MzeeKipusa
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 2,705
- 4,967
- Thread starter
- #201
99% ni kweli. Kwani imeandikwa many are called but few are chosen. Hapa tunadeal na waliochaguliwa tu , sio walioitwa!Je,wote wanaoihubiri Injili ni wasaka pesa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
99% ni kweli. Kwani imeandikwa many are called but few are chosen. Hapa tunadeal na waliochaguliwa tu , sio walioitwa!Je,wote wanaoihubiri Injili ni wasaka pesa?
Ndo kasema sasa leo! Tena Dodoma kabisa!sina hakika kama aliyoyaandika yana ukweli ndani yake
Mwakasege ni Mwl,hajawahi hata kujiita mchungaji,au askofu
leo hii aje ayaseme hayo ya muandika huu UZI,nina mashaka na hilo!
i am a pure KKKT namjua mwakasege tangu enzi na enzi,siamini na bado
sitoamini mpaka nione uthibitisho wa audio au video niyasikie maneno ya mwakasege!
ila ki ufupi Nchi hiii mtumishi wa Mungu niliebaki nikimuamini ni MWAKASEGE,kama haya
yatathibitishwa nikayasikia akiyatamka kweli,naaapa kwa jina la BABA mimi ntabaki mkristo JINA.
Pole ww usiyejua ukweli mdogo hivi, au ww uko ktk kundi la wanufaika wa kula sadaka hizoPole
ThibitishaNdo kasema sasa leo! Tena Dodoma kabisa!
Mkuu lile tatizo lako la kufuatwa na nzi liliishaga?Mwakasege nilikua namuelewa miaka ile ya 98 mpaka 2014 /15 nikaona simuelewi tena, sijui ndio wingi wa dhambi zangu au akili ya mantiki imenikaa.
Lakini bado anabaki kuwa mwalimu bora wa injili ya wokovu
Mungu ni mwema siku zote.Wadau kwema?
Nipo hapa nafuatilia Semina ya Neno la Mungu - Dodoma mubashara kabisa kupitia Upendo TV (Huduma ya Mana)
Mwalimu Mwakasege naye anasema eti eti alienda Mbinguni akakutana na Musa, na pia akakutana na Yesu na akapiga nao story. Na kasema eti Yesu kamwambia yuko njiani anarudi.
Dah! Hii kitu imekaaje wadau?
Alianza Nabii Mkuu Geordavie then Zumaridi na sasa Mwl. Mwakasege.
Mbinguni hiyo vipi wadau, mbona sielewi mapichapicha haya!!!
Mbinguni dah! Aloo mbinguni!!!
(Mmh!..hahahaha ...mhhh!...hahaha) Twibhwa nabazenganwa! Ehenao yaya gete....bagoshaaaaa!!!! Alichene!
!View attachment 2593179
You be the judge! Na wala usidhai nimeandika ili kumuhukumu huyo Mwalimu wenu.
Nimeandika ili kuwaonyesha wakristo trend inayoendelea hivi sasa katika Taifa letu...ya wanaojiita watumishi kusema wanakwendaga mbinguni kukutana na Yesu, Mitume au manabii.
Haya mambo yalikua huko Zimbabwe, now yameingia TANZANIA. ( Zimbabwe kuna Pastor anasema yeye ana namba mpaka ya Mungu asee)
Anayebisha inamaana anao ushahidi, auweke hapa tusikilize.kwa nini usimwambie aliyeleta mada aweke ushahidi?ili wote tuone na kusikia?
Wala hata usiwe na hofu, woga, wasiwasi na mashaka ya aina yeyote kuhusu Mimi.umemsikilizaa ukaaelewa au wewe ukadak tu kipande cha kusema alienda mbinguni, nina hofu mno na uelewa wako mwandishi na nia yako
Pole sana Bro!Mimi dini huwa zinanichanganya kichwa sana.
Kyoma! Waguma?Dini zinaweza kukufanya ukawa mwendawazimu. Ni kuwa na kiasi tu kila sehemu.
Kwà kizanaki tunasema " Maziganyanza".Bora huyu matendo na anachosema vinaendana kidogo
Naguma!Kyoma! Waguma?
Freedom of expression.hata mm naweza Sema nilienda mbinguni nikakuta shetni anaimba mapambio na watakatifu wengne huku akiwashangaa wanadam wakitenda maovu afu wanamsingizia.so don't bother your mind with those people.Wadau kwema?
Nipo hapa nafuatilia Semina ya Neno la Mungu - Dodoma mubashara kabisa kupitia Upendo TV (Huduma ya Mana)
Mwalimu Mwakasege naye anasema eti eti alienda Mbinguni akakutana na Musa, na pia akakutana na Yesu na akapiga nao story. Na kasema eti Yesu kamwambia yuko njiani anarudi.
Dah! Hii kitu imekaaje wadau?
Alianza Nabii Mkuu Geordavie then Zumaridi na sasa Mwl. Mwakasege.
Mbinguni hiyo vipi wadau, mbona sielewi mapichapicha haya!!!
Mbinguni dah! Aloo mbinguni!!!
(Mmh!..hahahaha ...mhhh!...hahaha) Twibhwa nabazenganwa! Ehenao yaya gete....bagoshaaaaa!!!! Alichene!
!View attachment 2593179
Labda hiyo yako ndiyo dini ya watuKwani uko kwenu hskina mazuzu?.Au unataka kuonyesha ujinga wako.Dini zenyewe za watu hizi usijifanye umeshakua mtume.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Hajaandika uongo,nimesikiliza mwanzo mwisho tangu kusifu na kuabuduUmeandika Uongo kwa kusudi unalolijua
Mkeo si huwa anakaa kushoto kwako? Nipe connection niongee nae Mkuu kama hutokua na wivu wa kibrazil! [emoji23]Naguma!
Tuongee Kiswahili mkuu.
Mimi vilugha vimenikalia kushoto.
Waambie, labda wewe watakuelewa!Hajaandika uongo,nimesikiliza mwanzo mwisho tangu kusifu na kuabudu