Mwl. Mwakasege: Nilienda Mbinguni nikaongea na Yesu na Musa

Mwl. Mwakasege: Nilienda Mbinguni nikaongea na Yesu na Musa

Sio kirahisirahisi hivyo bana! KWANZA mambo ya mbinguni ni forbidden kuyaelezea publically.

Hata Yesu aliwahi kusema publically ya kwamba " kama ninawaambia habari za duniani hamsadiki, vipi nikiwaeleza za mbinguni? "


Maana yake, anyone anayesema amfika mbinguni na kutupa details za huko publically ni Muongo!
Mbna huo mstari unachomaanisha ni kwamba ukiambiwa mambo ya mbinguni hautasadiki kwa sababu ya duniani tuu husadiki... huu mstari unakuhusu wewe zaidi kuliko unavyomuhusu mwakasege. Sababu umeambiwa mambo ya mbinguni na hujasadiki........ kusadiki means kuamini
 
Naomba niongezee, kama ayasemayo siyo kweli na njia aifundishayo siyo ya kweli basi kila mtu afuate njia yake then tutakutana mbinguni.

Naona wengi wanadhani kupelekwa mbinguni kiroho ni jambo ambalo halipo kwa kutegemea nadharia na mafundisho ya wanadamu yadanganyayo juu ya kitendo hicho.
Meditate + Sali na kuomba sana. Sometimes jipe likizo ya kutowasikiliza wanadamu. Msikilize Mungu,...na Mungu aliyesirini atakuelekeza na kukukumbusha kila kitu.
 
Usintishe bhana! I have written what I know and testified to what I have seen. Period!!

Mtumishi Mtumishi kitu gani bhana! Acheni habari zenu za kilokole bhana! Mnaudharirisha ukristo bhana
Leta sasa icho kipande cha video tuone, tutaaamini vipi kupitia izo picha ulizopiga kama ndo alikua anatamka ayo maneno. No evidence no right to speak na ndo maana mahakimu mahakamani watu kama nyiny wanatamanigi wawakande kwanza akili ziwakae vizuri,
 
Mbna huo mstari unachomaanisha ni kwamba ukiambiwa mambo ya mbinguni hautasadiki kwa sababu ya duniani tuu husadiki... huu mstari unakuhusu wewe zaidi kuliko unavyomuhusu mwakasege. Sababu umeambiwa mambo ya mbinguni na hujasadiki........ kusadiki means kuamini
Nilikua naongelea issue ya doctrines ( Mafundisho). Ni vyema ukatambua Neno la Mungu ni Sawa na Mwili wako.

Mwili wako una skin, fresh, bones, blood na tendons.

Na mwili wako pia una mifumo miwili ( endocrine system pamoja na Hormones system)

Kwahiyo Neno la Mungu kama upanga...likiweza kupenyeza kuanzia kwenye ngozi Yako mpaka kwenye tendons zako...lazima uzungukwe na nuru yake, na kuongozwa na Mwanga wake. Hapo maana yake hiyo mifumo miwili lazima iwe imeyapata mafundisho ( doctrines) sahihi.


Naturally, mwili ulivyo umbwa unakubali kupokea mafundisho yaliyo publically na yaliyo privately. Ndo maana hatuwezi kusex hadharani...na hivyohivyo kuna mafundisho mengine hupaswa kutolewa kwà siri sana na tena kwà sauti ndogo.

Mitume walipenda kujifungia na kufundisha watu privately
 
hata mimi nimehisi hivyo,mtumishi kama mwakasege hawezi ongea hivyo hata siku moja,,mbaya sana kumsingizia ubaya,mtu anaetangaza wema...
Mimi nimeandika nilichokisikia na kukiona. Na wapo baadhi ya watu humu wamekiri kusikia nakuona nilichokiandika...lakini kwakua ni wafuasi wa Mwl.Mwakasege , wanapindisha sentensi , kuupaka ukweli rangi.
 
tuwekee video,hizo tuhuma zako ni nzito sana,siyo kila mtu wa kumfanyia mzaha,ni mbaya sana..
Nimesema issue ilikua live. Nimsingizie huyo jamaa nipate nini? Mimi nilichoshangaa ni kuona nae anakua na swaga kama za Zumaridi
 
Wadau kwema?

