rommy shabby
JF-Expert Member
- Jun 26, 2017
- 1,123
- 1,302
Mkuu mama amechangia sana MSIBA wa mwanae ALIKUWA akipiga anaweka SAWA kwanza kwa maza BILA kujua katoaa wapi
Imagine anauliwa ana SIMU touch mbili aisee Rip Dk
Nilijua tu atatokea "Mnduku" ambaye atakuja kulalamikia mambo ya sheria mkononi.Wamekosea sana kujichukulia sheria mikononi
Pdidy siku hizi ana mwandiko mzuri, utu uzima dawa!
Duh una maneno ya kimapepe sana,unakuwa unadumaa?Nilijua tu atatokea "Mnduku" ambaye atakuja kulalamikia mambo ya sheria mkononi.
Siku ukitaitiwa na kutiwa bisi bisi ya shingo ndio utaelewa.
Poleni na hongereni kwa utulivu na amani mliyokuwa mmeikosa kwa uwepo wa minyembe,lakini hiyo Dk no cheo chake pia? jr anastahili kuombewa pumziko la amani?. AhsanteKijana aliekuwa maarufu kupiga watu visu na mapanga na kuleta wezi wa Manzese na Magomeni kuwatesa wananchi wa Kawe na Mbezi ameuwawa usiku huu
Kijana Minyembe kijana mwembamba na mwemye mbio kuliko mwanariadha Bolt ameuawa usiku huu baada ya kumuibia dada mmoja njia ya mchangani chadema
Kama wasemavyo siku ya kifo n kifo tu Minyembe alikuwa na wenzie wawili. Ghafla walipokimbia yule binti akapiga kelele wananchi wakamfwata aliekimbilia mtoni Kawe
Alipoanza kukimbizwa kwenye maji akaomba asamehewe arudii tena ana mtoto, wakamshauri apande juu. Hapo ndipo wakamfunga kamba pembeni ya nyumba ya mjumbe. Wakanzaa mdundika mawe yasio na idadi kichwani
Kijana Minyembe ambae Kawe polisi pamekuwa kama shule yake akiingia na kutoka hivi sasa hatuko nae tena. Polisi wa Kawe mtusaidie kutoa hii maiti yake ulizeni kwa mjumbe
Nendeni bar ya Soweto mtaelekezwa alipo.
RIP Minyembe umewahi kunisachi kama mwanamke mara nne tena saa tano tu nashukuru hukuwahi kunidhuru ingawa nilijitahdi kukupa ushirikiano kila nikuonapo
Ulinifanya nikirudi saa sita niweke simu na pochi kwenye soksi huku nikikuwekea 2000-3000 kwa ajili ya kuweka amani nifike salama nyumbani
RIP
Dk Minyembe
Mkuu kwani umeshahama kimara bonyokwa?Kijana aliekuwa maarufu kupiga watu visu na mapanga na kuleta wezi wa Manzese na Magomeni kuwatesa wananchi wa Kawe na Mbezi ameuwawa usiku huu
Kijana Minyembe kijana mwembamba na mwemye mbio kuliko mwanariadha Bolt ameuawa usiku huu baada ya kumuibia dada mmoja njia ya mchangani chadema
Kama wasemavyo siku ya kifo n kifo tu Minyembe alikuwa na wenzie wawili. Ghafla walipokimbia yule binti akapiga kelele wananchi wakamfwata aliekimbilia mtoni Kawe
Alipoanza kukimbizwa kwenye maji akaomba asamehewe arudii tena ana mtoto, wakamshauri apande juu. Hapo ndipo wakamfunga kamba pembeni ya nyumba ya mjumbe. Wakanzaa mdundika mawe yasio na idadi kichwani
Kijana Minyembe ambae Kawe polisi pamekuwa kama shule yake akiingia na kutoka hivi sasa hatuko nae tena. Polisi wa Kawe mtusaidie kutoa hii maiti yake ulizeni kwa mjumbe
Nendeni bar ya Soweto mtaelekezwa alipo.
RIP Minyembe umewahi kunisachi kama mwanamke mara nne tena saa tano tu nashukuru hukuwahi kunidhuru ingawa nilijitahdi kukupa ushirikiano kila nikuonapo
Ulinifanya nikirudi saa sita niweke simu na pochi kwenye soksi huku nikikuwekea 2000-3000 kwa ajili ya kuweka amani nifike salama nyumbani
RIP
Dk Minyembe
Safi sana,KIUFUPI TU
samahani kwa wafiwa kama amkujua HILI..MTOTO WENU wiki iliopita AMEPIGA MWANAMKE bisibisi na KUCHUKUA SIMU
alipokuwa akikimbilia huko kwenu walimwona wakakutana upande wote wa JUU na chini huyu sie BINADAMU tena
Kwa BAHATI mbaya akusoma nyakati alichokifanya yule binti YUKO Hosp mpaka sasa ANAPAMBANA na Uhai wa mwanae
Alipojaa majuzii watu wala awakuwa na shidaa na mwenzie walipomwona n yeyetenaa wakammkimbizia mtoni upande wa PILI washatonywaaa
dogoo kafanikiwa kuingia mtoni apandishe JUU akakutana na VIJANA wanamapanga kama 10+
Akageuka aelekee kwa MBELE akakutana na jeshi LA hatareee AKAONA ajisalimishe alipotokaaaa
Amesahauu MWANAMKE aliemlaza hospt na MIMBA yake amekulia huku KWETU
mume wa mdadaaaa n KIJANA wa kawee kabisa na ndioo maana tuimetanguliza kuomba POLISI nao wahusike maana VIJANA waliojipanga sioo tu m.mapya pamoja na wakawe JUU wamejipangaa wahuni wakionekana leoo KAWE waagize tu maturubaii MENGINE kwa AjiI ya mwendelezo wa kuzikaa ujinga awataki tenaaaaa
wezi na wachawi si wakuacha waishi kabisaa
We unaonaje kwani?Duh una maneno ya kimapepe sana,unakuwa unadumaa?
