Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
😆😆😆! Mtumishi iko siku nakunywesha mi "image" wewe😛!Hapo mwisho nakazia, umeniita jina nilitamani uniite mda😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😆😆😆! Mtumishi iko siku nakunywesha mi "image" wewe😛!Hapo mwisho nakazia, umeniita jina nilitamani uniite mda😂😂
Mara moja moja ijumaa na j'mosi navinywa hivyo vidude, japo sukari yake iko juu sana, vitanishinda.. ilà upatapo wasaa ukuje tuvinywe wote, it'll be memorable hakyanani!!😆😆😆! Mtumishi iko siku nakunywesha mi "image" wewe😛!
Mara moja moja ijumaa na j'mosi navinywa hivyo vidude, japo sukari yake iko juu sana, vitanishinda.. ilà upatapo wasaa ukuje tuvinywe wote, it'll be memorable hakyanani!!
Tumuomboleze Kibaso kwanza, mimi na wewe tutashindwana kweli Mane?😘Mwinjilisti unayumbaaaa🤸🤸🤸🔥🙃
Wimbo afrika mashariki si uende youtube au bado la lb7fc ni la social only.Taarfa yake haijakamilika kama hakuweka wimbo huo
Wimbo afrika mashariki si uende youtube au bado la lb7fc ni la social only.
😆😆👍🤭! Namsikiliza Simi hapa! Rip Kibaso!Tumuomboleze Kibaso kwanza, mimi na wewe tutashindwana kweli Mane?😘
Si hao manyang'au ya ccm yameibuka vya kuibuka Kama majini maimuna😉Vita vya ccm na chadema kwenye huu uzi vimefikaje tena jamani?
Credit to Malisa GJNi nani mtunzi wa wimbo wa EAC?
Kuanzia 1999 hadi 2010 EAC ilikua ikitafuta wimbo rasmi wa Jumuiya hiyo. Aliyekua Katibu mkuu, Balozi Juma Mwapachu alikiita kipindi hicho "a decade-long search for a song that East Africans would call their own". Yani muongo mmoja mrefu wa kutafuta wimbo rasmi wa EAC. Watunzi zaidi ya 1,000 walipeleka nyimbo lakini hazikukidhi vigezo.
Kuna Mwalimu maharufu sana kwenye ufundishaji wa nyimbo za injiri anayetoka kanisa la waadvetista Wasabato anajulikana kama Mwalimu Kibaso, majina yake kamili ni Samson Kibaso mnamo mwaka 2010 alipeleka wimbo wake ambapo baada ya kupitiwa na jopo la wataalamu, ukaonekana unafaa.
Baadaye mapendekezo yakawasilishwa kwenye mkutano wa 12 wa wakuu wa nchi za jumuiya ya afrika mashariki ulioketi tarehe 03/12/2010 na wimbo huo ulipitishwa na kukubarika.
Kwa wale wadau wa njimbo za injili wa makanisa ya KKKT, Angrikan nk wanamfaham gwiji huyu katika ufundishaji wake, lakini hakuna mahali popote huyu Mwl. Kibaso anapokumbukwa kwa kazi hii kubwa, ukifuatilia hata serikali yetu ya Tanzania nadhani wamesahau au labda hawajui hili.
Kwenye website ya Jumuliya ya afrika Mashariki imeelezea historia ya wimbo huu lakini hawajataja mtunzi wa wimbo huo na haifahamiki ni kwa makusudi au bahati mbaya lakini wabunge wetu wa EALA walitakiwa wahoji na kutoa ufumbuzi.
Pamoja na yote gwiji huyu Mwalimu Samson Kibaso amefariki dunia wiki iliyopita jijini Dar es Salaam na jana amezikwa huko kwao Rorya Tarime mkoa Mara na serikali imeshindwa hata kutoa pole kwa familia.
Najaribu kuwaza angekua Mkenya ingekuaje? Nina uhakika serikali ingeubeba msiba wake na ingekua habari kubwa sana Afrika Mashariki.
Rais Kenyatta angeshiriki na viongozi wengine wa EAC wangeungana nae. Main stream media zingeifanya habari hiyo kuwa "lead story" na ingezaa "developing stories" nyingi. Zingeandaliwa makala kuhusu EAC kukosa wimbo na jinsi Kibaso alivyookoa jahazi baada ya miaka 10.
Lakini sisi tumechukulia kirahisi na kuona ni jambo la kawaida tu, serikali imeshindwa kumtambua late Mwl. Samson kibaso akiwa hai na bado imekataa kumtambua akiwa maiti, Eeh Mungu utusamehe kwaheri Mwalimu Kibaso, asante kwa utumishi wako kupitia uimbaji na umeacha alama isiyofutika!.
Appr: Mwl/Pr. Ezra Juma.
Mambo yao tuwaachie wenyeweSi hao manyang'au ya ccm yameibuka vya kuibuka Kama majini maimuna[emoji6]
Wewe siuingie youtube uweke kwani chakubanga hajakupa pesa ya bando mwezi huu!?Nilimwomba aweke kwa faida ya wengi
🤣🤣🤣🤣Wewe siuingie youtube uweke kwani chakubanga hajakupa pesa ya bando mwezi huu!?
Ee Mungu twaomba uilende, Jumuiya Afrika Mashariki...
Nakumbuka nikiwa chuo ilikua ndo wimbo wetu, maana tulikua mataifa mengi. Sikuwahi kuusikia kabla, ila sasa ni uko moyoni.
Ee Mungu twaomba uilende, Jumuiya Afrika Mashariki...
Nakumbuka nikiwa chuo ilikua ndo wimbo wetu, maana tulikua mataifa mengi. Sikuwahi kuusikia kabla, ila sasa ni uko moyoni.