Mwl Mwakasege: Niliwahi kutoka nje ya mwili wangu nikaenda Mbinguni na kukutana na Nabii mkubwa, nikamtambua

Endelea kukaa gizani ukimtumainia mganga na visomo vya majini ,mwisho wa hayo ni kuzimu.
Hivi Kwa akili yako unaamini kwamba nabii Mussa na huyo anayejiita nabii uchwala wanajuwana?
 
Sijui kama humu watakuelewa! Wataona una matatizo ya Afya ya akili.
 
kuna peponi na motoni tu.elewa wewe chizi
Mahali pema peponi Yesu aliingia hapo,

Baada ya kufufuka Kwa Yesu aliondoka na WATAKATIFU wote na kwenda nao Mbinguni,

Baada ya kufufuka Yesu hata sasa, hakuna tena kusubiri Mahali pema peponi.

Uwe unaelewa.
 
Mahali pema peponi Yesu aliingia hapo,

Baada ya kufufuka Kwa Yesu aliondoka na WATAKATIFU wote na kwenda nao Mbinguni,

Baada ya kufufuka Yesu hata sasa, hakuna tena kusubiri Mahali pema peponi.

Uwe unaelewa.
unaropoka kama chizi flani hivi
 
I think nilishachangia huko nyuma ni ya zamani!
Halafu ku-deal na watu wasioelewa mambo ya kiroho ni kazi sn

Bible ipo wazi hakuna jipya alilolisema mwalimu hapo japo kachukua kipande angeweka SoMo zima watu waelewe
Pili,sitaki unajisi mkuu
Nimekuelewa vzr sanq, Mtumishi
 
Sijui kama humu watakuelewa! Wataona una matatizo ya Afya ya akili.
Mungu anamtafuta mtu mmoja tu katika Uzi huu,

Na ndio Nia ya Mchungaji kuacha kondoo 99 na kumfuata kondoo mmoja aliyepotea.

Na mtu huyo mmoja anayetafutwa atapatikana Kwa uweza wa Mungu, na mtu huyo ni asomaye na kusikia sauti ya Mungu.
 
Kwa hiyo hapa unajibu sayansi au unajibu theology mbona hueleweki.

Mimi nimetumia maandiko kukwambia kuwa nafsi ni muunganiko wa mwili la roho then wewe unakuja na pumba pumba zako hapa mara kingereza ni spirit mara kiswahili ni roho mara kisayansi ni energy ndiyo nini.

Hapa discussion ni theology toa majibu ya ki-theology siyo kubwajaja mara kidini mara kisayansi mara kingereza.
 
Sasa Mbinguni ndipo tulipotokea kabla ya kuvaa miili hii ya nyama na Kuzaliwa,

Kuongelea habari za Mbinguni ambako ndio nyumbani kwetu,

Si kutafuta headlines,

Ni kukumbushana kuwa duniani ni pa kupita tu.

Weka picha kuthibitisha.
 
Siri za Mungu kupitia neno lake hazifunuliwi kupitia common sense!
Still more this is a free forum for whoever wants to participate na hizo "siri za Mungu" ndiyo ujinga gani? Mungu anaogopa kitu gani kuweka mambo yake bayana mpaka yawe siri, huu ubishani wa kipuuzi usingekuwepo japo hata achomoze kichwa kutoka kwenye mawingu atusemeshe kuondoa utata ili shetani awe ameishindwa jumla? Kwani akijificha na wengi kwa kutokumuamini wakaenda jahanam(motoni🥺🥺) anapata faida gani?
 
Katika watumishi wa Mungu ambayo nawaelewa kuliko kitu kingine ni Mwakasege... Mungu ampe maisha marefu sana mwambie😊
 
Basi farasi inabidi waheshimiwe kwa kuwa ndiyo usafiri wa mbinguni(peponi), tatizo sisi binadamu tunawachukulia poa.
Farasi weupe 🐎🐎 wapewe status kama wanayopewa malaika.
 
mpumba + vu =?. Jawabu ndo wewe
 
Yuko mfalme mwingine kibiblia anaitwa mfalme wa anga.Ukimwona huyu huwezi kumwona Yesu.Jitahidi uache ganja na kuanza kumtafuta Yesu ni rahisi tu
Hata huyo wa anga sijawahi kumuona
mara nyingi kupitia med ya ganja huwa nikienda mbinguni najikuta nipo na kama pacha wangu yaan najikuta mimi mwenyewe..

kuhusu ganja siwezi acha inanisaidia mambo mengi sana!
 
🙂🙂🙂

Hivi hii biblia inafasiriwa kwa mtazamo wako uonavyo wewe au jinsi theology imemaanisha.

Na yule aliyepaa mbinguni na kuketi mkono wa kuume wa Mungu Baba mwenyezi ni nani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…