Ukiishi kwa upanga, utakufa kwa upanga tu. Hio ni kanuni halisi ya maisha.😝This is so sad really. Why did they have to kill him instead of apprehnding him to the police to face the full force of law?
That thief has the right to live and enjoy the fruits of John's fifth term.
Just imagine if it was you or it was your brother or father. Why do people in this nation never value life? Whyyyy?
Those people who killed that dude their hands are full of blood. And the guilty conscious will haunt them forever.
Imagine his family maybe wife and children are waiting where is daddy?
Every single life is precious and must be valued at all cost.
'If you never sin pick the stone'.
Am so saddened and heart broken by this loss.
Hata hivyo Alipangiwa atakufa hivyo pindi tu alipozaliwa.
Dogo alikuwa ninja htr, kaacha mke mwenye ujauzito leo pale kwao masela kibao yaan dah wanapiga nyimbo ya daz nundaz kalale pema peponi kamanda, walikuwa na Kundi lao wanajiita Israel dah sio poa dogo rama, niliwahi mkuta asubh na simu kali sn mitaa ya Africana akauza elfu 30, dogo mama yake alikuwa anamkingia kifua sn.
Hii ya TATU inaitwa Kumchekecha mtu. Hii ni kwa kijana wanaemfahamu sana unakuta anazimishwa kistaarabu bila kumwagwa damu. Akichekechwa bandamaz, maini, mapafu yakakorogeka na utumbo ndani humo hatusui😂😂😂!!!Shemeji boraa unapigaa m nikisikia mwiziii nasubiria wamemkamataa wameshamaliza kuangalia NAWEZA ilà hata kupigaaa inanishindaa
NDIO maanaa SUNGUSUNGU UBUNGO. NILIWAPA MBINU.MOJA.MPAKA.LEOO AWATOI DAMU.MTU....
WAKIKAMATA.MWIZI.WANACHUKUA.CEMENT WANACHANGANYA NA MAFUTA YA TAA NA KAMCHANGA WANAMNYOSHA KIKOMBE KIMOJA TU WANAMWACHIA AKIMBIE ....AKIFIFKA OFISI ZA KF NAJITOA HAPA
ELSE KAMA.KUNA WENYE MOYO HII WANAFANYA MBEZI MAJI YA.MAVI MACHAFU WANAKOROGA WANAMNYWESHA KIKOMBE AKIMALIZA .MKIMBIZEN AKIMBIE MWACHENI MTAITIWA MAITI ASBH
YATATU HII INAHITAJI WENYE NGUVU
WALA.AMUMPI KITU SHIKA KICHWA CHIKA.MIGUU.MTIKISENI MBELE NYUMA.KUSHOTO KULIA BADILISHENI TUMBO LIWE LINANGALIA ARDHI.MZUNGUSHENI KAMA.DK 15-20 YAANI MNAMCHEZESHA KWELI KWELI
MWACHENI HAPO ..WAPENI SUNGU.SINGU HELA WAMLINDE AKIAMKA.NAIRUDISHA HIOO HELAAA..HIZI N NJIA BORA MAANA DAMU INAWEZA.KUWA NA MADHARA.HATA UPANDE WA.MNAOPIGA.....
Bosss katiba ubora wakoKijana aliekuwa maarufu kupiga watu visu na mapanga na kuleta wezi wa Manzese na Magomeni kuwatesa wananchi wa Kawe na Mbezi ameuwawa usiku huu
Kijana Minyembe kijana mwembamba na mwemye mbio kuliko mwanariadha Bolt ameuawa usiku huu baada ya kumuibia dada mmoja njia ya mchangani chadema
Kama wasemavyo siku ya kifo n kifo tu Minyembe alikuwa na wenzie wawili. Ghafla walipokimbia yule binti akapiga kelele wananchi wakamfwata aliekimbilia mtoni Kawe
Alipoanza kukimbizwa kwenye maji akaomba asamehewe arudii tena ana mtoto, wakamshauri apande juu. Hapo ndipo wakamfunga kamba pembeni ya nyumba ya mjumbe. Wakanzaa mdundika mawe yasio na idadi kichwani
Kijana Minyembe ambae Kawe polisi pamekuwa kama shule yake akiingia na kutoka hivi sasa hatuko nae tena. Polisi wa Kawe mtusaidie kutoa hii maiti yake ulizeni kwa mjumbe
Nendeni bar ya Soweto mtaelekezwa alipo.
RIP Minyembe umewahi kunisachi kama mwanamke mara nne tena saa tano tu nashukuru hukuwahi kunidhuru ingawa nilijitahdi kukupa ushirikiano kila nikuonapo
Ulinifanya nikirudi saa sita niweke simu na pochi kwenye soksi huku nikikuwekea 2000-3000 kwa ajili ya kuweka amani nifike salama nyumbani
RIP
Dk Minyembe
Sawa boss. Asante kwa kuniita jina zuri sanaNilijua tu atatokea "Mnduku" ambaye atakuja kulalamikia mambo ya sheria mkononi.
Siku ukitaitiwa na kutiwa bisi bisi ya shingo ndio utaelewa.
Hahahaha Kweli kabisa, jamaa nilikuwa nikisomaga mwandiko nikimaliza kichwa lazima kiniumeHapo ndio kaandika vizuri