Mwl. Mwakasege: Nilienda Mbinguni nikaongea na Yesu na Musa

Mwl. Mwakasege: Nilienda Mbinguni nikaongea na Yesu na Musa

Mwakasege nae kashaanza upumbavu. Atapoteza heshima yake yote aliyojijengea kwa miaka mingi.
Kuna dogo mmoja hivi , muimbaji wake wa kiume , simuoni kabisa siku hizi yule jamaa,...sijui ndo keshatoka tunduni? Maana siku hizi yupo huyu bonge wa kiume ..anaimba kwà mic PEKE yake wakati yule alikua anaimba huku akipiga kinanda! Simuoni siku hizi kabisa aisee!!

Nilikua namkubali sana yule dogo! Very talented man daah!!!
 
Kwani hapo mnachopinga ni nini? Mbona Paulo katika 2 Korintho 12:2-19 anashuhudia namna Mungu alivyomnyakua na kuuona utukufu wa Mbinguni.

Kweli naamini Neno linalosema hata mtu akitoka kuzimu sasa na kjwaletea wanadamu habari za maisha ya wafu mtakataa.
Hata mi nashangaa,suala la mtumishi wa Mungu kupewa maono ya mbinguni au kuchukuliwa kiroho mbinguni wala sio ishu ya ajabu,hata Stefano wakati anapigwa mawe kabla ya kufa aliona Mbingu inafunguka kwa ajili yake,sula lililopo ni kujua nani anasema kweli basi
 
Hata mi nashangaa,suala la mtumishi wa Mungu kupewa maono ya mbinguni au kuchukuliwa kiroho mbinguni wala sio ishu ya ajabu,hata Stefano wakati anapigwa mawe kabla ya kufa aliona Mbingu inafunguka kwa ajili yake,sula lililopo ni kujua nani anasema kweli basi
Let's assume ni kweli wanakwenda Mbinguni, ndio waje na story za aina hiyo?

Zumaridi aliishia kusema Mbinguni kuna tugorofa turefuuu

Huyu nae anasema alikutana na Musa + Yesu... ( Kwà nijuavyo mtu yeyote akipata nafasi au bahati ya kuzuru mbinguni lazima arudi ama na meseji au report )

Wanasema mbinguni ni kama uuonavyo mfumo wa simu upande wa SMS/ TEXT

( Kuna message sent na delivery report )

Meaning ukienda mbinguni....lazima uje na kimoja wapo...kutushuhudia ulichokiona kwenye kiganja cha Mungu.



Isaiah 53:1 ,Who has believed our message/ report and to whom has the arm of the LORD been revealed?




michelangelo-the-creation-of-adam_13_orig.jpg
 
Let's assume ni kweli wanakwenda Mbinguni, ndio waje na story za aina hiyo?

Zumaridi aliishia kusema Mbinguni kuna tugorofa turefuuu

Huyu nae anasema alikutana na Musa + Yesu... ( Kwà nijuavyo mtu yeyote akipata nafasi au bahati ya kuzuru mbinguni lazima arudi ama na meseji au report )

Wanasema mbinguni ni kama uuonavyo mfumo wa simu upande wa SMS/ TEXT

( Kuna message sent na delivery report )

Meaning ukienda mbinguni....lazima uje na kimoja wapo...kutushuhudia ulichokiona kwenye kiganja cha Mungu.



Isaiah 53:1 ,Who has believed our message/ report and to whom has the arm of the LORD been revealed?




View attachment 2593431
Mimi ambacho sioni ajabu ni suala la mtumishi kuchukuliwa kiroho kwenda mbinguni,kama kuna suala la ujumbe kama unavyosema mimi sijui maana yeye alienda miaka mingi iliyopita kama alikuja na ujumbe au la sijui,maana sijawahi kwenda.

Kuna mtu hapo juu katoa mfano wa Paulo,na Ufunuo wa Yohana,kwahio suala ni mtu kuamini au kuacha basi,Kuna watu wanaamini kuna Mungu wengine wanasema hakuna Mungu ni maamuzi tu.

Ila najua kwako ni vigumu kukubali maana kuna Uzi uliopita pia ulileta humu ukimzungumzia Mwakasege negatively ukimlinganisha na Mwamposa unayemwamini wewe,Kwahio huwa unamfuatilia Mwakasege sio kujifunza ila kutafuta wapi umkosoe,Ndio maana hata hii habari umeanza na eti...?

Hata Nyoka alipotaka kumdanganya Eve pale eden alianza na hayo hayo maneno eti?...akaendelea

Kwa mtu aliyetaka maoni huru ungeleta habari kama ilivyo uache mjadala ufanyike ila umeleta kwa mrengo Fulani hivi.
 
Wadau kwema?

Nipo hapa nafuatilia Semina ya Neno la Mungu - Dodoma mubashara kabisa kupitia Upendo TV (Huduma ya Mana)

Mwalimu Mwakasege naye anasema eti eti alienda Mbinguni akakutana na Musa, na pia akakutana na Yesu na akapiga nao story. Na kasema eti Yesu kamwambia yuko njiani anarudi.

Dah! Hii kitu imekaaje wadau?

