Mwl. Nyerere: Unaweza kumtingisha Waziri Mkuu nchi isitikisike lakini huwezi kumtingisha Rais

Mwl. Nyerere: Unaweza kumtingisha Waziri Mkuu nchi isitikisike lakini huwezi kumtingisha Rais

Tunamuombeaje ilhali mamlaka hazijasema kama ni mgonjwa!!?[emoji848][emoji848]PM amesema mzee ni mzima yupo anachapa kazi
 
Mwl Nyerere alikuwa na busara sana kulipotokea hamkani ya Malechela kutomshauri vema Rais Mwinyi, Nyerere alionya akasema unaweza kumtingisha Waziri mkuu nchi isitikisike lakini huwezi kumtingisha Rais nchi ikaacha kutikisika.

Maana yake ni nini? Mwl alitambua nguvu ya Rais na mamlaka yake kwa ustawi wa taifa letu. Hivyo basi nivema tuache tetesi za mitandaoni na tubaki kumuombea mema ili aweze kutimiza majukumu yake kwa ustawi wa taifa letu.

Superbug.
Hii serikali ilikataza maswala ya kuombeana.
 
Sasa tumtakie afya njema haliyakua hatujui anaumwa au haumwi nayuko wapi kwanza mtujulishe kwasasa Rais wetu yupo wapi na amekutwa nanini?
Kwani kwa kawaida anakuwaga wapi?. Je umeenda kumuulizia ukajibiwa nn? Au huwa tukonae humu JF tupe ID yake nasi tumuhoji basi. Otherwise huna hoja bora ukae kimya na jiepushe na kufuata mkumbo tunakuona sawa na Nyumbu ya Serengeti inavyo migrate kurudi Tanzania.
 
Mwl. Nyerere alikuwa na busara sana kulipotokea hamkani ya Malechela kutomshauri vema Rais Mwinyi, Nyerere alionya akasema unaweza kumtingisha Waziri mkuu nchi isitikisike lakini huwezi kumtingisha Rais nchi ikaacha kutikisika.

Maana yake ni nini? Mwl. alitambua nguvu ya Rais na mamlaka yake kwa ustawi wa taifa letu. Hivyo basi ni vema tuache tetesi za mitandaoni na tubaki kumuombea mema ili aweze kutimiza majukumu yake kwa ustawi wa taifa letu.

Superbug.
Yupo wapi? Na huko aliko ana hali gani kwa sasa??
Au tuendelee kuamini maneno ya PM kwamba "anaendelea vizuri"?
 
Kwa upuuzi mnaozusha serikali ikifungia mitandao ya kijamii mtaichukia ?
 
Nilichogundua ni kwamba kwenye chatts za kuficha ID 80% wapo against serikali. Na kwenye chatt ya real ID 90%+ wapo pamoja na serikali lakini utakuta ni watatu au wanne katika kundi la watu mia.

So wengine huufyata, kitu ambacho hutoa definition nyingine

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Nani kakwambia hana afya njema? Acha kuleta uzushi rais ni mzima anachapa kazi na waziri mkuu katangaza.

Halafu kuombea watu wapone imezuiliwa toka wakati wa Lissu
Mwl. Nyerere alikuwa na busara sana kulipotokea hamkani ya Malechela kutomshauri vema Rais Mwinyi, Nyerere alionya akasema unaweza kumtingisha Waziri mkuu nchi isitikisike lakini huwezi kumtingisha Rais nchi ikaacha kutikisika.

Maana yake ni nini? Mwl. alitambua nguvu ya Rais na mamlaka yake kwa ustawi wa taifa letu. Hivyo basi ni vema tuache tetesi za mitandaoni na tubaki kumuombea mema ili aweze kutimiza majukumu yake kwa ustawi wa taifa letu.

Superbug.
 
Asanteni vyombo vya ulinzi na usalama hekima yenu na umadhubuti wenu katika utendaji umetuliza jotoridi la wapiga ramli chonganishi.
 
Kosa la Mwalimu ni kutobadili katiba hii ya kidikteta kabla ya kung'atuka.
 
Kosa la Mwalimu ni kutobadili katiba hii ya kidikteta kabla ya kung'atuka.

Nadhani hastahili kuitwa mtakatifu kwa namna alivyotunga katiba ambayo inampatia Rais madaraka makubwa kupita kiasi.

Taifa linapitia tahatuki kubwa kwasababu ya makosa ya Mwl Nyerere kujirundikia madaraka makubwa na utukufu mkubwa unalingana au kufanana na ule wa Mungu.Ndio maana kupitia katiba hii kila mwanasiasa anatamani kuwa Mungu kwa miaka 10 na hata kutengeneza genge la kujiongezea muda.
 
Mwl. Nyerere alikuwa na busara sana kulipotokea hamkani ya Malechela kutomshauri vema Rais Mwinyi, Nyerere alionya akasema unaweza kumtingisha Waziri mkuu nchi isitikisike lakini huwezi kumtingisha Rais nchi ikaacha kutikisika.

Maana yake ni nini? Mwl. alitambua nguvu ya Rais na mamlaka yake kwa ustawi wa taifa letu. Hivyo basi ni vema tuache tetesi za mitandaoni na tubaki kumuombea mema ili aweze kutimiza majukumu yake kwa ustawi wa taifa letu.

Superbug.
View attachment 1726322View attachment 1726321View attachment 1726320View attachment 1726319
Maana yake ni nini? Mwl. alitambua nguvu ya Rais na mamlaka yake kwa ustawi wa taifa letu. Hivyo basi ni vema tuache tetesi za mitandaoni na tubaki kumuombea mema ili aweze kutimiza majukumu yake kwa ustawi wa taifa letu.
6u na mtu aneitwa rais. Kwa maana hiyo inapokaa kwa muda mrefu bila kujua alipo kiongozi wa hiyo taasisi mtingishiko hutokea kwa maana ya sintofahamu.
 
Back
Top Bottom