Sawa mzee Wa shw za giggy moneyNyote Ni vilaza kawe kamwambia mleta habari "weka huo wimbo" vilaza mmekurupuka,kwani yeye kaandika "siujui huo wimbo"? Mnakwama wapi bavicha? Mpaka aibu yaani!!![emoji23][emoji1787]
Hii comment yako inajieleza hukuuliza "wimbo gani huo"? Ila bavicha sonona itawauwa sio hivi walivyo kurupuka Kama Nyumbu [emoji23][emoji1787][emoji2960]
Mkuu ina maana huujui wimbo wa Afrika Mashariki? Na kila siku unaimbwa kwenye halfa za kitaifa.!
Ukiyakuta yanavyokatika sasa wakati ukipigwa huu wimbo wao ni vigumu sana kutofautisha nani ni akina mama na nani ni akina baba!!Anaujua tu ule wa sisiemu mbele kwa mbele.
Ukiyakuta yanavyokatika sasa wakati ukipigwa huu wimbo wao ni vigumu sana kutofautisha nani ni akina mama na nani ni akina baba!!
MiCcm ni mijitu ya ajabu sana.
Mno!...niliwahi kuwa mwimba Kwaya enzi hizo!..ontop of that my fav choir is Kurasini!Asee pole sana 😢, kumbe unamfaham huyu gwiji eeh?
😆😆😆😆✌️✌️✌️ U made my nite aiseeUkiyakuta yanavyokatika sasa wakati ukipigwa huu wimbo wao ni vigumu sana kutofautisha nani ni akina mama na nani ni akina baba!!
MiCcm ni mijitu ya ajabu sana.
Shoga kidawa unatuharibia Uzi chizi wewe!...Tangu mwaka 2015 adui wa Tanzania ni
1.Chadema
2.Ujinga
3.Maradhi
4.Umasikini
Okay nimekupata mkuu that why una haki kumlilia huyu jamaa, ila tunasikitika alichokifanya kwa nchi zetu 7 za jumuhiya ya afrika mashariki kumsahau huyu nguri, ni ajabu sana 😟!Mno!...niliwahi kuwa mwimba Kwaya enzi hizo!..ontop of that my fav choir is Kurasini!
Mpambano kati ya miccm na michadema, mijamaa mnakera sana. Wote akili zenu zimegeukia huko, mada ni mwl. Kibasa, mnageuza kuwa your favourite CCM na CDM, viazi sana nyie!!
RIP mwalimu Kibaso
Kuna album yake alitoa na wanakwaya wa Kurasini
Wimbo maarufu unaitwa nimetikiswatikiswa
I wish nipate zile nyimbo ni nzuri mno!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo mwisho nakazia, umeniita jina nilitamani uniite mda😂😂Watajeeee! Wanaboa kinyama..mabaradhuri hawa😆! Babe tajaaa wakome🤭