Alianza Nabii Mkuu Geordavie then Zumaridi na sasa Mwl. Mwakasege.

Mbinguni hiyo vipi wadau, mbona sielewi mapichapicha haya!!!

Mbinguni dah! Aloo mbinguni!!!

(Mmh!..hahahaha ...mhhh!...hahaha) Twibhwa nabazenganwa! Ehenao yaya gete....bagoshaaaaa!!!! Alichene!
!View attachment 2593179
MATHAYO 24:4-5-11-23-24
4 Yesu akajibu, akawaambia, Angalieni, mtu asiwadanganye.
5 Kwa sababu wengi watakuja kwa jina langu, wakisema, Mimi ni Kristo; nao watadanganya wengi.
11 Na manabii wengi wa uongo watatokea, na kudanganya wengi.
23 Wakati huo mtu akiwaambia, Tazama, Kristo yupo hapa, au yuko kule msisadiki.
24 Kwa maana watatokea makristo wa uongo, na manabii wa uongo, nao watatoa ishara kubwa na maajabu; wapate kuwapoteza, kama yamkini, hata walio wateule.
 
Mimi ambacho sioni ajabu ni suala la mtumishi kuchukuliwa kiroho kwenda mbinguni,kama kuna suala la ujumbe kama unavyosema mimi sijui maana yeye alienda miaka mingi iliyopita kama alikuja na ujumbe au la sijui,maana sijawahi kwenda.

Kuna mtu hapo juu katoa mfano wa Paulo,na Ufunuo wa Yohana,kwahio suala ni mtu kuamini au kuacha basi,Kuna watu wanaamini kuna Mungu wengine wanasema hakuna Mungu ni maamuzi tu.

Ila najua kwako ni vigumu kukubali maana kuna Uzi uliopita pia ulileta humu ukimzungumzia Mwakasege negatively ukimlinganisha na Mwamposa unayemwamini wewe,Kwahio huwa unamfuatilia Mwakasege sio kujifunza ila kutafuta wapi umkosoe,Ndio maana hata hii habari umeanza na eti...?

Hata Nyoka alipotaka kumdanganya Eve pale eden alianza na hayo hayo maneno eti?...akaendelea

Kwa mtu aliyetaka maoni huru ungeleta habari kama ilivyo uache mjadala ufanyike ila umeleta kwa mrengo Fulani hivi.
Ni kweli , niliwahi kumcompare Huyo Mwalimu na Mwamposa ....lengo langu lilikua ni kuonyesha matumizi ya Neno la Mungu.

Nijuavyo Mimi, mtu aliyeitwa na kuchaguliwa na Mungu , lazima apewe nguvu na mamlaka ya kulitumia Neno lake....kuombea watu halafu kusitokee miracles , signs and wonders lazima kulete questions sana.

So I was just trying to relate....how is it possible kufundisha Neno la Mungu halafu vitu havitokei. Hata kama Mwamposa ni freemason kama wanavyomuita...lakini at least hufanya vitu vinavyoonekana na SHUHUDA zipo nyingi sana.

Lakini pia, kuna siku nilimfuatilia Mwakasege , akatoa kijembe cha keki za birthday,...kiufupi was like kumkandia mwenzake kisirisiri. I mean kutafuta njia ya kuwalisha kondoo wake doctrine ya keki ili wamchukie Mwamposa. I didn't like it at all.

Note: Now nipo alert sana,...ninapomsikiliza mtumishi yeyote kwasasa nakua chonjo sana....uongo umekua mwingi sana kadri siku zinavyozidi kwenda.
 
Wadau kwema?

Nipo hapa nafuatilia Semina ya Neno la Mungu - Dodoma mubashara kabisa kupitia Upendo TV (Huduma ya Mana)

Mwalimu Mwakasege naye anasema eti eti alienda Mbinguni akakutana na Musa, na pia akakutana na Yesu na akapiga nao story. Na kasema eti Yesu kamwambia yuko njiani anarudi.

Dah! Hii kitu imekaaje wadau?

Alianza Nabii Mkuu Geordavie then Zumaridi na sasa Mwl. Mwakasege.

Mbinguni hiyo vipi wadau, mbona sielewi mapichapicha haya!!!

Mbinguni dah! Aloo mbinguni!!!

(Mmh!..hahahaha ...mhhh!...hahaha) Twibhwa nabazenganwa! Ehenao yaya gete....bagoshaaaaa!!!! Alichene!
!View attachment 2593179
Propaganda za warumi katika kuhujumu dini ya waisraeli,. wayahudi wenyewe walimtimua huyu jamaa. Hakupokelewa yeye pamoja na matapeli wenzake aliowatengeneza.

Ndo mana wote walikufa vifo vibaya
 
Freemason wamewaweza kweli Wakristo kuwaamisha sura ya Brian Decor kuwa ndie Yesu, hata wakitokewa na jinni washariri ni YESU.
Kama alivyowakaririsha wanaotokewa na shetani akijifanya ni Bikira Maria, Bikira Maria ajawahi mtokea mwanadamu yeyeto yule tangu alipoondoka duniani ile ni michezo ya majini.
FB_IMG_1681006340519.jpg
 
Back
Top Bottom