Nipo hapa nafuatilia Semina ya Neno la Mungu - Dodoma mubashara kabisa kupitia Upendo TV (Huduma ya Mana)

Mwalimu Mwakasege naye anasema eti eti alienda Mbinguni akakutana na Musa, na pia akakutana na Yesu na akapiga nao story. Na kasema eti Yesu kamwambia yuko njiani anarudi.

Dah! Hii kitu imekaaje wadau?

Alianza Nabii Mkuu Geordavie then Zumaridi na sasa Mwl. Mwakasege.

Mbinguni hiyo vipi wadau, mbona sielewi mapichapicha haya!!!

Mbinguni dah! Aloo mbinguni!!!

(Mmh!..hahahaha ...mhhh!...hahaha) Twibhwa nabazenganwa! Ehenao yaya gete....bagoshaaaaa!!!! Alichene!
!View attachment 2593179

Kuna mambo mengine yanahitaji uelewa mzuri.Unakijua Kitu kinaitwa MAONO wewe? Nimemsikiliza nilimuelewa alichosema.Nilijua lazima kuna watu amewaachanganya,hasa wale wenye hengi over ya interview ya Milad Ayo na Zumaridi.
 
Acha uhuni na uzandiki weka hio video hapa, watanzania walivo wepesi wataamini uongo huu bila akili evidence hamna tayari wanachotwa akili Pastor hajasema huo utopolo tatizo Yanga Utopolo mmepanic sana
 
Wadau kwema?

Nipo hapa nafuatilia Semina ya Neno la Mungu - Dodoma mubashara kabisa kupitia Upendo TV (Huduma ya Mana)

Mwalimu Mwakasege naye anasema eti eti alienda Mbinguni akakutana na Musa, na pia akakutana na Yesu na akapiga nao story. Na kasema eti Yesu kamwambia yuko njiani anarudi.

Dah! Hii kitu imekaaje wadau?

Alianza Nabii Mkuu Geordavie then Zumaridi na sasa Mwl. Mwakasege.

Mbinguni hiyo vipi wadau, mbona sielewi mapichapicha haya!!!

Mbinguni dah! Aloo mbinguni!!!

(Mmh!..hahahaha ...mhhh!...hahaha) Twibhwa nabazenganwa! Ehenao yaya gete....bagoshaaaaa!!!! Alichene!
!View attachment 2593179
Mamboo ya kiroho ni ngumu
kuyaelewa,kama huyaishi na
kuyafahamu.
Si rahisi kumkosoa au kumuamini
Mtumishi yeyote kwa usahihi kama kiwango chako cha
kumjua Mungu ni kidogo.
Mfano;
¶Kanisani mvivu kwenda,
¶Biblia husomi,
¶Wokovu umeukataa,
¶Huwezi kujiombea au kuombea wengine.
¶Hujawahi kumsikia Mungu akisema&wewe nk..
Ushuhuda alioutoa Mwakasege leo,na somo alilofundisha
nausadiki&sina shaka nao
kama ambavyo sikuwa&shaka
na ushuhuda unaofanana na huu wa
Marehemu Dr Moses Kulola
Mambo ya Rohoni hayatafakariki
kwa common senses.
Vinginevyo utaona yote
ni upuuzi.
Nimalizie hivi;
Je,umeokoka?
Yesu ni Bwana&Mwokozi kwako?
Chukua hatua.
 
Acha kuwaogopa hawa watu! Ni wa kawaida sana,...tena huenda wewe ukawa vyema kuliko wao,..ni kwamba haujapata tu nafasi ya kuyajua wayafanyao behind the camera!
wafanyayo behind the scene watajuana na Mungu,lakini kuwapakazia watu ubaya,wakati wanatangaza mema,tena unaandika na uzi ili kupata comment nyingi,na hauweki ushahidi,unawaambia wajitafutie ushahidi,,ni mbaya sana..
 
Kuna mambo mengine yanahitaji uelewa mzuri.Unakijua Kitu kinaitwa MAONO wewe? Nimemsikiliza nilimuelewa alichosema.Nilijua lazima kuna watu amewaachanganya,hasa wale wenye hengi over ya interview ya Milad Ayo na Zumaridi.
When people fail at something, they deny it, they lie about it , they put much colors on it to look glamorous ,to look beautiful!

Mtu akijinyea,..Acheni kumpulizia perfume!!! #TruthMustBeTold
 
Back
Top Bottom