Mwl. Mwakasege: Nilienda Mbinguni nikaongea na Yesu na Musa

Kusema cha ukweli, nilikua namfuatilia sana huyu jamaa kwasababu ya Dada yangu mkubwa, ..anamkubali sana.

Niliwahi pia kuhudhuria semina zake pale Arusha uwanja wa pale kwenye reli.

Kiukweli , mafundisho yake...ngumu sana kumeza,...kwasisi ambao tumejikita katika kumeditate , kusali, kufunga na kuomba.

I mean, ..unapokula chakula chake..kisha ukarudi home..ukakicheua na kuanza kukimeng'enya UPYA ili ukimeze mazima..unajikuta unakitapika tu.

Kiufupi, Mimi huwa nawasikiliza wahubiri wote...lakini issue huwa inakuja pale kwenye kusinkisha madini yao ndani ya tumbo langu. Maana , kiukweli ninapokulaga chakula cha kweli, mwili wangu huwa unasisimka sana, unastawi na kunawili sana...nakua mtu mwenye Amani without doubts...na nakua namfurahia huyo mtu aliyenipa hicho chakula.

Mimi sio sampuli za wale waumini ambao wanapokua kwenye mafundisho ..huandika notes ..na baadae wakifika home wanazidamp kusubiri mkutano mwingine .... Mimi huwa lazima nianze kufuatilia UPYA kile nilichokisikia ( outer voice) , ni oanishe na sauti ya ndani ( inner voice). Naikubali sana sauti ya ndani
 
Hizi ni porojo wewe kondoo wa Mwakasege
 
Bora umekubali tuu
 
Mmmh
 
Hata Mimi nimemsikia.tena anasema alikuwa anaumwa wakati huo kalala kitandani
Sasa mbona kuna kondoo wake hawataki kukubali alitamka habari hizo za yeye kwenda Mbinguni?
 
Daaah! Nilihisi nimeshasikia yote kumbe ndio kwanza kunakucha
 
Hiyo ndio Demokrasia ya kufunguliwa kwa nchi,sasa manabii ruksa wanaenda hadi mbinguni na kurudi,nani kama mama!
 
Daaah! Nilihisi nimeshasikia yote kumbe ndio kwanza kunakucha
Confidence = training + experience.

"Mimi sitishwagi, Wala sitingishikagi" in Magufuli's voice.

Nimeona mengi sana katika maisha yangu. Na nimepata bahati ya kumeet na wachungaji wakubwa sana hapa duniani...

Nilikua kama zombie kuwafuatilia hao watu lakini nilipoanza kujisimamia...kujipa likizo ya kutowasikiliza kwà muda , huku nikijikita katika kuisoma Biblia na kutafsiriwa via my inner voice....,

Nilipomaliza likizo na kuanza kuwasikiliza tena...ikawa ngumu sana kumeza madesa yao. #Most of them , they do preach sugarcoated teachings kwà ajili ya kushibisha matumbo yao + kutafuta umaarufu + kick ( kwamba wakisema wameenda mbinguni ndo eti waonekane wanaupako sana....lakini wanachokifanya..ni zero , miujiza ya kulazimisha watu kutembea)
 
Kwahiyo zumaridi yuko sahihi?
What a nice question.

Ujue watu wanafikiri mbinguni ni pa mchezo mchezo tu. Yani roho Yako iende kule afu irudi huku then ubaki kuwa ordinary tu...

Aah..huo ni uongo bhana! Uongo huo bhana!!! Mimi sitaki bhana huo uongo wenu bhana!
 
Sasa mbona kuna kondoo wake hawataki kukubali alitamka habari hizo za yeye kwenda Mbinguni?
Kukubali au kukataa NI suala la mtu binafsi.Huwezi kumlazimisha mtu aamini kile unachokisema.Mimi nimemuamini kwa SABABU alikuwa mgonjwa Yuko kitandani Ina maana alikuwa hoi
 
Kwahiyo zumaridi yuko sahihi?
Siwezi kuzungumzia usahihi wa Zumaridi kwakuwa simuamini, kwa sababu kadha wa kadha,hata hilo la kusema kaenda huko alichanganya mambo mengi mara kutaka kuolewa na Paulo,mara kuna nyimbo za msanii Fulani zinapigwa huko,wote tunajua Yesu alishasema mbinguni hakuna kuoa wala kuolewa.

Nilichosema ni kwamba kwenda mbinguni kwa mtu mwenye Ushirika na Mungu inawezekana,Sasa inategemea aliyeenda unamuamini vipi na alichosema kinaendana na maandiko au La.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…