Mwl. Mwakasege: Nilienda Mbinguni nikaongea na Yesu na Musa

Mwl. Mwakasege: Nilienda Mbinguni nikaongea na Yesu na Musa

Huwezi elewa badi.
Mbinguni sio lazima upae, ni kuchukuliwa katika ulimwengu wa roho, yaani kupewa ufunuo, jicho la ndani na sikio la ndani liweze kuongea na wale walio katika maumbo ya kiroho.

Yesu akiwa na Petro, Yohana na Yakobo waliweza kupanda mlimani, wote wakageuzwa macho wakamwona Musa na Eliya wakasema nao.

Petro akaona ni mahali patamu sana.
Akamuomba Yesu wajenge vibanda 3...
Kimoja cha Musa
Elia na Yesu.
Haya mambo ni ya watu wa Rohoni sio ya akina:
mzabzab DeepPond wala dronedrake 🤣🤣🤣🤣
Kila la heri watu wa rohoni
 
Acheni hizi mambo nyie walokole wa Mabwepande. Acheni kutisha watu bhana. Mimi nilishatoka huko katika hiyo hatua ya IGNORANCE, now nipo katika hatua ya CONFIDENCE. Imani thabiti ndiyo inajifanya nijiamini....
Mi sio mlokole brooo na sio mkristo kabisa my friend
 
Ukisoma mwanzo mwisho utanielewa, mbinguni sio kijiji bali ulimwengu wa roho, au nawe unaamini mbinguni kijiji au jiji flani juu?
Hizo ni human teachings.... Na hata biblically Mbinguni pameelezewa kwà nadharia tu ....

Na pia lazima ujue..biblia ina maandiko ambayo maneno yake yanapassword....si rahisi hata kidogo mtu kuyaelewa kwà haraka mpaka uwe na Roho Mtakatifu.

So, Mbinguni ni fumbo la imani na pia ni mfano wa Upendo.

Habari za mbinguni kwàkua ni nyeti, huwa zinaongelewa kwà mafumbo na kwà mifano (publically)..kama alivyokua akifanya Yesu katika mafundisho yake.

Msiwe wepesi sana kudanganywa na wanaosema wamekwenda Mbinguni.
 
Wadau kwema?

Nipo hapa nafuatilia Semina ya Neno la Mungu - Dodoma mubashara kabisa kupitia Upendo TV (Huduma ya Mana)

Mwalimu Mwakasege naye anasema eti eti alienda Mbinguni akakutana na Musa, na pia akakutana na Yesu na akapiga nao story. Na kasema eti Yesu kamwambia yuko njiani anarudi.

Dah! Hii kitu imekaaje wadau?

Alianza Nabii Mkuu Geordavie then Zumaridi na sasa Mwl. Mwakasege.

Mbinguni hiyo vipi wadau, mbona sielewi mapichapicha haya!!!

Mbinguni dah! Aloo mbinguni!!!

(Mmh!..hahahaha ...mhhh!...hahaha) Twibhwa nabazenganwa! Ehenao yaya gete....bagoshaaaaa!!!! Alichene!
!View attachment 2593179
Si serikal ilikataza mambo hayaa.. sijawahi hudhuria semina za huyu mwamba ila nikiwa jeshi nilishangaa had wanajeshi wanapanga kwenda semina zake .....nkashangaaa sana
 
Moja ya Point Muhimu iko hapo''
Wakati amelala? C ndio!
Hivyo Ni sasahihi kabisa, unaweza kupewa ujumbe na maono ukiwa umelala'
Hivyo hakuwa Katika physical Body.
Sasa Mtumishi anaweza kuona maono'
Ila jinsi ya kuyaelezea yanaweza leta mtawanyiko kwa baadhi ya watu.
Nyie watu vipi? Mnafel wapi? Mbona mnamtetea sana huyo jamaa. Kubalini tu kuwa leo kachemka!
 
Wadau kwema?

Nipo hapa nafuatilia Semina ya Neno la Mungu - Dodoma mubashara kabisa kupitia Upendo TV (Huduma ya Mana)

Mwalimu Mwakasege naye anasema eti eti alienda Mbinguni akakutana na Musa, na pia akakutana na Yesu na akapiga nao story. Na kasema eti Yesu kamwambia yuko njiani anarudi.

Dah! Hii kitu imekaaje wadau?

Alianza Nabii Mkuu Geordavie then Zumaridi na sasa Mwl. Mwakasege.

Mbinguni hiyo vipi wadau, mbona sielewi mapichapicha haya!!!

Mbinguni dah! Aloo mbinguni!!!

(Mmh!..hahahaha ...mhhh!...hahaha) Twibhwa nabazenganwa! Ehenao yaya gete....bagoshaaaaa!!!! Alichene!
!View attachment 2593179

Hela zinatafutwa kwa kila njia, hasa uongo na hadaa ni njia kuu kwa wachungaji kuwaaminisha uongo wanaowasikiliza na kupata fedha kwa njia ya sadaka, utapeli mtupu.
 
