TANZIA Mwl. Samson Kibaso, mtunzi wa wimbo wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Afariki Dunia

TANZIA Mwl. Samson Kibaso, mtunzi wa wimbo wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Afariki Dunia

Nyote Ni vilaza kawe kamwambia mleta habari "weka huo wimbo" vilaza mmekurupuka,kwani yeye kaandika "siujui huo wimbo"? Mnakwama wapi bavicha? Mpaka aibu yaani!!![emoji23][emoji1787]
Sawa mzee Wa shw za giggy money

Ova
 
Ukiyakuta yanavyokatika sasa wakati ukipigwa huu wimbo wao ni vigumu sana kutofautisha nani ni akina mama na nani ni akina baba!!

MiCcm ni mijitu ya ajabu sana.
😆😆😆😆✌️✌️✌️ U made my nite aisee
 
Mno!...niliwahi kuwa mwimba Kwaya enzi hizo!..ontop of that my fav choir is Kurasini!
Okay nimekupata mkuu that why una haki kumlilia huyu jamaa, ila tunasikitika alichokifanya kwa nchi zetu 7 za jumuhiya ya afrika mashariki kumsahau huyu nguri, ni ajabu sana 😟!
 
Mpambano kati ya miccm na michadema, mijamaa mnakera sana. Wote akili zenu zimegeukia huko, mada ni mwl. Kibasa, mnageuza kuwa your favourite CCM na CDM, viazi sana nyie!!
 
Watajeeee! Wanaboa kinyama..mabaradhuri hawa😆! Babe tajaaa wakome🤭
Mpambano kati ya miccm na michadema, mijamaa mnakera sana. Wote akili zenu zimegeukia huko, mada ni mwl. Kibasa, mnageuza kuwa your favourite CCM na CDM, viazi sana nyie!!
 
Back
Top Bottom