si nikatoka home nikapita chochoro moja nitokezee sokoni kuna sehemu walikuwa wanauza chakula ..! Si nikapigwa robbing moja hiyo na ngumi za usoni nyingi nyingi hata sijui nini kilitokea basi nikawambia chukueni simu na elfu moja ipo mfuko wa nyuma 😅😅😅😅😅. Alfu jamaa wakatoweka
Nikaapa siku akikamatwa kibaka namimi nitapiga jiwe hata kama nina safari na usafiri wangu nitasimama nimpe jiwe hata la uso shenzaoo
 
Hahahaaahahaaaaqaaaaa

Allah Akbar
Mkuu huku wezi wakikusimamisha usipotoa ushirikiano wa kusimamia kama kusachi wakusachi leohii hata nisingeweza ona maneno tecno yangu nimkumbuke Dkt. Minyembe mzee wa research house 2 house

Wamamaa wanafanya party mdahuu mitaa yetu hioi ni siri zaoo hataresanaaa
Usifurahie kuzaa tu omba. Mungu awalinde watoto wetu wajekuwanna hofu ya mungu......

Mkuu mbona unaharaka ya kufika unakimbizwa na minyembe kwani ? andikq taratibu pole pole
 
Lack of PICTURES ineharibu uzi ninavyojua jamaaa akipokea kichapo lazima watu walirecord
 
Kijana aliekuwa maarufu kupiga watu visu na mapanga na kuleta wezi wa Manzese na Magomeni kuwatesa wananchi wa Kawe na Mbezi ameuwawa usiku huu

Kijana Minyembe kijana mwembamba na mwemye mbio kuliko mwanariadha Bolt ameuawa usiku huu baada ya kumuibia dada mmoja njia ya mchangani chadema

Kama wasemavyo siku ya kifo n kifo tu Minyembe alikuwa na wenzie wawili. Ghafla walipokimbia yule binti akapiga kelele wananchi wakamfwata aliekimbilia mtoni Kawe

Alipoanza kukimbizwa kwenye maji akaomba asamehewe arudii tena ana mtoto, wakamshauri apande juu. Hapo ndipo wakamfunga kamba pembeni ya nyumba ya mjumbe. Wakanzaa mdundika mawe yasio na idadi kichwani

Kijana Minyembe ambae Kawe polisi pamekuwa kama shule yake akiingia na kutoka hivi sasa hatuko nae tena. Polisi wa Kawe mtusaidie kutoa hii maiti yake ulizeni kwa mjumbe

Nendeni bar ya Soweto mtaelekezwa alipo.

RIP Minyembe umewahi kunisachi kama mwanamke mara nne tena saa tano tu nashukuru hukuwahi kunidhuru ingawa nilijitahdi kukupa ushirikiano kila nikuonapo

Ulinifanya nikirudi saa sita niweke simu na pochi kwenye soksi huku nikikuwekea 2000-3000 kwa ajili ya kuweka amani nifike salama nyumbani

RIP
Dk Minyembe
We ulimpiga mawe mangapi?
 
Kijana aliekuwa maarufu kupiga watu visu na mapanga na kuleta wezi wa Manzese na Magomeni kuwatesa wananchi wa Kawe na Mbezi ameuwawa usiku huu

Kijana Minyembe kijana mwembamba na mwemye mbio kuliko mwanariadha Bolt ameuawa usiku huu baada ya kumuibia dada mmoja njia ya mchangani chadema

Kama wasemavyo siku ya kifo n kifo tu Minyembe alikuwa na wenzie wawili. Ghafla walipokimbia yule binti akapiga kelele wananchi wakamfwata aliekimbilia mtoni Kawe

Alipoanza kukimbizwa kwenye maji akaomba asamehewe arudii tena ana mtoto, wakamshauri apande juu. Hapo ndipo wakamfunga kamba pembeni ya nyumba ya mjumbe. Wakanzaa mdundika mawe yasio na idadi kichwani

Kijana Minyembe ambae Kawe polisi pamekuwa kama shule yake akiingia na kutoka hivi sasa hatuko nae tena. Polisi wa Kawe mtusaidie kutoa hii maiti yake ulizeni kwa mjumbe

Nendeni bar ya Soweto mtaelekezwa alipo.

RIP Minyembe umewahi kunisachi kama mwanamke mara nne tena saa tano tu nashukuru hukuwahi kunidhuru ingawa nilijitahdi kukupa ushirikiano kila nikuonapo

Ulinifanya nikirudi saa sita niweke simu na pochi kwenye soksi huku nikikuwekea 2000-3000 kwa ajili ya kuweka amani nifike salama nyumbani

RIP
Dk Minyembe
Safi sana....Ulia mbali mijizi kama hiyo.....
 