HEAVENLY EXPERIENCES ARE REAL, BUT WE MUST TEST THE SPIRITS TO CONFIRM IF THE MESSAGE IS FROM THE LORD.
Ndugu zangu.
Kuhusu heavenly experience, Mtume Paulo alizungumza jambo hili
2 Wakorintho 12:2-4
[2]Namjua mtu mmoja katika Kristo, yapata sasa miaka kumi na minne, (kwamba alikuwa katika mwili sijui; kwamba alikuwa nje ya mwili sijui; Mungu ajua). Mtu huyo alinyakuliwa juu mpaka mbingu ya tatu.
I knew a man in Christ above fourteen years ago, (whether in the body, I cannot tell; or whether out of the body, I cannot tell: God knoweth such an one caught up to the third heaven.
[3]Nami namjua mtu huyo, (kwamba alikuwa katika mwili sijui; kwamba alikuwa nje ya mwili sijui; Mungu ajua);
And I knew such a man, (whether in the body, or out of the body, I cannot tell: God knoweth.
[4]ya kuwa alinyakuliwa mpaka Peponi, akasikia maneno yasiyotamkika, ambayo haijuzu mwanadamu ayanene.

Kwakuwa Mwakasege tunamfahamu Kwa matunda yake inawezekana kabisa alipelekwa Mbinguni kwa maono au ndoto na kumuona Yesu Kristo na watakatifu ambao wamefanikiwa kuingia Mbinguni akimtaja Nabii Musa, na kuzungumza nao.

Inapaswa utubu na kuishi maisha matakatifu sana na Maombi kuweza kufunuliwa mambo ya rohoni hasahasa kuhusu ulimwengu wa Roho.
HATA wewe unaweza experience hiki kitu Kwa neema tu za Mungu ila pia ni Bora zaidi na Kuna baraka kubwa kumwamini Yesu Kristo bila HATA kumuona kwa macho kama ilivoandikwa
Yohana 20:29
[29]Yesu akamwambia, Wewe, kwa kuwa umeniona, umesadiki; wa heri wale wasioona, wakasadiki.
Jesus saith unto him, Thomas, because thou hast seen me, thou hast believed: blessed are they that have not seen, and yet have believed.
Hayo maandiko uliyoyatoa Yako deep sana kuyaelewa.

Mambo ya Mbinguni sio marahisi rahisi kuwa hadharani. Na ndio maana yeyote atakayeweza kumuona Mungu akiwa hai lazima afe chap kwà haraka!

Ipo siri nzito sana Ndugu yangu. Kikubwa kulipata Neno lililomo kwenye andiko ili uishi vyema kwà kujiamini. Simple!

Note: Believe anybody, Trust nobody except God. And as the matter of facts....Mungu ndiye anayejua Hatima za maisha yetu, yeye ndiye mgawa wa Riziki zetu, yeye hutubariki na hutupa THAWABU. Period!

#TRUST IN GOD
 
Nipo hapa nafuatilia Semina ya Neno la Mungu - Dodoma mubashara kabisa kupitia Upendo TV (Huduma ya Mana)

Mwalimu Mwakasege naye anasema eti eti alienda Mbinguni akakutana na Musa, na pia akakutana na Yesu na akapiga nao story. Na kasema eti Yesu kamwambia yuko njiani anarudi.
Naona sasa visa za kwenda mbinguni zinapatikana kirahisi. Vituko vikubwa!
 
kwanza uliyeleta huu uzi , tukulize unaelewa nini kuhusu mbiguni na jee unamini mbinguni kupo, kama una mini kupo unahisi wataokwenda mbinguni wataendaje watapanda daladala au wataenda kwa uweza wa MUNGU , yapo mambo mawili kwa mwandishi wa huu uzi either unauelewa mdogo sana kuhusu mambo ya ukristo au umekuj kutafta sifa hapA
 
Hela zinatafutwa kwa kila njia, hasa uongo na hadaa ni njia kuu kwa wachungaji kuwaaminisha uongo wanaowasikiliza na kupata fedha kwa njia ya sadaka, utapeli mtupu.
Je,wote wanaoihubiri Injili ni wasaka pesa?
 
kwanza uliyeleta huu uzi , tukulize unaelewa nini kuhusu mbiguni na jee unamini mbinguni kupo, kama una mini kupo unahisi wataokwenda mbinguni wataendaje watapanda daladala au wataenda kwa uweza wa MUNGU , yapo mambo mawili kwa mwandishi wa huu uzi either unauelewa mdogo sana kuhusu mambo ya ukristo au umekuj kutafta sifa hapA
You be the judge! Na wala usidhani nimeandika ili kumuhukumu huyo Mwalimu wenu.

Nimeandika ili kuwaonyesha wakristo trend inayoendelea hivi sasa katika Taifa letu...ya wanaojiita watumishi kusema wanakwendaga mbinguni kukutana na Yesu, Mitume au manabii.


Haya mambo yalikua huko Zimbabwe, now yameingia TANZANIA. ( Zimbabwe kuna Pastor anasema yeye ana namba mpaka ya Mungu asee)
 
Back
Top Bottom