My confession: Justin Bieber kuhusu P-Diddy

Wewe angeku offer hiyo pesa, ungekubali au ungekataa?
 
P Diddy alikuwa mbaya.
Aliwalainisha wagumu kuwa walaini kwa vilainishi, baby oil na kwa mshedede.
Marapa kibao waliovimba ki-gangster waliinama kwake sembuse huyo mbana pua Burns Boy?!!
 
Wanataka Pesa na Umaarufu wa haraka ndio tatizo, Tamaa!!!
 
My name
 
SODIMA NA GOMORQ HAIJAWAHI MWACHA MTU SALAMA
 
Kuna mwingine alisema waliyofanyiwa kule hayafai ku post mitandaoni, ila meneja wake akatoa hint kwamba walienda chumbani kwa diddy wakamkuta anafanyiwa massage na baadaye akamfukuza yule bint aliyekuwa akimfanyia massage.
EEEH

NA BAADAAE

HAHAHAAA HAWEXI KUWEKA.MBELE YA JAMII
 
Kuna ambungemmmoja imenaki miezi 5 kuteua wagonbea wa chama chao

Mwanae wa miaka 7 katoka kaenda kisimabini akazama huko

Kisima kiko toka amezaliwa

Hivi sasa n Mb

Tulichoka na kuchokeka achatyu

Mengine wacha tuishi aliyopanga Mungu haya ya kufosi yana masharti mengi sana

Msikilize Kenya West anasema karibia kila mwanamziki wa freemason hana mzazi mmoja ama wote

Ama kafiwa na mwanae ama wanae woiiiotendaoo
 
Kakayenuu kaumeza hao wanabakije nenden fb anasema mambo mengine hawezi sema hadharani saliyofanya na pdidy
Hivi km haya mambo yalikuwa siri miaka yote hii
Sasa nani kayatoa nje mkp did kukamatwa?
 
Imebainika kwamba wasanii waliohudhuria sherehe za Diddy Frèàk Off, hivi karibuni wataitwa na Usalama FBI kuhojiwa.
Haya ni baadhi tu ya majina:
Hii hadi sasa inajumuisha -Steve Stoute
  • Russell Simmons
  • EVE
  • Aaron Hall
  • Jay-Z
  • Beyonce
  • Rick Ross
  • Steve J
  • Dr. Dre
  • Usher
  • Meek Mill (VIP)
  • Drake
  • LeBron James
  • The Game
-Justin Bieber
-lil Rod
- Cuba Gooding JR
-Stevie J
-Usher
-Yung Miami
-Daphne Joy
-Bishop T.D. Jakes
-Chris Brown
-Jade Ramey
 
Masaa 48 wamekaa tu,au walikuwa wanafanya kazi
Mhh! Bwana mdogo anatia huruma sana
Bora hawa wakina burna boy maana walishakuwa watu wazima
 

wabongo watakwambia ni story za vijiwe vya temeke na manzese
 
Kwahiyo wasafi wameenda Marekani wamerudi bila Diara golini? Jamaa karudi na ndoto ya kuwa tajiri namba 1 baada ya kutolewa marinda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…