Kijana aliekuwa maarufu kupiga watu visu na mapanga na kuleta wezi wa Manzese na Magomeni kuwatesa wananchi wa Kawe na Mbezi ameuwawa usiku huu

Kijana Minyembe kijana mwembamba na mwemye mbio kuliko mwanariadha Bolt ameuawa usiku huu baada ya kumuibia dada mmoja njia ya mchangani chadema

Kama wasemavyo siku ya kifo n kifo tu Minyembe alikuwa na wenzie wawili. Ghafla walipokimbia yule binti akapiga kelele wananchi wakamfwata aliekimbilia mtoni Kawe

Alipoanza kukimbizwa kwenye maji akaomba asamehewe arudii tena ana mtoto, wakamshauri apande juu. Hapo ndipo wakamfunga kamba pembeni ya nyumba ya mjumbe. Wakanzaa mdundika mawe yasio na idadi kichwani

Kijana Minyembe ambae Kawe polisi pamekuwa kama shule yake akiingia na kutoka hivi sasa hatuko nae tena. Polisi wa Kawe mtusaidie kutoa hii maiti yake ulizeni kwa mjumbe

Nendeni bar ya Soweto mtaelekezwa alipo.

RIP Minyembe umewahi kunisachi kama mwanamke mara nne tena saa tano tu nashukuru hukuwahi kunidhuru ingawa nilijitahdi kukupa ushirikiano kila nikuonapo

Ulinifanya nikirudi saa sita niweke simu na pochi kwenye soksi huku nikikuwekea 2000-3000 kwa ajili ya kuweka amani nifike salama nyumbani

RIP
Dk Minyembe
Nuhu mjumbe upo wapi?
 
Umenikumbusha enzi za MADOTO nae alikua mwizi balaa, usiku na mchana kweupee na alikua akiogopeka balaa
 
Dogo alikuwa ninja htr, kaacha mke mwenye ujauzito leo pale kwao masela kibao yaan dah wanapiga nyimbo ya daz nundaz kalale pema peponi kamanda, walikuwa na Kundi lao wanajiita Israel dah sio poa dogo rama, niliwahi mkuta asubh na simu kali sn mitaa ya Africana akauza elfu 30, dogo mama yake alikuwa anamkingia kifua sn.
 
Dogo alikuwa ninja htr, kaacha mke mwenye ujauzito leo pale kwao masela kibao yaan dah wanapiga nyimbo ya daz nundaz kalale pema peponi kamanda, walikuwa na Kundi lao wanajiita Israel dah sio poa dogo rama, niliwahi mkuta asubh na simu kali sn mitaa ya Africana akauza elfu 30, dogo mama yake alikuwa anamkingia kifua sn.
MKUU NIMETOKA PALEEE HATAREEEE IMEBIDI TUOMBE MSAADA KESHOO MAZIKONII SIO KWA BAJAJI ZILE ZINASHUSHAA WATU KUMI BAJAJI.MOJA BANGI MTU AISEE

ANGALIZO
MPAKA SASA WANAHAHA KUZIKA.LUVENTRY KUMEJAAA WAMEAMBIWA KUZIKA PALE EFM KWA MBELE WANATAKA KUGOMA SO TUNAOMBA TU POLISI KAWE MSIRUHUSU HUYU MHUNI AZIKWE PALE MAANA WENGINE TULIKUMBUKA MATUKIO YAKE TUKAPITA MAENEO YA MAKABURINI TUNAWEZA HISI TUNASACHIWA NA MAREHEMU
 
Dogo alikuwa ninja htr, kaacha mke mwenye ujauzito leo pale kwao masela kibao yaan dah wanapiga nyimbo ya daz nundaz kalale pema peponi kamanda, walikuwa na Kundi lao wanajiita Israel dah sio poa dogo rama, niliwahi mkuta asubh na simu kali sn mitaa ya Africana akauza elfu 30, dogo mama yake alikuwa anamkingia kifua sn.
Mkuu mama amechangia sana MSIBA wa mwanae ALIKUWA akipiga anaweka SAWA kwanza kwa maza BILA kujua katoaa wapi
Imagine anauliwa ana SIMU touch mbili aisee Rip Dk
 
Hahah htr yaan ksh maduka ya pale na kwao wengine hawatafungua maana masela ndondo kama wote picha linaanza tu jion hii watu wamelizwa simu msibani, dah wahuni bwn akili zao
MKUU NIMETOKA PALEEE HATATEEE IMEBIDI TUOMNE MSAADA KESHOO MAZIKONII SIO KWA BAJAJI ZILE ZINASHUSHAA WATU KUMI BAJAJI.MOJA BANGI MTU AISEE

ANGALIZO
MPAKA SASA WANAHAHA KUZIKA.LUVENTRY KUMEJAAA WAMEAMBIWA KUZIKA PALE EFM KWA MBELE WANATAKA KUGOMA SO TUNAOMBA TU POLISI KAWE MSIRUHUSU HUYU MHUNI AZIKWE PALE MAANA WENGINE TULIKUMBUKA MATUKIO YAKE TUKAPITA MAENEO YA MAKABURINI TUNAWEZA HISI TUNASACHIWA NA MAREHEMU
 
Back
Top Bottom